Waseme mara ngap...Achana na mnara wewe ndugu , omba stend nzuri, barabara nzuri, maji, shule nzuri kwa ajili ya watoto, hospitali.
Labda nikuulize kati ya mnara na huduma nyingine za kijamii unachagua nini?
Ni kipi ni priority ya Kagera kwa sasa ambacho unahisi wanakagera wanahitaji kukipigania?
Kilimanjaro? Seriously?Umaskini wa Kagera unatokana na uvivu wa Wanakagera hasa wasomi na matajiri wa Kagera wenye ubinafsi mkubwa na wasiopenda kwao. Mkajifunze Kilimanjaro namna ya kujitegemea na kuachana na kutegemea serikali.
So unataka wasomi na wananchi ndo wakajenge stendi? Wakapanue uwanja wa ndege? Wajenge Barabara za mjini bukoba ziwe njia nne ni...wapanue uwanja wa ndege?Umaskini wa Kagera unatokana na uvivu wa Wanakagera hasa wasomi na matajiri wa Kagera wenye ubinafsi mkubwa na wasiopenda kwao. Mkajifunze Kilimanjaro namna ya kujitegemea na kuachana na kutegemea serikali.
Hiv watu wa Kagera wafanye nini ili serikali ijenge stendi ya maana pale Bukoba...wafanye nini wauamishe ule uwanja hatarishi wa ndege pale Bukoba? Wafanye nini wajenge soko zuri pale mjini bukoba...Miaka zaidi ya 40 bado mmelala mnalalamikia athari za vita.Kuna mambo ambayo wananchi mnaweza kuyafanya yakailazimisha serikali kuwekeza hiyo miundombinu unayoilalamikia.sasa kama wananchi uchumi wenu aueleweki serikali haiwezi kuwapa kipaumbele.Uchumi wa kweli ni ule unaoanza na watu,watu ndio watakaofanya uje uchumi wa vitu.
Sio mnara kama wa simu, ni investiment ya mahoteli, kumbi za mikutano na recreation facilities kama iliyo Eiffel tower Paris, sasa Bunazi hizo Hotel zitarudisha lini gharama za uwekezaji????Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.
Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?
Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!
Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?
Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.
Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganda iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
Usidandie mambo ya aviation wakati hujui lolote kuhusu Aviation.Waseme mara ngap...
Mfano Tu uwanja wa ndege wa Bukoba....uwanja ni finyu na iko karibu na mji sana...
Leo hii ni Ajali ya pili ndani ya mwaka mmoja kutokea same spot...lakin hakuna anayejali...
Wananchi Hadi marubani wanalalamika hakuna anayejali..labda ndege ya Rais ianguke labda ndo watashtuka...
Ishu ya stendi ya Bukoba...juzi Tu manispaa ya Bukoba imeanza ujenzi tena wakapigwa stop sijui wasubiri tactic...mradi toka 2017 haujaanza Hadi Leo..
Kuna issue behind Kagera...
Wew ndo mpumbavu sasa.....Usidandie mambo ya aviation wakati hujui lolote kuhusu Aviation.
Uwanja wa ndege unatakiwa ukae karibu na maji, Bukoba na Mwanza ndio ujenzi sahihi wa Airport.
Una takwimu za uchangiaji wa mkoa wa Kagera katika mapato ya taifa?Miaka zaidi ya 40 bado mmelala mnalalamikia athari za vita.Kuna mambo ambayo wananchi mnaweza kuyafanya yakailazimisha serikali kuwekeza hiyo miundombinu unayoilalamikia.sasa kama wananchi uchumi wenu aueleweki serikali haiwezi kuwapa kipaumbele.Uchumi wa kweli ni ule unaoanza na watu,watu ndio watakaofanya uje uchumi wa vitu.
