Kwa hili la Mgunda na Kibu Denis, sote tukubaliane Bila masharti , Simba ni liduude likubwa Sana!

Kwa hili la Mgunda na Kibu Denis, sote tukubaliane Bila masharti , Simba ni liduude likubwa Sana!

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Hebu fikiria Kibu Denis alicheza Mbeya huko miaka na miaka!! Lakini siku alitia mguu wake Simba Tanzania yote ilisimama! Na hatimaye mambo ya Uraia yakajitokeza! Amini nakuambia angeenda yanga Wala hakuna kelele ambazo zingesikika!

Sasa tuje Kwa Juma Mgunda,
Yeye alishafundisha mpaka Timu ya taifa kama msaidizi Kwa zaidi ya miaka mitatu! Huyu alikuwa na Coast union kama kocha mkuu miaka na miaka! Lakini ona alivyoingia Simba !! Kelele Tanzania nzima!!

KeShO Kuna Watu Timu Yao inacheza lakini wako bize na kufuatilia huko Malawi! Eti atakaa au hatakaa!

Imagine mambo ya Malawi na Mgunda yanajulikana zaidi na Kuna wengine hata hawajui Timu Yao inacheza na wachimba mchanga Kesho huko chamanzi wako bize na simba!!
HakiKa simba ni Timu kubwa Afrika..
Nawaacha na wimbo wa Fid q ft Prof jay na Langa Unaitwa

"NI HAYO TU!"
 
Hebu fikiria Kibu Denis alicheza Mbeya huko miaka na miaka!! Lakini siku alitia mguu wake Simba Tanzania yote ilisimama! Na hatimaye mambo ya Uraia yakajitokeza! Amini nakuambia angeenda Tanga Wala hakuna kelele ambazo zingesikika!
Sasa tuje Kwa Juma Mgunda,
Yeye alishafundisha mpaka Timu ya taifa kama msaidizi Kwa zaidi ya miaka mitatu! Huyu alikuwa na Coast union kama kocha mkuu miaka na miaka! Lakini ona alivyoingia Simba !! Kelele Tanzania nzima!!
KeShO Kuna Watu Timu Yao inacheza lakini wako bize na kufuatilia huko Malawi!
Eti atakaa au hatakaa!
Imagine mambo ya Malawi na Mgunda yanajulikana zaidi na Kuna wengine hata hawajui Timu Yao inacheza na wachimba mchanga Kesho huko chamanzi wako bize na simba!!
HakiKa simba ni Timu kubwa Afrika..
Nawaacha na wimbo wa Fid q ft Prof jay na Langa Unaitwa

"NI HAYO TU!"

Mashabiki wa Yanga wengi ni majuha
 
Hebu fikiria Kibu Denis alicheza Mbeya huko miaka na miaka!! Lakini siku alitia mguu wake Simba Tanzania yote ilisimama! Na hatimaye mambo ya Uraia yakajitokeza! Amini nakuambia angeenda Tanga Wala hakuna kelele ambazo zingesikika!

Sasa tuje Kwa Juma Mgunda,
Yeye alishafundisha mpaka Timu ya taifa kama msaidizi Kwa zaidi ya miaka mitatu! Huyu alikuwa na Coast union kama kocha mkuu miaka na miaka! Lakini ona alivyoingia Simba !! Kelele Tanzania nzima!!

KeShO Kuna Watu Timu Yao inacheza lakini wako bize na kufuatilia huko Malawi! Eti atakaa au hatakaa!

Imagine mambo ya Malawi na Mgunda yanajulikana zaidi na Kuna wengine hata hawajui Timu Yao inacheza na wachimba mchanga Kesho huko chamanzi wako bize na simba!!
HakiKa simba ni Timu kubwa Afrika..
Nawaacha na wimbo wa Fid q ft Prof jay na Langa Unaitwa

"NI HAYO TU!"
Kwakuwa kichwani hamna kitu,ni hayo tu
 
Wale walioshangilia sana droo ya azam nahisi walikua ihefu tena dakika 90 zote
 
Na amewa-approve kwamba hana Busha, amecheza vizuri amefunga goli mbili..

