Kwa hili la Serikali kushindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita cha NHIF, Waziri Ummy asaidiwe kuondoka wizarani

Pamoja na yote,tatizo ni wizara hivyo wizara hapo anatajwa Ummy
 
Kwamfano wewe ukiwa waziri ukavimbiwa na watumishi wa chini yako ukashindwa kuwadhibiti huoni kama utakua umepofuka na umevimbiwa madaraka? Hapo Ummy hanasuki kwenye hii lawama
Kujiuzulu ni kulinda tu heshima ila practically kuna watu ndo hutunga na kutekeleza mambo yote ya wizara. Yaani waziri kazi yake ni ndogo ndo maana wananenepa kama viboko.
 
Kujiuzulu ni kulinda tu heshima ila practically kuna watu ndo hutunga na kutekeleza mambo yote ya wizara. Yaani waziri kazi yake ni ndogo ndo maana wananenepa kama viboko.
Yeye alinde heshima yake. Kwamaelezo yako inamaanisha amejivunjia heshima yake mwenyewe maana ndio kapeleka mapendekezo bungeni ya huo upupu unao mkaanga leo
 
Ningehitaji ufafanuzi hapo kama hutojali
Story ni ndefu, to make it short alilazimishwa na rafikize kuhudhuria msiba wa mama yake.....


Hivyo wanasema the end justfy the means
 
Mkuu anayebeba mzigo wa kodi na tozo sio mfanyabiashara bali ni mlaji wa mwisho yaani mimi na wewe. Malalamiko ya wafanyabiashara ni kwa ajili ya manufaa yao na sio manufaa ya wananchi. Wakipigwa kodi na tozo huwa wanazihamishia kwenye bidhaa.
 
Haya majitu yanayojiita viongozi katika nchi yetu yanamuongoza nani? Bima imekuwa kama anasa kwa mtanzania.yenyewe yakiugua yanakwenda London. Mungu yachukue tu maana yameshindwa kutuongoza badala yake yanatuumiza
 
Kuna hela nyingi sana inavujia pasipostahili. Hispitali binafsi wako sahihi
 
kwa mwaka mzee maana kwa Mwezi ni kama 63k na ushee hivi
Ok, kama Makato ni 2% ya basic salary, anayeweza kuchangia kiasi hicho ni mwenye mshahara wa 2.5m na zaidi kwa makadirio.
Huko serekalini wenye mishahara hiyo ni wangapi?.
 
Mkuu anayebeba mzigo wa kodi na tozo sio mfanyabiashara bali ni mlaji wa mwisho yaani mimi na wewe. Malalamiko ya wafanyabiashara ni kwa ajili ya manufaa yao na sio manufaa ya wananchi. Wakipigwa kodi na tozo huwa wanazihamishia kwenye bidhaa.
Ahsante, ila walaji ndio hao hao mfanyabiashara, mtumishi wa umma, na raia wa kawaida

Kodi zingine hazihamishiki kirahisi isipokuwa kwa kiwango kidogo ,ingekuwa hivyo basi kungekuwa na hao kubwa kati ya wafanyabiashara na watu wengine
 
Ok, kama Makato ni 2% ya basic salary, anayeweza kuchangia kiasi hicho ni mwenye mshahara wa 2.5m na zaidi kwa makadirio.
Huko serekalini wenye mishahara hiyo ni wangapi?.
SIo wengi sana but wapo Kiasi kikubwa kwa nilipo
 
Yeye alinde heshima yake. Kwamaelezo yako inamaanisha amejivunjia heshima yake mwenyewe maana ndio kapeleka mapendekezo bungeni ya huo upupu unao mkaanga leo
Always mtu analinda kitu alicho nacho.
 
Harafu ale wapi? Hajiuzuru mtu hapa na mambo yataenda hivo hivyo. Asiyetaka ahamie Burundi
Kwa hiyo Ummy yupo kwenye uwaziri sababu ya kula? Na siyo kumsaidia Raisi na wananchi kuendesha sekta ya afya kwa weledi na manufaa. Ili kulinda siha za watanzania wote!?. Mawazo mgando Kama tope la mbugani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…