Ukienda Kilimanjaro kuna vyuo vikuu sita; KCMC, Moshi Cooperative University, Mwenge University, Stephano Moshi University na Mweka University (achilia mbali campuses) kama Masoka, Mwika, nk Kati ya vyuo hivyo vikuu 6 vya serikali ni viwili tu; MUCCOBS na Mweka basi. Vingine 4 vilivyobakia ni juhudi za watu wa Kilimanjaro wakishirikiana na mashirika binafsi na ya dini, Wakatoliki na Walutheri. Unasemaje mkuu? Jitegemeeni acheni kulaumu serikali mtachelewa sana.So unataka wasomi na wananchi ndo wakajenge stendi? Wakapanue uwanja wa ndege? Wajenge Barabara za mjini bukoba ziwe njia nne ni...wapanue uwanja wa ndege?
Ni wao huko ambako wananchi wamejenga hayo? Serikali inafanya nini...
Huko Kilimanjaro wachaga ndo wamejenga kia, wamejenga stendi sio?
Hiv kwa nini masuala ya miundombinu ya Kagera mnapenda kuwalaumu wahaya? May be wahaya Wana serikali yao...
Kuna Yule malinzi aliyekuwa TFF kajikongoja kajenga uwanja mzr wa nyasi bandia pale Kaitaba...Tazama alivyofanywa na watz...kafunguliwa Hadi kesi za uhujumu uchumi sijui matumizi mabovu ya mali za TFF NK..na bado akawashinda mahakamani...
Mnalilia minara itawasaidia nini Watu wa Kagera?! Mnaona jinsi mnavyokosa target? Minara? ya nini? Badala ya kulilia miundombinu kama barabara, hospitali, nk mnalilia minara?Kilimanjaro? Seriously?
Uvivu na ulevi ni tatizo la kudumu haswa miongoni mwa vijana wadogo.Umaskini wa Kagera unatokana na uvivu wa Wanakagera hasa wasomi na matajiri wa Kagera wenye ubinafsi mkubwa na wasiopenda kwao. Mkajifunze Kilimanjaro namna ya kujitegemea na kuachana na kutegemea serikali.
Serikali ilitenga eneo la kujenga chuo kikuu kikubwa pembeni ya Ziwa Victoria, na nikaiona video moja Kikwete akiliongelea suala hilo.Ukienda Kilimanjaro kuna vyuo vikuu sita; KCMC, Moshi Cooperative University, Mwenge University, Stephano Moshi University na Mweka University (achilia mbali campuses) kama Masoka, Mwika, nk Kati ya vyuo hivyo vikuu 6 vya serikali ni viwili tu; MUCCOBS na Mweka basi. Vingine 4 vilivyobakia ni juhudi za watu wa Kilimanjaro wakishirikiana na mashirika binafsi na ya dini, Wakatoliki na Walutheri. Unasemaje mkuu? Jitegemeeni acheni kulaumu serikali mtachelewa sana.
Hizo pesa zingeenda jenga nyumba za walimu au madarasaMINARA ina TIJA gani kwa Umasikini wa Wananchi?Mnakusanya Makodi ili mjenge Minara
Ujinga ni mzigo mzito, Mnara unajengwa Dodoma kwa sababu ndio makao makuu ya serikali.
Halafu ulivyo mjinga ukisikia mashujaa unawaza vita vya Kagera, hivi unajuwa tuna mashujaa wa vita ngapi?
Umeshawahi kusikia vita vya maji maji? Vita ya Mkwawa na Majeshi ya Wajerumani? Maveteran wa vita ya dunia?
Hovyoooooo.
Mnara wa kupigia picha.Serikali ilitenga eneo la kujenga chuo kikuu kikubwa pembeni ya Ziwa Victoria, na nikaiona video moja Kikwete akiliongelea suala hilo.
Hayo ndio mawazo ya maana ya kuyafanyia kazi kuliko kuja na mada za minara. Ukishajenga mnara nini kinafuata?.
Mnadhalilisha wasomi kwa kujiita majina ya kisomi kumbe vihiyo tu.!Usidandie mambo ya aviation wakati hujui lolote kuhusu Aviation.
Uwanja wa ndege unatakiwa ukae karibu na maji, Bukoba na Mwanza ndio ujenzi sahihi wa Airport.