Kwa hili la Mbowe Marekani na Umoja wa Ulaya wamejitia aibu, ni rasmi sasa kuna kitu wanakitafuta Tanzania

Kwa hili la Mbowe Marekani na Umoja wa Ulaya wamejitia aibu, ni rasmi sasa kuna kitu wanakitafuta Tanzania

Ukweli mchungu ambao CCM hawaujui kwa sababu ni mambumbumbu ni kwamba hata ninyi CCM hampo salama! Endeleeni kutengeneza na kupalilia serekali ya mkono wa chuma. Mtavuna mnachokipanda sooner rather than later!
Wafatilie kule rwanda waone kilichotokea. Marafiki zake na macomrade wa kagame mwishowe aliwafanya nini
 
Tangu mwanzo walio wengi walianza kuwa na shaka juu ya haya mataifa ya nje namna yanavyoitazama Tanzania.

Tukio la kuumia kwa mh Mbowe kama inavyodaiwa kuwa alishambuliwa lilileta taharuki kubwa kiasi cha mataifa haya makubwa kuja na matamko mengi.

Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.

Jambo ambalo si sawa kidiplomasia. Taarifa ya polisi imekuja kuwatia aibu baada ya kuthibitisha kuwa mh Mbowe hakushambuliwa na mtu.

Kila Jambo linalofanyika hapa kwetu wamekuwa wepesi sana kutoa matamko haraka bila kuyafanyia utafiti wa kutosha hii inatia shaka kuwa Kuna agenda za siri wanazo dhidi yetu.

Tangu Magufuli aunde serikali yenye msimamo mikali na kujiamini katika mambo mbali mbali basi imekuwa kesi kubwa kwa hawa watu.

Mifano mizuri hii:

Walilazimisha tuna Ebora kwamba tunaficha wagonjwa.

Wakatangaza Tanzania kuna magaida yatashambulia masaki bila kushirikisha serikali.

Wakazuia mkuu wa mkoa eti ananyima watu haki ya kuishi.

Kwenye corona ndio kabisaa kila siku ni kuisema Tanzania tu wakati huko kwao wanakufa maelfu.

Leo tena wamekuja na matamko kibao kuhusu kuumia kwa Mh Mbowe, wakishutmu serikali.
Haya leo wameumbuka tena baada ya ukweli kuwekwa wazi.

Kila siku wamekuwa watu wa matamko tu kwetu swali la kujiuliza ni je wanatupenda sana au ni kipi hasa?
Wana nia gani na sisi?

Wananufaika na nini na huu uzushi wanao utangaza dhidi ya Tanzania?

Watanzania tusipokuwa makini Hawa watu watakuja kutuundia vikundi vya waasi hapa kwetu kama hizi propaganda zao zitafeli.

Hawana upendo wowote kwetu hawa ni maharamia tu.
mwenyekiti wa ccm mkoa wa ARUSHA alikuwa RPC kadi alichukua lini?
marehemu Agustine Ramadhani aligombea uraisi kwa tiketi ya ccm kadi alichukua lini?
kumbuka kauli za mkti wa UVCCM Taifa na yule wa iringa juu ya wapinzani hasa mbowe na zzk
kama hujaiba MITIHANI YAKO UTAELEWA MAANA YA POLICE KUAJIRIWA KWA KIGEZO CHA UREFU BADALA YA UFAULU
BAKI NA UJINGA WAKO MKUU CC CO WAJINGA KAMA WEWE UNAYEJIITA MZALENDO KWA KUVAA SCARF ZENYE BENDERA YA TAIFA
 
Tangu mwanzo walio wengi walianza kuwa na shaka juu ya haya mataifa ya nje namna yanavyoitazama Tanzania.

Tukio la kuumia kwa mh Mbowe kama inavyodaiwa kuwa alishambuliwa lilileta taharuki kubwa kiasi cha mataifa haya makubwa kuja na matamko mengi.

Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.

