Kwa hili la panadol, Kenya inachezewa rafu na Tanzania?

Kwa hili la panadol, Kenya inachezewa rafu na Tanzania?

Huwezi kuwa Mwalimu wangu wewe,
Huna content ya kunifundisha chochote,
Go back nimeshamjibu concern yake tayari.
And fyi I am not even a Pharmacist

Umemjibu bei imtofautiana kwasababu Paracetamol? Is this the answer for the question?

Usomi wa BRN
 
Umemjibu bei imtofautiana kwasababu Paracetamol? Is this the answer for the question?

Usomi wa BRN
IMG_20171119_213833_940.JPG
 
Panador za Kenya hata zifike 5,000 tutanunua tu maana za Tanzania unaweza kufa unajiona Homa haishuki pumbavu kabisa sawa tu na zile wanazoziita za Germany ovyo kabisa
Mkuu tatizo tukiwaelewesha mnatuita wajuaji,
Hizo Paracetamol sio za Kenya,
Ni za GSK, (GlaxoSimthKline)
Jaribu kugoogle ujiongezee maarifa,
Usiwe miongoni mwa common mwananchi,
Knowledge if free nowadays.
 
Jamani kwa kweli kwa nilichokiona leo ni mwendelezo wa hujuma zinazofanywa na serikali ya Tanzania dhidi ya bidhaa za Kenya hapa nchini.

KWANINI?

Leo nimeingia famasi flani ambayo kila nikitoka kufanya vipimo ndo huwa nachukua dawa, sasa kilichonishangaza ni kupanda ghafla kwa bei ya dawa za Kenya. Kiukweli kuna PANADOL ya Kenya na ile ya Tanzania.
Zamani ile ya Kenya iliunzwa Tsh 1000(Tablet 1 yenye vidonge 10) huku ile ya Tanzania ikiuzwa Tsh 500(Tablet 1 yenye vidonge 10). Lakini cha kishangaza ni kwamba ile ya Kenya kwa sasa ni 1500 huku ya Tanzania ni 500 ileile. Hapo wateja lazima ile ya Kenya haitapata wateja.

MASWALI
(1)Je,hiyo ya kenya kupanda kwake bei ni kwasababu imeongezwa ubora kuliko ya Tanzania?
(2)Je,ni serikali ya Tanzania iliyoamua kuongeza ushuru wa bidhaa inayotoka Kenya ili kui-promote ile ya ndani?
(3)Au kuna sababu nyingine?

Naombeni wakenya na Watanzania tutoe mawazo yetu ili tujue nini Chanzo, binafsi mimi sielewi na imenibidi nichukue ile ya Tanzania-Uzalendo Kwanza. Na mpaka sasa niko fresh na namshukuru mungu
Hii heading ya huu Uzi mpelekee shigongo, hovyo sana
 

Nilitaka uelewe yafutayo

1. Siku zote jielekeze kwenye mada....usiingize mahaba yako.

2. Majina yapo na yanatumika tofauti kulingana na wahusika
-Wafamasia wataongea kifamasia..kwa lugha yakitaalam

-Raia wakawaida wataongea rugha yao ya mtaani

3. Swali halikuhusu panadol inacomposition zipi....aliuliza bei (cost) ...nayeye amesoma kilichoandikwa kwenye box....wewe ukajiingizia mahaba yako....haipendezi

5. Kuanza kumkosoa..... Paracetamol uliingiza hoja yako....you lost focus completely

Inapendeza kuheshimu hoja za watu na tuheshimu maandishi otherwise washauri wafute neno PANADOL or else waache watu walitumie....hatuko kusomea ufamasia hapa

Swala ni baiskel

Phoenix ni baiskeli

Lale ni baiskeli

Sasa mtu kutamka Phoenix zinabei kubwa sana hajakosea japo zote ni baiskeli....yeye kasoma neno Phoenix.... Hajakosea ndivo ilivoandikwa
 
Mkuu tatizo tukiwaelewesha mnatuita wajuaji,
Hizo Paracetamol sio za Kenya,
Ni za GSK, (GlaxoSimthCline)
Jaribu kugoogle ujiongezee maarifa,
Usiwe miongoni mwa common mwananchi,
Knowledge if free nowadays.
Sasa mkuu mbona kuna zilizo andikwa MADE IN KENYA? na ZINGINE TZ? Kwahiyo sio za nchi hizo kiaje?
 
