Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Kimaumbile mabinti wa kimeru wapo na siha njema sana.
Wamebarikiwa pakubwa sana kimaumbile. ni dream come true kwa wanaume wengi.
Wana shingo ya upanga na sura flani nzuri za kupigia picha (photogenic) ni walimbwende kwelikweli ni warefu ule urefu usiokera kama wa wale watu flani wana weupe flani usiokera kama ule weupe wa papaya.
ivoivo nyuma mashallah unakuta taco la wastani sio kuubwa sio doogo yani hawa ni complete package kila sehem ya mwili imebalansi juu chini.
kuna wakati nahisi ikifika mungu akigundua anayemuumba ni mmeru bac hapo lazma anatuliza sana akili🤣
Msinipopoe wajameni nimeongelea sifa za kimaumbile.
Wamebarikiwa pakubwa sana kimaumbile. ni dream come true kwa wanaume wengi.
Wana shingo ya upanga na sura flani nzuri za kupigia picha (photogenic) ni walimbwende kwelikweli ni warefu ule urefu usiokera kama wa wale watu flani wana weupe flani usiokera kama ule weupe wa papaya.
ivoivo nyuma mashallah unakuta taco la wastani sio kuubwa sio doogo yani hawa ni complete package kila sehem ya mwili imebalansi juu chini.
kuna wakati nahisi ikifika mungu akigundua anayemuumba ni mmeru bac hapo lazma anatuliza sana akili🤣
Msinipopoe wajameni nimeongelea sifa za kimaumbile.