Jambo ambalo si sawa kidiplomasia. Taarifa ya polisi imekuja kuwatia aibu baada ya kuthibitisha kuwa mh Mbowe hakushambuliwa na mtu.

Kila Jambo linalofanyika hapa kwetu wamekuwa wepesi sana kutoa matamko haraka bila kuyafanyia utafiti wa kutosha hii inatia shaka kuwa Kuna agenda za siri wanazo dhidi yetu.

Tangu Magufuli aunde serikali yenye msimamo mikali na kujiamini katika mambo mbali mbali basi imekuwa kesi kubwa kwa hawa watu.

Mifano mizuri hii:

Walilazimisha tuna Ebora kwamba tunaficha wagonjwa.

Wakatangaza Tanzania kuna magaida yatashambulia masaki bila kushirikisha serikali.

Wakazuia mkuu wa mkoa eti ananyima watu haki ya kuishi.

Kwenye corona ndio kabisaa kila siku ni kuisema Tanzania tu wakati huko kwao wanakufa maelfu.

Leo tena wamekuja na matamko kibao kuhusu kuumia kwa Mh Mbowe, wakishutmu serikali.
Haya leo wameumbuka tena baada ya ukweli kuwekwa wazi.

Kila siku wamekuwa watu wa matamko tu kwetu swali la kujiuliza ni je wanatupenda sana au ni kipi hasa?
Wana nia gani na sisi?

Wananufaika na nini na huu uzushi wanao utangaza dhidi ya Tanzania?

Watanzania tusipokuwa makini Hawa watu watakuja kutuundia vikundi vya waasi hapa kwetu kama hizi propaganda zao zitafeli.

Hawana upendo wowote kwetu hawa ni maharamia tu.
Wanakosaje upendo wakati kila kitu hadi bajeti yetu ni wao, miradi ni wao, utalii ni wao, n.k. Mnajifanya mnawachukia wakati juzi tu mmesema mnawaalika waje kutembelea mbuga zetu na mnaomba wawasamehe madeni. Aliyewatuma kwenda kukopa kwa mabeberu ni nani?
 
Nitaendelea kuamini taarifa za Marekani na Ulaya kuliko hizi za kupikwa
Na mimi nakuunga mkono. Nashangaa watu wanasema Jeshi la Polisi limetoa taarifa juu ya tukio la Mbowe. Taarifa ipi? Ina tofauti gani na hii tuliyopewa na Spika?
 
Watawala wetu ni wajanja sana. Wakitaka kuwaziba midomo wataalamu wetu, jambo likitokea tu wanakuwa wa kwanza kutoa maoni yao na utafiti wao, halafu ndipo wanatuma wataalamu wakafanye uchunguzi wakijua kabisa kwamba hakuna mtaalamu wa sekta yoyote atakuja na jibu tofauti na alichokisema bosi wao.
 
Kweli akili imehama! CCM ina dawa kali ya kuua akili za welevu! A UDSM graduate of early 80's unaongea hivyo. Waachie wa vyuo vya kata! Yale yale ya nimetoka jalalani! Nilitegemea ujibu hoja na siyo kejeli! But you aare a gentleman, huna matusi kama wenzako!

Kweli hawa wote kwenye hii link ni wapumbavu/wajinga welevu ni Jiwe and team?

Coronavirus Update (Live): 7,671,787 Cases and 426,030 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer

Kwaheri ndugu yangu!
Mkuu @Retired,hao misukule ni kuachana nayo tu,akili zilishatolewa kitambo. Leo kuna watu wanafurahia kusamehewa kwa Andengenye,hao hao alipotumbuliwa walifurahia sana na kusema hatua kali zichukuliwe.
Sasa afanyae kitendo kama hicho ni binadamu timamu kweli!?
 
