Kwa hili la Mbowe Marekani na Umoja wa Ulaya wamejitia aibu, ni rasmi sasa kuna kitu wanakitafuta Tanzania

Kwa hili la Mbowe Marekani na Umoja wa Ulaya wamejitia aibu, ni rasmi sasa kuna kitu wanakitafuta Tanzania

Wewe akili yako ndogo saana ..mpaka sasa hujajua tu nini Jiwe anakitafuta..jambo la kusikitisha ni kwamba wewe uliyeandika huu upuuzi hata udiwani hutakaa uone....
Vipi wewe akili yako ni kubwa??
 
Bunge litaacha vipi kuongea sasa wakati tukio hilo linahusishwa na serikali kwa uzushi uzushi sasa kwanini bunge lisijadili wakati watu wanavumisha uzushi wa makusudi kuchafua nchi, tena mzushi mwenyewe ni mmoja kati ya wabunge wa bunge hilo hilo.
Kwani bunge la siku hizi moja ya kazi zake ni kuitetea serikali?
 
Tunako elekea tutaanza kuwindana kama paka na panya.
 
polisi wamepata wapi ushahidi wa taarifa waliyoitoa?

machoni mwa Watanzania tulio wengi pamoja na wadau wa maendeleo kama USA, EU, nk ile taarifa ya polisi ni sawa na karatasi ya kuchambia tu.
Yaani unauliza polisi wametoa wapi ushahidi?? aisee!!
 
Dam55 hawa jamaa wamejitia aibu sana.
Ila mungu yupo pamoja na Tanzania ndo maana kila walizushalo linafeli.
 
Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.
Ni lipi hapo la kushangaza kama sisi wenyewe ndio tumejiwekea hali ya kutoaminiwa na wengine. Mara hii unajifanya hukumbuki yote yaliyotokea hapa nchini isipokuwa tu hilo la Mbowe?

Bure kabisa!
 
Mimi binafsi nina wasiwasi sana na uhusika wa vijana wa UVCCM ama wa Green Guard kwa maelekezo toka juu wakishirikiana na polisi wetu wa Dodoma, pia nahitaji kusikia sauti ya Mh. Mwigulu akiwa ktk wizara mpya anayoihudumu na tena kwa kuzingatia kwake kuapishwa kwa kipekee kule Chato.
 
Tangu mwanzo walio wengi walianza kuwa na shaka juu ya haya mataifa ya nje namna yanavyoitazama Tanzania.

Tukio la kuumia kwa mh Mbowe kama inavyodaiwa kuwa alishambuliwa lilileta taharuki kubwa kiasi cha mataifa haya makubwa kuja na matamko mengi.

Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.

Jambo ambalo si sawa kidiplomasia. Taarifa ya polisi imekuja kuwatia aibu baada ya kuthibitisha kuwa mh Mbowe hakushambuliwa na mtu.

Kila Jambo linalofanyika hapa kwetu wamekuwa wepesi sana kutoa matamko haraka bila kuyafanyia utafiti wa kutosha hii inatia shaka kuwa Kuna agenda za siri wanazo dhidi yetu.

Tangu Magufuli aunde serikali yenye msimamo mikali na kujiamini katika mambo mbali mbali basi imekuwa kesi kubwa kwa hawa watu.

Mifano mizuri hii:

Walilazimisha tuna Ebora kwamba tunaficha wagonjwa.

Wakatangaza Tanzania kuna magaida yatashambulia masaki bila kushirikisha serikali.

Wakazuia mkuu wa mkoa eti ananyima watu haki ya kuishi.

Kwenye corona ndio kabisaa kila siku ni kuisema Tanzania tu wakati huko kwao wanakufa maelfu.

Leo tena wamekuja na matamko kibao kuhusu kuumia kwa Mh Mbowe, wakishutmu serikali.
Haya leo wameumbuka tena baada ya ukweli kuwekwa wazi.

Kila siku wamekuwa watu wa matamko tu kwetu swali la kujiuliza ni je wanatupenda sana au ni kipi hasa?
Wana nia gani na sisi?

Wananufaika na nini na huu uzushi wanao utangaza dhidi ya Tanzania?

Watanzania tusipokuwa makini Hawa watu watakuja kutuundia vikundi vya waasi hapa kwetu kama hizi propaganda zao zitafeli.

Hawana upendo wowote kwetu hawa ni maharamia tu.
Tangu lini mlevi wa pombe akapelekwa hospitali halafu akadungwa madawa makali makali.

Mbona mna akili fupi sana
 
Mkusanye wana habari, ilivyo kawaida yenu, mtembelee hospitali zilizofurika wagonjwa wa COVID-19 na/au makaburi walikozikwa, kuuthibitishia umma wa dunia kuwa Serikali inaficha ukweli
Wewe umekuwa muungwana, umejibu hoja. The issue is this, as the countries of the world are doing, we need the trend of coronavirus/covid=19 infection. Ni hilo tu!
Pili, kufa watu wamekufa wengi in the real sense of wengi! (unaweza kusema wengi ni relative, lkn kwa mwanadamu hata akifa mmoja , kama ungeliweza kumwokoa, basi ni kos ana ni wengi) , wakazikwa usiku, tuna ndugu zetu wamezikwa usiku! Sema maiti hazikutapakaa barabarani kama epidemiologists walivyowasema!
 
Tangu mwanzo walio wengi walianza kuwa na shaka juu ya haya mataifa ya nje namna yanavyoitazama Tanzania.

Tukio la kuumia kwa mh Mbowe kama inavyodaiwa kuwa alishambuliwa lilileta taharuki kubwa kiasi cha mataifa haya makubwa kuja na matamko mengi.

Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.

Jambo ambalo si sawa kidiplomasia. Taarifa ya polisi imekuja kuwatia aibu baada ya kuthibitisha kuwa mh Mbowe hakushambuliwa na mtu.

Kila Jambo linalofanyika hapa kwetu wamekuwa wepesi sana kutoa matamko haraka bila kuyafanyia utafiti wa kutosha hii inatia shaka kuwa Kuna agenda za siri wanazo dhidi yetu.

Tangu Magufuli aunde serikali yenye msimamo mikali na kujiamini katika mambo mbali mbali basi imekuwa kesi kubwa kwa hawa watu.

Mifano mizuri hii:

Walilazimisha tuna Ebora kwamba tunaficha wagonjwa.

Wakatangaza Tanzania kuna magaida yatashambulia masaki bila kushirikisha serikali.

Wakazuia mkuu wa mkoa eti ananyima watu haki ya kuishi.

Kwenye corona ndio kabisaa kila siku ni kuisema Tanzania tu wakati huko kwao wanakufa maelfu.

Leo tena wamekuja na matamko kibao kuhusu kuumia kwa Mh Mbowe, wakishutmu serikali.
Haya leo wameumbuka tena baada ya ukweli kuwekwa wazi.

Kila siku wamekuwa watu wa matamko tu kwetu swali la kujiuliza ni je wanatupenda sana au ni kipi hasa?
Wana nia gani na sisi?

Wananufaika na nini na huu uzushi wanao utangaza dhidi ya Tanzania?

Watanzania tusipokuwa makini Hawa watu watakuja kutuundia vikundi vya waasi hapa kwetu kama hizi propaganda zao zitafeli.

Hawana upendo wowote kwetu hawa ni maharamia tu.
Porojo za Polisi wetu hizo[emoji3]
 
Wameshindwa kuchunguza tukio la wazi la Lissu ndo la ndani wataweza kweli.
 
Tangu mwanzo walio wengi walianza kuwa na shaka juu ya haya mataifa ya nje namna yanavyoitazama Tanzania.

Tukio la kuumia kwa mh Mbowe kama inavyodaiwa kuwa alishambuliwa lilileta taharuki kubwa kiasi cha mataifa haya makubwa kuja na matamko mengi.

Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.

Jambo ambalo si sawa kidiplomasia. Taarifa ya polisi imekuja kuwatia aibu baada ya kuthibitisha kuwa mh Mbowe hakushambuliwa na mtu.

Kila Jambo linalofanyika hapa kwetu wamekuwa wepesi sana kutoa matamko haraka bila kuyafanyia utafiti wa kutosha hii inatia shaka kuwa Kuna agenda za siri wanazo dhidi yetu.

Tangu Magufuli aunde serikali yenye msimamo mikali na kujiamini katika mambo mbali mbali basi imekuwa kesi kubwa kwa hawa watu.

Mifano mizuri hii:

Walilazimisha tuna Ebora kwamba tunaficha wagonjwa.

Wakatangaza Tanzania kuna magaida yatashambulia masaki bila kushirikisha serikali.

Wakazuia mkuu wa mkoa eti ananyima watu haki ya kuishi.

Kwenye corona ndio kabisaa kila siku ni kuisema Tanzania tu wakati huko kwao wanakufa maelfu.

Leo tena wamekuja na matamko kibao kuhusu kuumia kwa Mh Mbowe, wakishutmu serikali.
Haya leo wameumbuka tena baada ya ukweli kuwekwa wazi.

Kila siku wamekuwa watu wa matamko tu kwetu swali la kujiuliza ni je wanatupenda sana au ni kipi hasa?
Wana nia gani na sisi?

Wananufaika na nini na huu uzushi wanao utangaza dhidi ya Tanzania?

Watanzania tusipokuwa makini Hawa watu watakuja kutuundia vikundi vya waasi hapa kwetu kama hizi propaganda zao zitafeli.

Hawana upendo wowote kwetu hawa ni maharamia tu.

Dam55, Wamejitahidi kumtetea mwamba lakini wapi!


Hivi kwa akili yenu kuna mzungu wa kuamini huu uchafu wa polisi? Hao wazungu mnawachukukulia poa? Walishavuka kwenye huu ujinga zaidi ya karne moja iliyopita.
 
Mimi binafsi nina wasiwasi sana na uhusika wa vijana wa UVCCM ama wa Green Guard kwa maelekezo toka juu wakishirikiana na polisi wetu wa Dodoma, pia nahitaji kusikia sauti ya Mh. Mwigulu akiwa ktk wizara mpya anayoihudumu na tena kwa kuzingatia kwake kuapishwa kwa kipekee kule Chato.
Usitegemee mwigulu coz bahati imerudi Mara mbili eti afanye kosa
 
Inaonekana Joyce Mkuya ni mtamu sana kuliko mke wa ndoa Lilian Mbowe, maana kila janga lazima ahusishwe
 
Hivi kwa akili yenu kuna mzungu wa kuamini huu uchafu wa polisi? Hao wazungu mnawachukukulia poa? Walishavuka kwenye huu ujinga zaidi ya karne moja iliyopita.
Shida ni kwamba bado Kuna watu wenye mawazo ya kikoloni ya kuamini wazungu ndio wajuzi zaidi kuliko waafrica hapa ndio kosa lilipo nadhani na wewe pia ni mmoja wa wahanga wa hilo tatizo mkuu.

Huko kwao polisi aliye ua mtu live tena kwa makusudi kabisa ameachiwa kwa dhamana.

Ila huo uchafu wewe hajauona hata kidogo.
 
Back
Top Bottom