Kwa hili la panadol, Kenya inachezewa rafu na Tanzania?

hii isuzu ya toyota bei yake ipo juu sana.
Kumbe nimeeleweka[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
hapo hujuma inaingiajew? Mwenye famasi akipandisha bei ya dawa na watu wakishindwa kununua inakuwa hasara ya nani? Bila shaka jibu unalo kwamba ni hasara ya mwenye famasi.
 
Watu mmeacha kumfahamisha vizuri mleta uzi badala yake mnaleta mabishano mpk uzi umepoteza mvuto..
 
tablet 1 yenye vidonge 10 , nini hiki sasa? Ile ni blister 1 yenye tablets 10 .
Hivi huko shuleni huwa mnaenda kujifunza ujinga?
 
Tablet 1 yenye vidonge kumi=blister pack moja yenye vidonge(tablets) kumi
 
Nyinyi mnaingiza ujuwaji pasipo kabisa

Huyu mleta uzi yuko very clear....badala ya kujibu kero yake mnaanza uzushi

Haipendezi
Mleta mada au wewe ndio ulioleta na I'd tofauti.?
 
Misconception nyingine mtaani ni kwamba;
Panadol Extra (Nyekundu) = Ya Tanzania
Panadol Advance (Blue) = Ya Kenya.
Hizi ni brand names tu, kwa hio bei mara nyingi hutofautiana. GlaxoSmithKline ambao ndio watengenezaji wa dawa hizi ni waingereza ila wana kiwanda Kenya. Waafrika tumebaki kupambana kwa ajili ya mali ya wenzetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…