Bunge litaacha vipi kuongea sasa wakati tukio hilo linahusishwa na serikali kwa uzushi uzushi sasa kwanini bunge lisijadili wakati watu wanavumisha uzushi wa makusudi kuchafua nchi, tena mzushi mwenyewe ni mmoja kati ya wabunge wa bunge hilo hilo.
Bunge kazi yake ni kuitetea serikali!!?
Serikali haina watetezi!? Mazao ya mikesha ya mbio za mwenge ni hasara kubwa sana sana kwa Tanzania.
 
Ninarudia tena, una udhaifu mkubwa kwenye uandishi wako, ni vyema ukafanyia marekebisho eneo hilo. Hasa uwekaji wa koma na nukta.

Naendelea kusisitiza kuwa wazungu wako juu yetu sana, na wana ustaarabu kuliko sisi. Hili kwanza sikuambii ili ukabali au ukatae, lakini ndio ukweli mchungu. Ninaposema wazungu wako juu na wastaarabu kuliko sisi, haimaanishi wako perfect bali wanatuzidi kwenye eneo hili. Na wao kuwa wastaarabu kipimo chake ni kwa ujumla wake, ila kama ni suala la mtu mmoja mmoja hilo ni suala jingine. Ni kweli kuna wazungu baadhi sio wastaarabu na wanaweza kuwa washenzi, lakini hilo halizuii wao kuwa wastaarabu kwa umoja wao. Siafiki mzungu kuniita nyani maana hiyo ni dharau, lakini ww kama wewe, umekutana na wazungu wangapi wakakuita nyani? Mimi sijawahi kuitwa nyani na mzungu yoyote.

Kuhusu polisi kuua huko kwao na kupewa dhamana, hilo ni kwa mujibu wa sheria zao. Je polisi waliomuua Aqwilina walichukuliwa hatua gani kwenye mahakama ipi hapa kwetu? Sihitaji polisi waje na majibu niyatakayo, lakini naweza kupima bila kuacha shaka na aina ya majibu. Sina shaka na hilo nisemalo kuwa polisi wanatumikia siasa chafu. Sio kwamba ninajua mfumo wa CCTV ufanyavyo kazi, bali hiyo ni kazi yangu, hivyo ninajua ninachozungumza.

Ninaposema mimi ni mtu makini, sina chembe ya shaka na hilo. Fananisha uandishi wangu na wako, ili upate tofauti ya haraka haraka kati yangu na yako. Ninaposema umakini ujue ninaweza kutofautisha serikali na nchi. Najua yapi ni matamko dhidi ya nchi, na yapi ni matamko dhidi ya serikali. Unavyoongea inaonekana hujui tofauti ya nchi na serikali. Lakini kupitia mijadala kama hii na sisi watu makini, utajua tofauti ya nchi, na serikali.
Mkuu @tindo,achana na misukule. Hawana a wala b walijualo.
 
Tangu mwanzo walio wengi walianza kuwa na shaka juu ya haya mataifa ya nje namna yanavyoitazama Tanzania.

Tukio la kuumia kwa mh Mbowe kama inavyodaiwa kuwa alishambuliwa lilileta taharuki kubwa kiasi cha mataifa haya makubwa kuja na matamko mengi.

Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.

Jambo ambalo si sawa kidiplomasia. Taarifa ya polisi imekuja kuwatia aibu baada ya kuthibitisha kuwa mh Mbowe hakushambuliwa na mtu.

Kila Jambo linalofanyika hapa kwetu wamekuwa wepesi sana kutoa matamko haraka bila kuyafanyia utafiti wa kutosha hii inatia shaka kuwa Kuna agenda za siri wanazo dhidi yetu.

Tangu Magufuli aunde serikali yenye msimamo mikali na kujiamini katika mambo mbali mbali basi imekuwa kesi kubwa kwa hawa watu.

Mifano mizuri hii:

Walilazimisha tuna Ebora kwamba tunaficha wagonjwa.

Wakatangaza Tanzania kuna magaida yatashambulia masaki bila kushirikisha serikali.