Kama sh. ya Kenya imepanda unategemea nini? Ni mambo ya kawaida, ukitaka mambo yawe sawa na sh. ya Tz ipande
 
Nilitaka uelewe yafutayo

1. Siku zote jielekeze kwenye mada....usiingize mahaba yako.

2. Majina yapo na yanatumika tofauti kulingana na wahusika
-Wafamasia wataongea kifamasia..kwa lugha yakitaalam

-Raia wakawaida wataongea rugha yao ya mtaani

3. Swali halikuhusu panadol inacomposition zipi....aliuliza bei (cost) ...nayeye amesoma kilichoandikwa kwenye box....wewe ukajiingizia mahaba yako....haipendezi

5. Kuanza kumkosoa..... Paracetamol uliingiza hoja yako....you lost focus completely

Inapendeza kuheshimu hoja za watu na tuheshimu maandishi otherwise washauri wafute neno PANADOL or else waache watu walitumie....hatuko kusomea ufamasia hapa

Swala ni baiskel

Phoenix ni baiskeli

Lale ni baiskeli

Sasa mtu kutamka Phoenix zinabei kubwa sana hajakosea japo zote ni baiskeli....yeye kasoma neno Phoenix.... Hajakosea ndivo ilivoandikwa
Ulitaka nielewe hivyo, good,
But nami pia nilitaka kabla ya kumjibu angalau aelewe tofauti ya Panadol na paracetamol na ndio angeelewa hilo jibu nililompa kuhusu concern yake,
Lakini pia, hili liwe funzo kwa wengine pia, ni vema uwe na walau grounds kuhusu jambo husika kabla ya kulileta humu kama topic

Bila kutofautisha Panadol na paracetamol asingepata majibu ya maswali yake,
Tanzania haiwezi hujumu hizo alizoziita za Kenya ikategemea kunufaisha za shellys ikiwa kuna nyinginezo nyingi zinamiminika toka Asia na Ulaya..
Nikukumbushe tu kuwa nimeongea layman language hapo, sijazungumza Medical, biochemistry wala pharmacology hapo, ningefika huko ndiyo ungepaswa kunihukumu,
Lugha niliyoitumia ni ile iliyopo kwenye lile karatasi la ndani ya box la dawa japo sijui kama huwa mnasoma mnapouziwa hayo madawa.
 
Watu wanachanganya baina ya brand name na medicine name
Tutafia madarasani kusoma kila kilichopo duniani.
Hayo ma differential tunawaachia waliosoma pharmacognosy
 
Tutafia madarasani kusoma kila kilichopo duniani.
Hayo ma differential tunawaachia waliosoma pharmacognosy
Kweli kabisa, wengine tumesoma Physics na tena kwa kuunga unga
 
Tutafia madarasani kusoma kila kilichopo duniani.
Hayo ma differential tunawaachia waliosoma pharmacognosy
Sio vibaya kusoma ili uelewe kilichomo, pengine unakunywa dawa yenye mchanganyiko wa unga wa muhogo na asali wewe hujui, si bora ujue ili usipate tabu utafute tu unga wako wa muhogo na asali[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
So the writing on boxes are mistaken?
Hapo nahisi kuna brand name na actual scientific name. Au brand name na general name.

Kama vile Shell na Petrol Sation au Gas Station au Fuel Filling station. Shell ni jina tu la kampuni ya petroleum wakati hivyo vingine ni vituo vya kuuza au kujaza mafuta.

Eg. Kusema naenda shell ya BP sababu bei pale ni nafuu. Badala ya kusema naenda BP gas/fuel filling station pale bei ni nafuu. Shell na BP(sasa puma ) ni sawa na Pepsi na Coca Cola vyote ni brand au majina ya kampuni.
 
Sio vibaya kusoma ili uelewe kilichomo, pengine unakunywa dawa yenye mchanganyiko wa unga wa muhogo na asali wewe hujui, si bora ujue ili usipate tabu utafute tu unga wako wa muhogo na asali[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ndio maana kuna wafamasia ili sisi mangaliba kazi yetu iwe ni kufyeka zunga tu, mambo ya mchanganyiko wa Dawa watajua pharmacist
 
Ndio maana kuna wafamasia ili sisi mangaliba kazi yetu iwe ni kufyeka zunga tu, mambo ya mchanganyiko wa Dawa watajua pharmacist
Inatakiwa uelewe japo kidogo japo sio kwa kwenda deep sana
 
Inatakiwa uelewe japo kidogo japo sio kwa kwenda deep sana
Sasa useme kwa usahihi ni vipi panadol au paracetamol?

Nikisema panadol nimetamka kitu tofauti na paracetamol?
 
Back
Top Bottom