Kwa hili la ujenzi wa mnara wa mashujaa, Mkoa wa Kagera hautendewi haki

Kwa hili la ujenzi wa mnara wa mashujaa, Mkoa wa Kagera hautendewi haki

Ukienda Kilimanjaro kuna vyuo vikuu sita; KCMC, Moshi Cooperative University, Mwenge University, Stephano Moshi University na Mweka University (achilia mbali campuses) kama Masoka, Mwika, nk Kati ya vyuo hivyo vikuu 6 vya serikali ni viwili tu; MUCCOBS na Mweka basi. Vingine 4 vilivyobakia ni juhudi za watu wa Kilimanjaro wakishirikiana na mashirika binafsi na ya dini, Wakatoliki na Walutheri. Unasemaje mkuu? Jitegemeeni acheni kulaumu serikali mtachelewa sana.
Naona unataja vyuo vya makanisa...kwamba Bukoba hakuna vyuo vya makanisa sio?
Josiah Kibira University, Cardinal Rugambwa University , Karuco...na vyuo kibao vya kati vilivyojaa Bukoba tena vingine Hadi vijijini huko Rubya, Mugana, kamachumu NK...
Mkuu watu wa kagera hawana shida na elimu mzee...huko wako 100 percent perfect...na hakuna wakuzidi wahaya nchi hii kwa usomi na kuvalue elimu....


Sisi tunataka miundombinu Bora ya Barabara za viwango, Airport nzr na yenye ubora, masoko Bora ya mazao kibao yanayozalishwa kagera...wafungue mipaka yote watu wafanye biashara NK...
Na najua Kilimanjaro mna shida kama hizo hizo sema siku hiz. vijana wa kichaga mmejaa sifa Tu mnaona mmeendelea wakati mmefikia stage huwezi hata kufungua biashara au kampuni ukaweka headquarters Moshi...mji mnaukimbia nao unabaki maghofu Tu...




Hatutaki kuwa na miji michafu kama hii Moshi....
JamiiForums-1345514952.jpg
 
Serikali ilitenga eneo la kujenga chuo kikuu kikubwa pembeni ya Ziwa Victoria, na nikaiona video moja Kikwete akiliongelea suala hilo.

Hayo ndio mawazo ya maana ya kuyafanyia kazi kuliko kuja na mada za minara. Ukishajenga mnara nini kinafuata?.
Yap ujenzi unaendelea kwa Kasi sana eneo la Itahwa karibu na manispaa ya Bukoba....kitakamilika 2025....

GHH.JPG
GHH.JPG
 
Ukienda Kilimanjaro kuna vyuo vikuu sita; KCMC, Moshi Cooperative University, Mwenge University, Stephano Moshi University na Mweka University (achilia mbali campuses) kama Masoka, Mwika, nk Kati ya vyuo hivyo vikuu 6 vya serikali ni viwili tu; MUCCOBS na Mweka basi. Vingine 4 vilivyobakia ni juhudi za watu wa Kilimanjaro wakishirikiana na mashirika binafsi na ya dini, Wakatoliki na Walutheri. Unasemaje mkuu? Jitegemeeni acheni kulaumu serikali mtachelewa sana.
Na ukienda Kagera kuna vyuo vikuu vya serikali vingapi?
 
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganda iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
Ninyi mlikuwa mnajiita Waganda Kyaka. Ndio mliosababisha vita hiyo. Muwe watulivu, huwezi kupanda mchicha ukavuna nanasi.
 
Ndio maana nawaambiaga watu kukosa kwenu maji ni uzembe wenu. Sio kwamba serikali Haina pesa Bali ni poor allocation of money
 
Waseme mara ngap...

Mfano Tu uwanja wa ndege wa Bukoba....uwanja ni finyu na iko karibu na mji sana...
Leo hii ni Ajali ya pili ndani ya mwaka mmoja kutokea same spot...lakin hakuna anayejali...
Wananchi Hadi marubani wanalalamika hakuna anayejali..labda ndege ya Rais ianguke labda ndo watashtuka...

Ishu ya stendi ya Bukoba...juzi Tu manispaa ya Bukoba imeanza ujenzi tena wakapigwa stop sijui wasubiri tactic...mradi toka 2017 haujaanza Hadi Leo..
Kuna issue behind Kagera...
Kabisa. Kuna tatizo
 
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganda iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
Na sisi watu wa Kilwa ambako vita ya majimaji ilianza kwetu hasa pale kwa wajomba zangu Nandete tuseme nini?
 
Back
Top Bottom