The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Mkuu usihangaike na hawa watu kwan tabia ya mtu anayekuogopa na kutokujiamini ataishia kukusema maneno mabaya tu (inferiority)Wahaya mbona huwa ndo wa kwanza kuongelewa unapotaja kaskazini kuna kitu hapo sio bure nipe sababu
Wacha ku assume assume tu wewe, nani kakwambia mimi Mhaya?Ndo mlichobakisha wahaya
mkuu umeongea ukweli mtupu atakaypinga hapa inabid atafutiwe daktar wa magonjwa ya akili harakaOne thing about watu wa kaskazini ni hard workers.
Na ndio siri.ya mafanikio yao, wakija mjini wanachapa kaz,wanatafuta pesa wkt wenyeji wamekalia vigodoro,kucheza draft na kujadili siasa.
Ha ha ha haNdo mlichobakisha wahaya
Oky poa mkuu unawakataa ndugu zakoWacha ku assume assume tu wewe, nani kakwambia mimi Mhaya?
Ndo mlichobakisha wahaya
Hapana.Wakaskazin
kazi gani mnafanya huku town hakuna mashamba..One thing about watu wa kaskazini ni hard workers.
Na ndio siri.ya mafanikio yao, wakija mjini wanachapa kaz,wanatafuta pesa wkt wenyeji wamekalia vigodoro,kucheza draft na kujadili siasa.
Dah noma sana nimeona nshomile limeongea kimalikia hapo juuHa ha ha ha
Ha ha ha ngoja niendelee kumvuruga huyu MangiDah noma sana nimeona nshomile limeongea kimalikia hapo juu
uungwana n kitendk thanks for your appreciation on themWachaga wote heshima kwenu....
Katika suala zima la maendeleo makabila mengine yataendelea kuwa wasindikizaji tu....
Elfu tano mbali... weka watu 500 itapendeza zaidikadanganye wajinga
uwanja wa bukoba kwa mwaka hata abiria 50000 hawafiki
uwanja wa Kilimanjaro kwa mwaka n said ya 250000
sasa nan wa kumtambia mwenxie?
nyie mkoa wenu n wa tatu kwa umaskini tz MNA hela za ndege?
keen kagera vijumba vya nyasi shaz MNA ubavu wa kujaza ndege?
Mimi singularity, unaelewa maana yake nini?Oky poa mkuu unawakataa ndugu zako
Hahaaa poa poa mkuuHa ha ha ngoja niendelee kumvuruga huyu Mangi
Elfu tano mbali... weka watu 500 itapendeza zaidi
Naona Mangi mnapeana sapotiuungwana n kitendk thanks for your appreciation on them
ndicho mlichobaki kukariri English na majigamb wakati kwnu n hovyoUnigambire shtyupidi inifuronti of mai waiifu?
Hahahaha.. ila wewe chalii hahahNdo mlichobakisha wahaya
Mimi si Mhaya. Acha ujinga wa kufikiri yeyote atakayeandika hivyo ni Mhaya.ndicho mlichobaki kukariri English na majigamb wakati kwnu n hovyo