Kwa hili la mwaka mmoja wa kifo cha Magufuli, Kanisa Katoliki linapaswa kuona aibu

Kwa hili la mwaka mmoja wa kifo cha Magufuli, Kanisa Katoliki linapaswa kuona aibu

Sitaki kuzungumzia maovu ya kisiasa aliyoyafanya kwa Taifa huyu mtu, maana hata ukurasa huu hautatosha, nataka nizungumzie tu maovu aliyowafanyia kanisa Katoliki na Makanisa Mengine, halafu leo hii wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo chake

Kwanza kabisa kulikuwa na mauaji na watu kupotea kulivyoshamiri mwaka 2017 Kanisa Katoliki lilitoa waraka wa kulaani mambo hayo na kuliombea Taifa lirudi kwenye mstari, alichojibu bwana huyu ni kulikejeli Kanisa katoliki na kusema kuwa halikukemea mauaji ya Kibiti (Kitu ambacho ni uongo, Kanisa lilikemea) na hata kama halikukemea kweli ndio itafanya mauaji ya watu wale kuwa sahihi? Ni mtu muovu namna gani anayeweza kuwaza hivi? Kanisa halioni aibu kumuadhimisha mtu kama huyu?

Pili, Baraza la Maaskofu wa Makanisa ya Kiprotestanti nao wakatoa waraka wa kukemea mauaji yaliyokuwa yameshamiri nchini kipindi kile, lakini mtu huyu alivyokuwa wa ajabu alitoa wa notisi kwa makanisa hayo kufuta waraka huo ama yatafutiwa usajili, hii ilileta sekeseke hadi aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani kipindi kile Mwigulu Nchemba kuondolewa

Tatu, Askofu Kakobe, aliposema kuwa Tanzania ni nchi ya vyama vingi na vyama vyote vinapaswa kupewa nafasi, askofu huyu alitukanwa na kudhihakiwa sana na vijana wa kazi wa huyu mzee, na kunyang’anywa paspoti yake na kuambiwa sio raia wa Tanzania, haikuishia hapo askofu Kakobe alitishiwa kufilisiwa mali zake na za kanisa endapo ‘asingeunga juhudi’ . Huytu ndiye mtu Kanisa Katoliki linamuadhimisha?

Nne, Askofu Niwemugizi aliposema kudai katiba mpya sio uchochezi, mtu huyu bila chembe ya aibu alimuundia zengwe kuwa sio raia wa Tanzania na akapokjonywa paspoti, japo Askofu huyu ndio alikuwa Askofu wake tangu kabla hajawa Rais..!

Tano, Kulipokuwa na Wimbi la ugonjwa Corona, mtu huyu kwa siasa zake za kilaghai akasema Corona imeondolewa kwa maombi ya siku 3, Kanisa Katoliki ambalo linajua kuwa Mungu katupa Sayansi ya kukabiliana na majanga, likasisitiza watu kuchukua tahadhari za kisayansi na kushauri Serikali ifuate njia zilizothibitishwa Kisayansi kukabiliana na hili Janga.

Kanisa lilienda mbali na kutoa takwimu za watumishi wake kama maaskofu, mapadri, masista n.k waliokufa wengi kwa kipindi kifupi kwa dalili za ugonjwa wa Covid. Mtu huyu mnakumbuka alifanyaje?

Alikejeli vibaya viongozi wa Dini na kusema wanapotosha watu kiimani, kuna kipindi aliingia kanisani na kumkejeli padre mmoja aliyekuwa anazingatia kanuni za kujikinga na Corona. Mtu huyu leo ndio Kanisa..Au linataka kumtangaza Mtakatifuu?

Nimechagua baadhi tu ambayo yalifanyika hadharani na mtu fmfuatiliji wa siasa atayajua, ila yapo mengi sana mtu huyu aliwafanyia viongozi wa Dini kama yale ya akina Mwingira, na kukamata mapadri huko Moshi, ila niishie hapa

Najua baadhi wanaweza kuteta na kusema alikuwa kiongozi mkubwa wa nchi aliyefanya mambo makubwa hivyo lazima wamuadhimishe.

