Huwezi kuwa Mwalimu wangu wewe,
Huna content ya kunifundisha chochote,
Go back nimeshamjibu concern yake tayari.
And fyi I am not even a Pharmacist
Umemjibu bei imtofautiana kwasababu Paracetamol? Is this the answer for the question?
Usomi wa BRN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwa Mwalimu wangu wewe,
Huna content ya kunifundisha chochote,
Go back nimeshamjibu concern yake tayari.
And fyi I am not even a Pharmacist
Umemjibu bei imtofautiana kwasababu Paracetamol? Is this the answer for the question?
Usomi wa BRN
Mkuu tatizo tukiwaelewesha mnatuita wajuaji,Panador za Kenya hata zifike 5,000 tutanunua tu maana za Tanzania unaweza kufa unajiona Homa haishuki pumbavu kabisa sawa tu na zile wanazoziita za Germany ovyo kabisa
Hii heading ya huu Uzi mpelekee shigongo, hovyo sanaJamani kwa kweli kwa nilichokiona leo ni mwendelezo wa hujuma zinazofanywa na serikali ya Tanzania dhidi ya bidhaa za Kenya hapa nchini.
KWANINI?
Leo nimeingia famasi flani ambayo kila nikitoka kufanya vipimo ndo huwa nachukua dawa, sasa kilichonishangaza ni kupanda ghafla kwa bei ya dawa za Kenya. Kiukweli kuna PANADOL ya Kenya na ile ya Tanzania.
Zamani ile ya Kenya iliunzwa Tsh 1000(Tablet 1 yenye vidonge 10) huku ile ya Tanzania ikiuzwa Tsh 500(Tablet 1 yenye vidonge 10). Lakini cha kishangaza ni kwamba ile ya Kenya kwa sasa ni 1500 huku ya Tanzania ni 500 ileile. Hapo wateja lazima ile ya Kenya haitapata wateja.
MASWALI
(1)Je,hiyo ya kenya kupanda kwake bei ni kwasababu imeongezwa ubora kuliko ya Tanzania?
(2)Je,ni serikali ya Tanzania iliyoamua kuongeza ushuru wa bidhaa inayotoka Kenya ili kui-promote ile ya ndani?
(3)Au kuna sababu nyingine?
Naombeni wakenya na Watanzania tutoe mawazo yetu ili tujue nini Chanzo, binafsi mimi sielewi na imenibidi nichukue ile ya Tanzania-Uzalendo Kwanza. Na mpaka sasa niko fresh na namshukuru mungu
Sasa mkuu mbona kuna zilizo andikwa MADE IN KENYA? na ZINGINE TZ? Kwahiyo sio za nchi hizo kiaje?Mkuu tatizo tukiwaelewesha mnatuita wajuaji,
Hizo Paracetamol sio za Kenya,
Ni za GSK, (GlaxoSimthCline)
Jaribu kugoogle ujiongezee maarifa,
Usiwe miongoni mwa common mwananchi,
Knowledge if free nowadays.
Ulitaka nielewe hivyo, good,Nilitaka uelewe yafutayo
1. Siku zote jielekeze kwenye mada....usiingize mahaba yako.
2. Majina yapo na yanatumika tofauti kulingana na wahusika
-Wafamasia wataongea kifamasia..kwa lugha yakitaalam
-Raia wakawaida wataongea rugha yao ya mtaani
3. Swali halikuhusu panadol inacomposition zipi....aliuliza bei (cost) ...nayeye amesoma kilichoandikwa kwenye box....wewe ukajiingizia mahaba yako....haipendezi
5. Kuanza kumkosoa..... Paracetamol uliingiza hoja yako....you lost focus completely
Inapendeza kuheshimu hoja za watu na tuheshimu maandishi otherwise washauri wafute neno PANADOL or else waache watu walitumie....hatuko kusomea ufamasia hapa
Swala ni baiskel
Phoenix ni baiskeli
Lale ni baiskeli
Sasa mtu kutamka Phoenix zinabei kubwa sana hajakosea japo zote ni baiskeli....yeye kasoma neno Phoenix.... Hajakosea ndivo ilivoandikwa
Tutafia madarasani kusoma kila kilichopo duniani.Watu wanachanganya baina ya brand name na medicine name
good triedPanador za Kenya hata zifike 5,000 tutanunua tu maana za Tanzania unaweza kufa unajiona Homa haishuki pumbavu kabisa sawa tu na zile wanazoziita za Germany ovyo kabisa
Hapa itapendeza zaidi, RED = Baskeli gani hiyo??Swala ni baiskel
Phoenix ni baiskeli
Lale ni baiskeli[/B][/I]
Kweli kabisa, wengine tumesoma Physics na tena kwa kuunga ungaTutafia madarasani kusoma kila kilichopo duniani.
Hayo ma differential tunawaachia waliosoma pharmacognosy
Sio vibaya kusoma ili uelewe kilichomo, pengine unakunywa dawa yenye mchanganyiko wa unga wa muhogo na asali wewe hujui, si bora ujue ili usipate tabu utafute tu unga wako wa muhogo na asali[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Tutafia madarasani kusoma kila kilichopo duniani.
Hayo ma differential tunawaachia waliosoma pharmacognosy
Hapo nahisi kuna brand name na actual scientific name. Au brand name na general name.So the writing on boxes are mistaken?
Mchochezi kiaje? Funguka mkuu make huu ndo uhalisia ulioko mtaani kwa sasaMtoa post, mchochezi
Ndio maana kuna wafamasia ili sisi mangaliba kazi yetu iwe ni kufyeka zunga tu, mambo ya mchanganyiko wa Dawa watajua pharmacistSio vibaya kusoma ili uelewe kilichomo, pengine unakunywa dawa yenye mchanganyiko wa unga wa muhogo na asali wewe hujui, si bora ujue ili usipate tabu utafute tu unga wako wa muhogo na asali[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Inatakiwa uelewe japo kidogo japo sio kwa kwenda deep sanaNdio maana kuna wafamasia ili sisi mangaliba kazi yetu iwe ni kufyeka zunga tu, mambo ya mchanganyiko wa Dawa watajua pharmacist
Sasa useme kwa usahihi ni vipi panadol au paracetamol?Inatakiwa uelewe japo kidogo japo sio kwa kwenda deep sana