Kwa hili la red sea nchi zote za afrika tunatakiwa kuungana na UK, USA, kuichakaza Yemen. Afrika ndio muathirika mkuu wa ufedhuli huu!

Kwa hili la red sea nchi zote za afrika tunatakiwa kuungana na UK, USA, kuichakaza Yemen. Afrika ndio muathirika mkuu wa ufedhuli huu!

.
Lengo hasa ni Hilo,wanaosakwa hasa ni EU.

Nikirejea Syria,Afrika magharibi naanza pata jibu,hapo Red sea hapawezekani Tena.
Mzungu yeye anafikiria athari ‘insurer’ yeye hajali njia ikiwa na hatari tu, insurance cover inapanda.

Mwenye meli kabla ajapata hasara ya meli yake, bora abadili njia.

Na western countries ukicheza na uchumi wao kabla ujapeleka madhara makubwa chances are watakuvaa.
 
Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Are you sure 30 minutes is enough
to climb usambara mountain you will need more than 30 minutes
maybe i cannot underestimate your power
 
Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Kwani zile Kombora za Muajemi kutoka YEMEN hazifiki Mikocheni ?

Hebu tuache aisee
 
Hiyo ni main route ya trade kati ya Asia na Europe. Kwa siku moja hapo kwa wastan zinakatiza meli 240.

Kutokana na tishio la usalama kwa sasa 80% ya meli za EU zinazungukia SA, gharama ya mafuta imeongezeka, insurance imepanda, kuna delay ya mizigo na gharama halisi zinaenda kwa mlaji wa mwisho EU.

EU kama bara bado wanapambana na inflation kwenye chumi zao, halafu wewe tena unaenda kuwaongezea matatizo, lilikuwa ni swala la muda kabla awajapeleka kichapo Yemen.
Nimekupata sana
 
Wewe chawa Yemen siyo Chadema, kaa kwa kutulia. Labda mtumeni yule Balozi wenu wa Cuba asiyejua diplosia akawafokee Wayemen. Otherwise you are horrible as your thread.
Huna akili wewe ni broiller
 
Wahauthi wadhibitiwe ili wasiweze kurusha makombora Baharini au kutega mabomu kwenye njia za Meli.

Kama wana hasira kwa ndugu zao kupigwa huko Gaza basi waende Gaza kuwasaidia.
Hao mafala baada ya mwezi mmoja watakuwa hoi maana vifaa vyao na kambi zao zote zimepigwa Jana na Leo hata rada zimeharibiwa maeneo yao yote ikiwemo na vituo vya kurushia makombora ya masafa marefu.
Ni suala la muda Tu hawa wachumba wa houthi hawatakuwepo tena
 
Sasa Marekani si ndio gaidi la dunia?


Hivi ugaidi unaofanyika Ukraine ni kwa ajili ya interest za nani njama sio Mmarekani??


Bila Marekani yote yangetokea??

Huyo Marekani kila siku anasapoti vurugu kwenye nchi za watu maana anajua zikifanyika kwake watu watakufa ovyo.


Nyinyi mapoyoyo ndio mnakuja kuwasifia
Marekani ni mlinzi wa amani duniani na ndio maana amejitolea kuongoza operation ya kuzuia magaidi ya Houthi kuharibu biashara ya kimataifa.
 
Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Acha umbumbu wa kuleta hoja za kujiunga na wakoloni dhalimu.
Acha mzayuni na mabwana zake wapate chai
 
Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Kuna bidhaa gani kuja Africa zinazo pita huko maana hata mafuta tunanua Toka refineries za Ulaya?
 
Back
Top Bottom