Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Mzungu yeye anafikiria athari ‘insurer’ yeye hajali njia ikiwa na hatari tu, insurance cover inapanda..
Lengo hasa ni Hilo,wanaosakwa hasa ni EU.
Nikirejea Syria,Afrika magharibi naanza pata jibu,hapo Red sea hapawezekani Tena.
Are you sure 30 minutes is enoughNaipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Kwani zile Kombora za Muajemi kutoka YEMEN hazifiki Mikocheni ?Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Nimekupata sanaHiyo ni main route ya trade kati ya Asia na Europe. Kwa siku moja hapo kwa wastan zinakatiza meli 240.
Kutokana na tishio la usalama kwa sasa 80% ya meli za EU zinazungukia SA, gharama ya mafuta imeongezeka, insurance imepanda, kuna delay ya mizigo na gharama halisi zinaenda kwa mlaji wa mwisho EU.
EU kama bara bado wanapambana na inflation kwenye chumi zao, halafu wewe tena unaenda kuwaongezea matatizo, lilikuwa ni swala la muda kabla awajapeleka kichapo Yemen.
Hao mafala baada ya mwezi mmoja watakuwa hoi maana vifaa vyao na kambi zao zote zimepigwa Jana na Leo hata rada zimeharibiwa maeneo yao yote ikiwemo na vituo vya kurushia makombora ya masafa marefu.Wahauthi wadhibitiwe ili wasiweze kurusha makombora Baharini au kutega mabomu kwenye njia za Meli.
Kama wana hasira kwa ndugu zao kupigwa huko Gaza basi waende Gaza kuwasaidia.
Pumbavu kabisa wewe, hebu tuambie utashindaje Afcon wewe mwenye ajili?Huna akili wewe ni broiller
Marekani ni mlinzi wa amani duniani na ndio maana amejitolea kuongoza operation ya kuzuia magaidi ya Houthi kuharibu biashara ya kimataifa.Sasa Marekani si ndio gaidi la dunia?
Hivi ugaidi unaofanyika Ukraine ni kwa ajili ya interest za nani njama sio Mmarekani??
Bila Marekani yote yangetokea??
Huyo Marekani kila siku anasapoti vurugu kwenye nchi za watu maana anajua zikifanyika kwake watu watakufa ovyo.
Nyinyi mapoyoyo ndio mnakuja kuwasifia
Acha umbumbu wa kuleta hoja za kujiunga na wakoloni dhalimu.Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Kuna bidhaa gani kuja Africa zinazo pita huko maana hata mafuta tunanua Toka refineries za Ulaya?Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!