Lakini Mkapa, ambaye ni kiongozi aliyekuwa na mapungufu yake pia japo hayakufikia kiwaongo hiki, alifanya mambo makubwa sana na alipofikisha mwaka mmoja tangu kifo chake, Kanisa Katoliki halikufanya chochote
Toa ujinga wako huko. Kila siku watu hata mkono haujai mnataja hao eti walipotea. Huwezi kulinganisha kupotea hao vibaraka wako na mafanikio makubwa ya magufuli. Zulumati wa umma mlitiwa adabu. Hizo mahakama zenu mnaponunua haki zikasafishwa. Shwain fisadi wewe.
 
Toa ujinga wako huko. Kila siku watu hata mkono haujai mnataja hao eti walipotea. Huwezi kulinganisha kupotea hao vibaraka wako na mafanikio makubwa ya magufuli. Zulumati wa umma mlitiwa adabu. Hizo mahakama zenu mnaponunua haki zikasafishwa. Shwain fisadi wewe.
Anayetiwa adabu yupo kuzimu na adabu yake ndio kwanzaaa inaanza mkuu 😂😂😜
 
Sitaki kuzungumzia maovu ya kisiasa aliyoyafanya kwa Taifa huyu mtu, maana hata ukurasa huu hautatosha, nataka nizungumzie tu maovu aliyowafanyia kanisa Katoliki na Makanisa Mengine, halafu leo hii wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo chake

Kwanza kabisa kulikuwa na mauaji na watu kupotea kulivyoshamiri mwaka 2017 Kanisa Katoliki lilitoa waraka wa kulaani mambo hayo na kuliombea Taifa lirudi kwenye mstari, alichojibu bwana huyu ni kulikejeli Kanisa katoliki na kusema kuwa halikukemea mauaji ya Kibiti (Kitu ambacho ni uongo, Kanisa lilikemea) na hata kama halikukemea kweli ndio itafanya mauaji ya watu wale kuwa sahihi? Ni mtu muovu namna gani anayeweza kuwaza hivi? Kanisa halioni aibu kumuadhimisha mtu kama huyu?

Pili, Baraza la Maaskofu wa Makanisa ya Kiprotestanti nao wakatoa waraka wa kukemea mauaji yaliyokuwa yameshamiri nchini kipindi kile, lakini mtu huyu alivyokuwa wa ajabu alitoa wa notisi kwa makanisa hayo kufuta waraka huo ama yatafutiwa usajili, hii ilileta sekeseke hadi aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani kipindi kile Mwigulu Nchemba kuondolewa

Tatu, Askofu Kakobe, aliposema kuwa Tanzania ni nchi ya vyama vingi na vyama vyote vinapaswa kupewa nafasi, askofu huyu alitukanwa na kudhihakiwa sana na vijana wa kazi wa huyu mzee, na kunyang’anywa paspoti yake na kuambiwa sio raia wa Tanzania, haikuishia hapo askofu Kakobe alitishiwa kufilisiwa mali zake na za kanisa endapo ‘asingeunga juhudi’ . Huytu ndiye mtu Kanisa Katoliki linamuadhimisha?

Nne, Askofu Niwemugizi aliposema kudai katiba mpya sio uchochezi, mtu huyu bila chembe ya aibu alimuundia zengwe kuwa sio raia wa Tanzania na akapokjonywa paspoti, japo Askofu huyu ndio alikuwa Askofu wake tangu kabla hajawa Rais..!

Tano, Kulipokuwa na Wimbi la ugonjwa Corona, mtu huyu kwa siasa zake za kilaghai akasema Corona imeondolewa kwa maombi ya siku 3, Kanisa Katoliki ambalo linajua kuwa Mungu katupa Sayansi ya kukabiliana na majanga, likasisitiza watu kuchukua tahadhari za kisayansi na kushauri Serikali ifuate njia zilizothibitishwa Kisayansi kukabiliana na hili Janga.

Kanisa lilienda mbali na kutoa takwimu za watumishi wake kama maaskofu, mapadri, masista n.k waliokufa wengi kwa kipindi kifupi kwa dalili za ugonjwa wa Covid. Mtu huyu mnakumbuka alifanyaje?

Alikejeli vibaya viongozi wa Dini na kusema wanapotosha watu kiimani, kuna kipindi aliingia kanisani na kumkejeli padre mmoja aliyekuwa anazingatia kanuni za kujikinga na Corona. Mtu huyu leo ndio Kanisa..Au linataka kumtangaza Mtakatifuu?

