Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wewe bado hujaamka kutoka kwenye usingizi wowote wewe bado ni mtumwa kabisa maandiko yako yanathibitisha hilo wazi kabisa.
Kesi zote zinazofanyiwa utafiti na polisi hapa nchini huwa unaletewa video CCTV camera??
Hiyo cctiv camera si ipo hapo nyumbni kwake kwanini wasiitoe wao wenyewe sasa waje wathibitishe??
Heti sheria zao nzuri kuliko za kwetu yaani unakuja hapa kumtetea mtu aliye ua live kwamakusudi kabisa halafu anapewa dhamana, kama sio utumwa kumbe ni nini hicho mkuu.
Katika hoja nilizo zitoa hapo kwenye uzi wangu ni kipi nilicho ongopa hapa.
Kwamba hawakututangazia Ebola au??
Hawakutangaza magaidi hapa kwetu au??
Hawakusema kuwa tutaokota maita mabarabarani au??
Labda ni wewe ndio ambaye hujastaarabika na ndio maana unajiona si kitu mbele ya wazungu nadhani hata wakikuita nyani kama wanavyofanya mara nyingi basi utafurahi tu wewe na utakubaliana nao(kwasababu mwenyewe ndio umekili kuwa hujastaarabika)
Dunia ya 2020 alafu wewe bado unakuja na Imani za ustarabu wa wazungu alafu unasema umeamka!!!
Umeamka kutoka wapi? na sidhani kama unaweza kujitoa kwenye huo utumwa kamwe.
Kama si hivyo basi siasa ndio zimekuharibu wewe.
Umeandika maneno mengi na kuchanganya changanya ila kupoteza mantiki, na sikushangai maana ni kawaida ukiandika kwa kupanick. Narudia tena kuwa wazungu wako juu yetu sana, na ni wastaarabu kuliko sisi, hili wala sio la mjadala bali ndio facts. Wao kuwa juu yetu haimaanishi wako perfect, jaribu kutenganisha hayo.
Inaonekana hujui chochote kuhusu CCTV cameras zinafanyaje kazi, ndio maana unasema ziko ndani kwake hivyo azitoe, na tatizo ni kwakuwa ww ni bendera fuata upepo, na huna lolote ujualo. Ni kweli kesi zote zinafanyiwa uchunguzi na polisi, lakini boss polisi ni moja ya taasisi za umma zinazotumikia siasa chafu. Hili wala sihitaji kutumia nguvu kubwa kulieleza. Mimi kama mimi sitegemei chochote serious toka kwenye jeshi hili la polisi zaidi ya aibu.
NB: una uwe mdogo sana wa uandishi, ndio maana huna mtiririko mzuri wa hoja. Paragraph ya Kwanza umeanza na mimi kusifia ubora wa wazungu, kisha paragraph iliyofuata ukarukia ushahidi wa CCTV cameras tena kwa kuchanganyachanganya, huku ukiwa na uelewa mdogo wa CCTV cameras. Halafu ukarudi kwa jazba kuhusu ubora wa wazungu. Katika mazingira hayo ya uelewa mdogo, sishangai ulipokuja na bandiko lililojaa hisia, utoto na propaganda mfu. Unajadili na mtu makini, hilo ulijue.