Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Sheikh wangu mimi pombe kwangu ni kharamu kabisaJamaa balimi zishamkolea, sasa anakerwa na kila jambo
Mwanaume amevaa kaptula kisha ana mguu wa beer. Mguu mnene kama wa mwanamke. Nimejisikia vibaya jirani wanasema "jamaa ana mguu mzuri wa bia kama angekuwa binti ingekuwa magoli sana"
Mhusika anazunguka zunguka tu hapa bar mara kaenda mbele mara karudi.anajisikia fahari kabisa huyu bwege. Mguu umenenona umejaa kama wa mwanamke.
Sasa bar unafanya nini sheikh yaani upo stand ya basi halafu unasema huna safari sasa ulifata nini hapo?Sheikh wangu mimi pombe kwangu ni kharamu kabisa
Usije ukatongoza wanaume kisa wana miguu ya bia.Mwanaume amevaa kaptula kisha ana mguu wa beer. Mguu mnene kama wa mwanamke. Nimejisikia vibaya jirani wanasema "jamaa ana mguu mzuri wa bia kama angekuwa binti ingekuwa magoli sana"
Mhusika anazunguka zunguka tu hapa bar mara kaenda mbele mara karudi.anajisikia fahari kabisa huyu bwege. Mguu umenenona umejaa kama wa mwanamke.
Piga picha mguu wako ututumie nawewe mbona umepanic hivo?Ukishaona unaanza kutamani hadi men wenzako jua fika una element zenye rangirangi.
Mwanaume kamili unaanzaje kumuangalia mwanaume mwenzako mpaka unayabaini hayo?
Alafu ikunufaishe nini?Piga picha mguu wako ututumie nawewe mbona umepanic hivo?
Mwanaume amevaa kaptula kisha ana mguu wa beer. Mguu mnene kama wa mwanamke. Nimejisikia vibaya jirani wanasema "jamaa ana mguu mzuri wa bia kama angekuwa binti ingekuwa magoli sana"
Mhusika anazunguka zunguka tu hapa bar mara kaenda mbele mara karudi.anajisikia fahari kabisa huyu bwege. Mguu umenenona umejaa kama wa mwanamke.
Pombe ni kharamu sheikh wangu na kitimoto. Hapa.nimekuja sababu ndo sehemu pekee yenye chakula.Sasa bar unafanya nini sheikh yaani upo stand ya basi halafu unasema huna safari sasa ulifata nini hapo?
Au wewe ndiyo wale wazee wa hiki haramu kile halali?
miguu mingine sio ya kiume kabisa fanyeni mazoezi tena unakuta mwingine na mikalio kabisaAlafu ikunufaishe nini?
Ishu sio mguu ila mwanaume unamtamanije kidume mwenzio?
Sijapanic na sion la kunipanikisha.
Ana sura kama ya Mbowe?Mwanaume amevaa kaptula kisha ana mguu wa beer. Mguu mnene kama wa mwanamke. Nimejisikia vibaya jirani wanasema "jamaa ana mguu mzuri wa bia kama angekuwa binti ingekuwa magoli sana"
Mhusika anazunguka zunguka tu hapa bar mara kaenda mbele mara karudi.anajisikia fahari kabisa huyu bwege. Mguu umenenona umejaa kama wa mwanamke.