Nimechagua baadhi tu ambayo yalifanyika hadharani na mtu fmfuatiliji wa siasa atayajua, ila yapo mengi sana mtu huyu aliwafanyia viongozi wa Dini kama yale ya akina Mwingira, na kukamata mapadri huko Moshi, ila niishie hapa

Najua baadhi wanaweza kuteta na kusema alikuwa kiongozi mkubwa wa nchi aliyefanya mambo makubwa hivyo lazima wamuadhimishe.

Lakini Mkapa, ambaye ni kiongozi aliyekuwa na mapungufu yake pia japo hayakufikia kiwaongo hiki, alifanya mambo makubwa sana na alipofikisha mwaka mmoja tangu kifo chake, Kanisa Katoliki halikufanya chochote
Tumekusikia na pumba zako, haibadilishi kukumbwa kesho kwa hayati John Pombe Magufuli. Ila kwa uandishi wako nashawishika kusema, aidha ulikuwa fisadi ukakumbana na makali ya JPM, au ndugu yako mmoja au wawili walikuwa na maovu wakakumbana na moto, au ulikuwa na vyeti fake ukawashwa au ulitumbuliwa katika wadhifa fulani, ndiyo maana unatoa cheche za machungu hapa.
 
Magufuli amevipiga vita vilivyo vyema, vita vya roho na mwendo ameumaliza.

Sasa anangojea kupewa taji ya ushindi. Na siyo yeye peke yake, bali pamoja na wateule wengine walioshinda vita.

Keep RIP our best president, JPM.
Collective imbecilization
 
Toa ujinga wako huko. Kila siku watu hata mkono haujai mnataja hao eti walipotea. Huwezi kulinganisha kupotea hao vibaraka wako na mafanikio makubwa ya magufuli. Zulumati wa umma mlitiwa adabu. Hizo mahakama zenu mnaponunua haki zikasafishwa. Shwain fisadi wewe.
Wewe Nguruwe,Ben Saanane angekuwa jaamaa Yako ungeandika mavi haya! Pumbavu!
Watu wameumizwa wewe unaleta Uch....
 
Tumekusikia na pumba zako, haibadilishi kukumbwa kesho kwa hayati John Pombe Magufuli. Ila kwa uandishi wako nashawishika kusema, aidha ulikuwa fisadi ukakumbana na makali ya JPM, au ndugu yako mmoja au wawili walikuwa na maovu wakakumbana na moto, au ulikuwa na vyeti fake ukawashwa au ulitumbuliwa katika wadhifa fulani, ndiyo maana unatoa cheche za machungu hapa.
😂😂 Mzee vipi nimeongea chochote Cha uwongo kuhusu mungu wako hapo?
 
So ataitaje wakwepa kodi na wahamiaji haramu ikulu na kuomba ushauri wao?
Nafurahi kuwa katika uzi wako fake umechokoza nyuki, na mawe haya unayokula ni ushahidi tosha kuwa ulichoandika humu ni PUMBA TUPU! Wacha uendelee kushindiliwa mawe!
 
nani kasema Ikulu ni mbinguni? Kama yule muuaji aliweza kukaa pale patakuwa mbinguni? hapa sizungumziii viongozi wa dini kuwa perfect, nazungumzia huyu mjinga ku persecute viongoizi wa dini wanapotofautiana nae kisiasa kisha kuwakumbatia wakimuunga mkono...
Pole sana najua ulikiona cha mtemakuni kwa JPM!
 
Unafuu upo Sana.. Samia kaifungua nchi biashara tunafanya na majirani, kaiondoa Covid kwa chanjo utalii umerudi, kalipa madeni mzunguko wa hela umerudi, kaachia wafungwa wa kiasiasa, kaiondoa retention fee kwa waajiriwa wanachuo, hawindi wapinzani wake Kama swala, hatukani viongozi wa serikali au wa dini hadharani na vingine, sekta binafsi imeanza kushamiri..hajitukuzi Kama Mungu mtu Hadi kukera watu😂😂
Yapo mengi sana mazuri aliyafanya hayati JPM, waulize waliodhulumiwa viwanja vyao miaka mingi ya mateso waliyopitia.

Umeme haukukatika kama kuanzia mwaka jana kuja mwaka huu, wale waliokuwa wakitembea kwa jeuri mikia yote ilirudi tumboni.

Hakukuwa na mwenye jeuri ya kumwambia mwenzake 'unanijua mimi ni nani?', kila mtu alimuogopa anayeongea naye.