Haji Manara's voice towards Bernardo Morisson
 
hahaha soka lenyew liko wapi hapa bongo hadi kuwe na timu ambayo ni lidude lkubwa jmn!!! hi nchi banah
 
Hebu fikiria Kibu Denis alicheza Mbeya huko miaka na miaka!! Lakini siku alitia mguu wake Simba Tanzania yote ilisimama! Na hatimaye mambo ya Uraia yakajitokeza! Amini nakuambia angeenda yanga Wala hakuna kelele ambazo zingesikika!

Sasa tuje Kwa Juma Mgunda,
Yeye alishafundisha mpaka Timu ya taifa kama msaidizi Kwa zaidi ya miaka mitatu! Huyu alikuwa na Coast union kama kocha mkuu miaka na miaka! Lakini ona alivyoingia Simba !! Kelele Tanzania nzima!!

KeShO Kuna Watu Timu Yao inacheza lakini wako bize na kufuatilia huko Malawi! Eti atakaa au hatakaa!

Imagine mambo ya Malawi na Mgunda yanajulikana zaidi na Kuna wengine hata hawajui Timu Yao inacheza na wachimba mchanga Kesho huko chamanzi wako bize na simba!!
HakiKa simba ni Timu kubwa Afrika..
Nawaacha na wimbo wa Fid q ft Prof jay na Langa Unaitwa

"NI HAYO TU!"
Dah kumbe kesho kuna mechi ya wachimba mchanga,ndio kwanza napata taarifa hapa
 
Simba lidude fulani hivi likuuuuubwaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba guvu moya[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Simba lidude fulani hivi likuuuuubwaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba guvu moya[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Yaaah kwa huku kuhaha na makocha Simba Ni matter core
 
Bangi za kuvuta bila kuchambua ni mbaya, Makolo mmekuwa mkiitafuta furaha kwa nguvu na kujiegemeza kwenye vihabari vya ajabu ajabu, eti lidude likubwa ni kichekesho aswaa kwa lidude likubwa linalofanya mambo yake mithili ya ihefu au maji maji, timu inaenda michuano ya kimataifa na kocha wa kuungaunga, aina kocha wa viungo, aina kocha wa makipa aina kila kitu alafu tahaira mmoja anajitokeza anabana pua "thiimba ni lidude likubwaa'" 🚮🚮🚮
 
Nasikia team inayocheza na yanga mpaka sasa hivi haijafika wameondoka siku tatu zilizopita na unaweza ukashangaa mtu akalia vile vile kesho.
 
Hebu fikiria Kibu Denis alicheza Mbeya huko miaka na miaka!! Lakini siku alitia mguu wake Simba Tanzania yote ilisimama! Na hatimaye mambo ya Uraia yakajitokeza! Amini nakuambia angeenda yanga Wala hakuna kelele ambazo zingesikika!

Sasa tuje Kwa Juma Mgunda,
Yeye alishafundisha mpaka Timu ya taifa kama msaidizi Kwa zaidi ya miaka mitatu! Huyu alikuwa na Coast union kama kocha mkuu miaka na miaka! Lakini ona alivyoingia Simba !! Kelele Tanzania nzima!!

KeShO Kuna Watu Timu Yao inacheza lakini wako bize na kufuatilia huko Malawi! Eti atakaa au hatakaa!

Imagine mambo ya Malawi na Mgunda yanajulikana zaidi na Kuna wengine hata hawajui Timu Yao inacheza na wachimba mchanga Kesho huko chamanzi wako bize na simba!!
HakiKa simba ni Timu kubwa Afrika..
Nawaacha na wimbo wa Fid q ft Prof jay na Langa Unaitwa

"NI HAYO TU!"
Yanga ni kitimu kinachochipukia
 
Umeandika kishabiki sana
Nafikiri ulianza kupenda Team kwanza kabla ya kuujua vzr mpira .
 
Back
Top Bottom