Yaani CEO wa klabu kubwa kama Simba anazuiliwa kuingia uwanjani kwa sababu amekuja na watoto. Seriously?
Ama mnalipiza kisasi kwa yeye kuomba mamlaka kuchunguza mkataba wa TFF na GSM ambao kila mtu anajua ni wa kimagumashi.
TAKUKURU waanze uchunguzi haraka sana maana hapa kuna jambo.
KARIA OUT NA TUMBO LAKE
Ama mnalipiza kisasi kwa yeye kuomba mamlaka kuchunguza mkataba wa TFF na GSM ambao kila mtu anajua ni wa kimagumashi.
TAKUKURU waanze uchunguzi haraka sana maana hapa kuna jambo.
KARIA OUT NA TUMBO LAKE