Samia anatembelea mafanikio ya JPM na ya watangulizi wake, uzuri ni kwamba kila rais anafanya sehemu yake na anaondoka akimwachia anayefuata.
 
Yapo mengi sana mazuri aliyafanya hayati JPM, waulize waliodhulumiwa viwanja vyao miaka mingi ya mateso waliyopitia.

Umeme haukukatika kama kuanzia mwaka jana kuja mwaka huu, wale waliokuwa wakitembea kwa jeuri mikia yote ilirudi tumboni.

Hakukuwa na mwenye jeuri ya kumwambia mwenzake 'unanijua mimi ni nani?', kila mtu alimuogopa anayeongea naye.

Samia anatembelea mafanikio ya JPM na ya watangulizi wake, uzuri ni kwamba kila rais anafanya sehemu yake na anaondoka akimwachia anayefuata.
Alitoa wenye jeuri? Hawa akina Sabaya na magenge yao waliokuwa wakienda Benki na kuamuru watolewe milioni 90? Hawa Akina Makonda na magenge yake waliokuwa wanavamia vituo vya habari na kulazimisha habari zao zirushwe?
Mapolo
 
Alitoa wenye jeuri? Hawa akina Sabaya na magenge yao waliokuwa wakienda Benki na kuamuru watolewe milioni 90? Hawa Akina Makonda na magenge yake waliokuwa wanavamia vituo vya habari na kulazimisha habari zao zirushwe?
Mapolo
Huwezi kuwalinganisha na ndege nane alizonunua kwa pesa za ndani. Huwezi kuwalinganisha na ufufuaji wa shirika la ndege tuliloliua kwa uzembe wetu wenyewe.

Huwezi kuwalinganisha na ujenzi wa terminal ya uwanja wa ndege ambayo kama sio msisitizo wake isingemalizika ndani ya muda.

Huwezi kuwalinganisha na ujenzi wa barabara zote alizozijenga na kuzisimamia pamoja na flyovers zote.
 
Sitaki kuzungumzia maovu ya kisiasa aliyoyafanya kwa Taifa huyu mtu, maana hata ukurasa huu hautatosha, nataka nizungumzie tu maovu aliyowafanyia kanisa Katoliki na Makanisa Mengine, halafu leo hii wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo chake

Kwanza kabisa kulikuwa na mauaji na watu kupotea kulivyoshamiri mwaka 2017 Kanisa Katoliki lilitoa waraka wa kulaani mambo hayo na kuliombea Taifa lirudi kwenye mstari, alichojibu bwana huyu ni kulikejeli Kanisa katoliki na kusema kuwa halikukemea mauaji ya Kibiti (Kitu ambacho ni uongo, Kanisa lilikemea) na hata kama halikukemea kweli ndio itafanya mauaji ya watu wale kuwa sahihi? Ni mtu muovu namna gani anayeweza kuwaza hivi? Kanisa halioni aibu kumuadhimisha mtu kama huyu?

Pili, Baraza la Maaskofu wa Makanisa ya Kiprotestanti nao wakatoa waraka wa kukemea mauaji yaliyokuwa yameshamiri nchini kipindi kile, lakini mtu huyu alivyokuwa wa ajabu alitoa wa notisi kwa makanisa hayo kufuta waraka huo ama yatafutiwa usajili, hii ilileta sekeseke hadi aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani kipindi kile Mwigulu Nchemba kuondolewa

Tatu, Askofu Kakobe, aliposema kuwa Tanzania ni nchi ya vyama vingi na vyama vyote vinapaswa kupewa nafasi, askofu huyu alitukanwa na kudhihakiwa sana na vijana wa kazi wa huyu mzee, na kunyang’anywa paspoti yake na kuambiwa sio raia wa Tanzania, haikuishia hapo askofu Kakobe alitishiwa kufilisiwa mali zake na za kanisa endapo ‘asingeunga juhudi’ . Huytu ndiye mtu Kanisa Katoliki linamuadhimisha?

Nne, Askofu Niwemugizi aliposema kudai katiba mpya sio uchochezi, mtu huyu bila chembe ya aibu alimuundia zengwe kuwa sio raia wa Tanzania na akapokjonywa paspoti, japo Askofu huyu ndio alikuwa Askofu wake tangu kabla hajawa Rais..!