Wakazuia mkuu wa mkoa eti ananyima watu haki ya kuishi.

Kwenye corona ndio kabisaa kila siku ni kuisema Tanzania tu wakati huko kwao wanakufa maelfu.

Leo tena wamekuja na matamko kibao kuhusu kuumia kwa Mh Mbowe, wakishutmu serikali.
Haya leo wameumbuka tena baada ya ukweli kuwekwa wazi.

Kila siku wamekuwa watu wa matamko tu kwetu swali la kujiuliza ni je wanatupenda sana au ni kipi hasa?
Wana nia gani na sisi?

Wananufaika na nini na huu uzushi wanao utangaza dhidi ya Tanzania?

Watanzania tusipokuwa makini Hawa watu watakuja kutuundia vikundi vya waasi hapa kwetu kama hizi propaganda zao zitafeli.

Hawana upendo wowote kwetu hawa ni maharamia tu.
Inatakiwa tudundane mpaka tuheshimiane kama Kenya maana mataga ya Lumumba yanaleta upuuxi hapa nchini
 
Tangu mwanzo walio wengi walianza kuwa na shaka juu ya haya mataifa ya nje namna yanavyoitazama Tanzania.

Tukio la kuumia kwa mh Mbowe kama inavyodaiwa kuwa alishambuliwa lilileta taharuki kubwa kiasi cha mataifa haya makubwa kuja na matamko mengi.

Jambo la kushangaza ni kitendo cha Marekani na Umoja wa Ulaya kupitia balozi zao kutoa matamko yaliyoashiria kuihusisha serikali na tukio hilo.

Jambo ambalo si sawa kidiplomasia. Taarifa ya polisi imekuja kuwatia aibu baada ya kuthibitisha kuwa mh Mbowe hakushambuliwa na mtu.

Kila Jambo linalofanyika hapa kwetu wamekuwa wepesi sana kutoa matamko haraka bila kuyafanyia utafiti wa kutosha hii inatia shaka kuwa Kuna agenda za siri wanazo dhidi yetu.

Tangu Magufuli aunde serikali yenye msimamo mikali na kujiamini katika mambo mbali mbali basi imekuwa kesi kubwa kwa hawa watu.

Mifano mizuri hii:

Walilazimisha tuna Ebora kwamba tunaficha wagonjwa.

Wakatangaza Tanzania kuna magaida yatashambulia masaki bila kushirikisha serikali.

Wakazuia mkuu wa mkoa eti ananyima watu haki ya kuishi.

Kwenye corona ndio kabisaa kila siku ni kuisema Tanzania tu wakati huko kwao wanakufa maelfu.

Leo tena wamekuja na matamko kibao kuhusu kuumia kwa Mh Mbowe, wakishutmu serikali.
Haya leo wameumbuka tena baada ya ukweli kuwekwa wazi.

Kila siku wamekuwa watu wa matamko tu kwetu swali la kujiuliza ni je wanatupenda sana au ni kipi hasa?
Wana nia gani na sisi?

Wananufaika na nini na huu uzushi wanao utangaza dhidi ya Tanzania?

Watanzania tusipokuwa makini Hawa watu watakuja kutuundia vikundi vya waasi hapa kwetu kama hizi propaganda zao zitafeli.

Hawana upendo wowote kwetu hawa ni maharamia tu.
Dam55, Wamejitahidi kumtetea mwamba lakini wapi!

