Kwa hili watu wa Kaskazini wanaongoza kwa population Dar

Kwa hili watu wa Kaskazini wanaongoza kwa population Dar

One thing about watu wa kaskazini ni hard workers.
Na ndio siri.ya mafanikio yao, wakija mjini wanachapa kaz,wanatafuta pesa wkt wenyeji wamekalia vigodoro,kucheza draft na kujadili siasa.
mkuu umeongea ukweli mtupu atakaypinga hapa inabid atafutiwe daktar wa magonjwa ya akili haraka
 
One thing about watu wa kaskazini ni hard workers.
Na ndio siri.ya mafanikio yao, wakija mjini wanachapa kaz,wanatafuta pesa wkt wenyeji wamekalia vigodoro,kucheza draft na kujadili siasa.
kazi gani mnafanya huku town hakuna mashamba..
 
kadanganye wajinga
uwanja wa bukoba kwa mwaka hata abiria 50000 hawafiki
uwanja wa Kilimanjaro kwa mwaka n said ya 250000
sasa nan wa kumtambia mwenxie?
nyie mkoa wenu n wa tatu kwa umaskini tz MNA hela za ndege?
keen kagera vijumba vya nyasi shaz MNA ubavu wa kujaza ndege?
Elfu tano mbali... weka watu 500 itapendeza zaidi
 
Back
Top Bottom