Kwa hili la mwaka mmoja wa kifo cha Magufuli, Kanisa Katoliki linapaswa kuona aibu

Kwa hili la mwaka mmoja wa kifo cha Magufuli, Kanisa Katoliki linapaswa kuona aibu

HAPO KINACHOTAFUTWA NI SADAKA, HUJUI!?

Siku hizi vinatafutwa vimisa ambavyo havina sababu ili watu wapate hela za bia
 
Sitaki kuzungumzia madhila ya kisiasa aliyoyafanya kwa Taifa huyu mtu, maana hata ukurasa huu hautatosha, nataka nizungumzie tu madhila aliyowafanyia kanisa Katoliki na Makanisa Mengine...
Hakuna watu wanafiki km viongozi wa dini wanaangalia matumbo yao.
 
Kanisa LA ROMA haliwezi kuadhimisha kifo cha jahili asiyetambulika.

Ila linatoa huduma ya maadhimisho nduguze wakiomba lifanye hvo.
 
Back
Top Bottom