Kwa hili la panadol, Kenya inachezewa rafu na Tanzania?

Kwa hili la panadol, Kenya inachezewa rafu na Tanzania?

Jamaa yuko sahihi, not Panadol but Paracetamol.
Haya sasa toeni maoni
Aiseee hii kitu Huwa nashindwa kuielewa,mara zote naandikiwa Paracetamol lakini hili jina Panadol mbona limezoeleka sana?
Au ndo ile ya kusema kila kituo cha mafuta kinaitwa Shell?
 
So you are talking of chemical formula/composition?

Yeye ametaja anachokisoma... Amekwambia au kwa akili yako unaona kaulizia compostion?


1. Hakuna neno Panadol?

2. Waliondika panadol hawana uelewa?

3. Kwanini wameandika hilo neno?
Owk, tuyaache hayo mkuu, tusiharibu uzi
Hebu turudi kwenye mada sasa..
 

Attachments

  • DSC_0172.JPG
    DSC_0172.JPG
    122.6 KB · Views: 50
  • DSC_0171.JPG
    DSC_0171.JPG
    119.8 KB · Views: 46
Owk, tuyaache hayo mkuu, tusiharibu uzi
Hebu turudi kwenye mada sasa..

Nyinyi mnaingiza ujuwaji pasipo kabisa

Huyu mleta uzi yuko very clear....badala ya kujibu kero yake mnaanza uzushi

Haipendezi
 
Sawa kaka nimekubali make nimerudia kusoma tena. Toa maoni sasa sio uishie kukosoa tu.

Mkuu soko la madawa liko complicated sana, hadi sasa sijui kuna paracetamol ngapi kwenye market ya Tz, but kwa hapo sidhani kama serikali imehusika,

Prices of pharmaceutical products are subject to prices changes always,

Nikukumbushe tu kuna paracetamol za kutosha kwenye market ya madawa Tanzania,

Hizo ni mbili za ke na Tz unazozijua wewe, zipo za India za kutosha, na nchi nyingine za ulaya pia,
 
Huu ni mjadara ndo maana nimeleta humu ili kila mtu atoe maoni yake, sasa KENGE kama wewe unaanza kutukana wakati mimi nimekujibu kiustaarabu
Umetukanwa wapi wewe?,kuambiwa ukweli ndio ndio kutukanwa?,na,huyo KENGE unayemzungumzia wewe ni yule mwenye mkia au ambaye hana mkia,kabla ya kuleta vitu hapa uwe utumia akili hata kidogo sio kuandika vitu bogus halafu unajiita Great Thinker
 
Nyinyi mnaingiza ujuwaji pasipo kabisa

Huyu mleta uzi yuko very clear....badala ya kujibu kero yake mnaanza uzushi

Haipendezi
Hii ni technical topic,
Tukimuweka sawa pale anapokosea nadhani itapendeza!
 
Hii ni technical topic,
Tukimuweka sawa pale anapokosea nadhani itapendeza!

Hajakuuliza mambo ya technical wewe ningekuwa mwalimu wako I could give you zero kwenye response yako kwa hoja hii

Unajibu kisicho kwenye hoja.....mambo ya technical ya huko pharmacy na hajauliza hilo unalolazimisha.
 
Unaelewa unachobisha?

Umelewa concerns za mleta hoja?

Ukielewa hayo maswali mawili then focus kwenye hoja

Hilo box maandishi makubwa kumbe kuyatamka au kuyatumia nimakosa? Pathetic
Nadhani nimemjibu,
Wewe huwezi elewa haya mambo, mliacha science form two mnatupa shida huku.
 
Hajakuuliza mambo ya technical wewe ningekuwa mwalimu wako I could give you zero kwenye response yako kwa hoja hii

Unajibu kisicho kwenye hoja.....mambo ya technical ya huko pharmacy na hajauliza hilo unalolazimisha.
Huwezi kuwa Mwalimu wangu wewe,
Huna content ya kunifundisha chochote,
Go back nimeshamjibu concern yake tayari.
And fyi I am not even a Pharmacist
 
Panador za Kenya hata zifike 5,000 tutanunua tu maana za Tanzania unaweza kufa unajiona Homa haishuki pumbavu kabisa sawa tu na zile wanazoziita za Germany ovyo kabisa
 
Nadhani nimemjibu,
Wewe huwezi elewa haya mambo, mliacha science form two mnatupa shida huku.

Tatizo huelewi unabishana na nani....nikupe pole

Kwa ujuwaji holela....unajibu usichoulizwa then unajisifu mtaalam

Hakika hujielewi.....always understand the question respond respectively otherwise majanga
 
Back
Top Bottom