Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Kwan huyo dada hiyo kadi hajaisoma au kaisoma kafanya makusudi ili kuwatoa watu mchezoni, yaan kadi imeandikwa kabisa watoto hawaruhusiwi we unaenda na watoto ili iweje, afu mashabiki wa Simba wanavyoendeshwa kwa mihemko utaskia wanatetea, mnatetea nini sasa wakat kila kitu kipo wazi. Acheni kutetea ujinga bhana