Tano, Kulipokuwa na Wimbi la ugonjwa Corona, mtu huyu kwa siasa zake za kilaghai akasema Corona imeondolewa kwa maombi ya siku 3, Kanisa Katoliki ambalo linajua kuwa Mungu katupa Sayansi ya kukabiliana na majanga, likasisitiza watu kuchukua tahadhari za kisayansi na kushauri Serikali ifuate njia zilizothibitishwa Kisayansi kukabiliana na hili Janga.

Kanisa lilienda mbali na kutoa takwimu za watumishi wake kama maaskofu, mapadri, masista n.k waliokufa wengi kwa kipindi kifupi kwa dalili za ugonjwa wa Covid. Mtu huyu mnakumbuka alifanyaje?

Alikejeli vibaya viongozi wa Dini na kusema wanapotosha watu kiimani, kuna kipindi aliingia kanisani na kumkejeli padre mmoja aliyekuwa anazingatia kanuni za kujikinga na Corona. Mtu huyu leo ndio Kanisa..Au linataka kumtangaza Mtakatifuu?

Nimechagua baadhi tu ambayo yalifanyika hadharani na mtu fmfuatiliji wa siasa atayajua, ila yapo mengi sana mtu huyu aliwafanyia viongozi wa Dini kama yale ya akina Mwingira, na kukamata mapadri huko Moshi, ila niishie hapa

Najua baadhi wanaweza kuteta na kusema alikuwa kiongozi mkubwa wa nchi aliyefanya mambo makubwa hivyo lazima wamuadhimishe.

Lakini Mkapa, ambaye ni kiongozi aliyekuwa na mapungufu yake pia japo hayakufikia kiwaongo hiki, alifanya mambo makubwa sana na alipofikisha mwaka mmoja tangu kifo chake, Kanisa Katoliki halikufanya chochote
Futa huu uzi wako hapa,Magufuli ni Rais bora wa wakati wote.

Ukiwa kiongozi si lazima watu wote wakupende
 
Huwezi kuwalinganisha na ndege nane alizonunua kwa pesa za ndani. Huwezi kuwalinganisha na ufufuaji wa shirika la ndege tuliloliua kwa uzembe wetu wenyewe.

Huwezi kuwalinganisha na ujenzi wa terminal ya uwanja wa ndege ambayo kama sio msisitizo wake isingemalizika ndani ya muda.

Huwezi kuwalinganisha na ujenzi wa barabara zote alizozijenga na kuzisimamia pamoja na flyovers zote.
Kumbuka Magufuli ndio Rais aliyekopa mikopo Mungu kuliko Marais wote ndani ya miaka 5 tu,

Kikwete naye aliunganisha nchi nzima kwa barabara za lami, miradi ya umeme wa gesi, shule za sekondari Kila kata, ajira za kumwaga, vyuo vikuu vikubwa na vya kati, hospitali n.k bila kukopa Sana

Lakini haikuwa excuse ya mabaya yake, na yeye alikuwa na mapungufu yake ya ufisadi amabayo tuliyasema,
 
Mkuu, inakuuma nini watu kufanya wanachoona ni sahihi. Kwa kuwa tupo nchi huru na wewe andaa kongamano uelezee unachojisikia kuelewa.

Usipanjia watu cha kufanya hauna mamlaka hiyo.
Mbona unajichanganya mwenyewe.
Yeye hii njia ndiyo aliyoichagua, kuchambua maovu yaliyofanywa na huyo mtu. Tatizo liko wapi?

Magufuli alikuwa ni mtu mwovu; shetani aliyekuwa kwenye kiwiliwili cha binaadam.
 
Kumsamehe na kumuadhimisha ni tofauti, kwa nini wasiadhimishe kifo cha mkapa?
Hili ni swali zuri sana la kuwauliza hao wakatoliki. Ngoja vumbi litulie halafu tuwatafute watupe jibu. Kwa nini Magufuli na siyo Mkapa?
 
Kama unategemea viongozi wa dini kwenye harakati zako tambua kuwa unapotea mazima.
Viongozi wengi wa dini wana roho mbaya kuliko hata hii unayoisema hapa!
 
Hili ni swali zuri sana la kuwauliza hao wakatoliki. Ngoja vumbi litulie halafu tuwatafute watupe jibu. Kwa nini Magufuli na siyo Mkapa?
Wakikupa jibu ujitafakari sana. Utakuwa umedanganywa sana yaani.
 
Back
Top Bottom