Ukitaka kumdharau mtu, unamwacha tu anajiropokeaaa wewe unaendelea na kazi,

Hawa wathungu wapuuzwe kama Vyama vinavyojipendekeza kwao vinavyozidi kupuuzwa na kila raia
Dam55,

Ya kwao yanawashinda wanaua watu weusi kila kukicha lkn hatusikii matamko ya kulaani vitendo hivyo. Wanapoilaumu Serikali yetu kuhusu Mbowe kuanguka kwa ulevi, wanataka Serikali iwe inampangia Mbowe kinywaji cha kunywa na wamsindikize hadi kitandani kwake?
Tanzania ina mazezeta wengi mno wa ccm na hawajitambui kabisa na wengi wanatoka pande za chattle na mikoa maskini zaidi.
 
mwenyekiti wa ccm mkoa wa ARUSHA alikuwa RPC kadi alichukua lini?
marehemu Agustine Ramadhani aligombea uraisi kwa tiketi ya ccm kadi alichukua lini?
kumbuka kauli za mkti wa UVCCM Taifa na yule wa iringa juu ya wapinzani hasa mbowe na zzk
kama hujaiba MITIHANI YAKO UTAELEWA MAANA YA POLICE KUAJIRIWA KWA KIGEZO CHA UREFU BADALA YA UFAULU
BAKI NA UJINGA WAKO MKUU CC CO WAJINGA KAMA WEWE UNAYEJIITA MZALENDO KWA KUVAA SCARF ZENYE BENDERA YA TAIFA
Mkuu hebu tulia uandike vizuri basi ueleweke mbio zote za nini hizo?
 
Na magu2016 na Dam55 ni misukule!!
Mkuu @Retired,hao misukule ni kuachana nayo tu,akili zilishatolewa kitambo. Leo kuna watu wanafurahia kusamehewa kwa Andengenye,hao hao alipotumbuliwa walifurahia sana na kusema hatua kali zichukuliwe.
Sasa afanyae kitendo kama hicho ni binadamu timamu kweli!?
Mkuu @tindo,achana na misukule. Hawana a wala b walijualo.
Kwa comment kama hizi ni dhahiri kuna tatizo sehemu sio bure mkuu.
 
Ukitaka kumdharau mtu, unamwacha tu anajiropokeaaa wewe unaendelea na kazi,

Hawa wathungu wapuuzwe kama Vyama vinavyojipendekeza kwao vinavyozidi kupuuzwa na kila raia
Unachekesha wewe mpuuzi hivi mpaka kulaani unadhani wanategemea taarifa za polisi fisiemu,ambao Lisu kapigwa risasi na hakuna mtuhumiwa mpaka sasa hivi,wanachongea wanamaanisha masifi maji nyie watoa roho za watu
 
Mwambie huyo ndumilakuwili wa lumumba
Unachekesha wewe mpuuzi hivi mpaka kulaani unadhani wanategemea taarifa za polisi fisiemu,ambao Lisu kapigwa risasi na hakuna mtuhumiwa mpaka sasa hivi,wanachongea wanamaanisha masifi maji nyie watoa roho za watu
 
Ukitaka kumdharau mtu, unamwacha tu anajiropokeaaa wewe unaendelea na kazi,

Hawa wathungu wapuuzwe kama Vyama vinavyojipendekeza kwao vinavyozidi kupuuzwa na kila raia
Raia wa wapi wanapuuza uonevu kwa wapinzani? au Raia wa Burundi? Raia wa Tanzania wote wanajua awamu ya tano kuna Udikteta mwingi
 
Je balozi wetu kule Washington na nchi za ulaya wakitoa taarifa za kushutumu serikali na mamlaka kwa ukiukaji wa haki za binadamu huko unadhani watafanywa Nini?!
Ahaaa lakini kumbuka Kuna taratibu na kanuni za kimataifa kuhusu wajibu na dos and donts kwa ma alozi
Mkuu hilo analijua vizuri tu ila hawezi kulikubali kamwe kwasababu ya kutaka kutetea kile anachokiamini, nadhani ni mmoja kati ya watu wanao amini kuwa marekani ana haki ya kufanya chochote kwenye nchi yoyote.

Yeye anaamini kuwa mabadiliko ya nchi za Africa yatapatikana kwa maifa ya Ulaya kuvunja sheria na kuingilia siasa za nchi huru za Africa, hili ni tatizo kubwa sana mkuu.
 
Back
Top Bottom