Kwa hio unataka kuniambia ni roho chafu na dhambi zangu ndio chanzo cha majanga yangu huku anaenihubiria amenunua gari kali kwa kutumia sadaka zangu!

Kwa hio unataka kuniambia ni roho chafu na dhambi zangu ndio chanzo cha majanga yangu huku anaenihubiria amenunua gari kali kwa kutumia sadaka zangu!

View attachment 3173038

Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.

Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika

Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
Sijasoma ila acha umasikini na udwanzi dogo. Gari ni nini hapa Duniani?
 
hakuna cha dawa
wanaloga tu fikra za watu
wajione ni wanyonge , wenye makosa mengi kwa Mungu ndiyo maana hawafanikiwi ama hawapati afya,
na kuwasisitiza watoe vitu fulani ili Mungu awasikilize mnahitaji yaotena kupitia yeye tu
mwisho wa siku pesa anabugia yeye
Hahaha

SADAKA YA KUJIMALIZA
 
Gonga kwenye chanzo.
Unajua chanzo cha unachotaka?
Gari, mke, ridhki, n.k
Chanzo hakipo karibu yako, mana ukaribu pia ni utengano. Chanzo kipo ndani yako, hapo hamna utengano.
Anayejua chanzo na namna ya kukitumia chanzo haoni wivu, gubu wala manung'uniko ya et fulani kapata.. fulani katumia sadaka zetu..fulani mbona hivi ..fulani mbona vile.
Kulalama na kunung'unika ni dalili ya upofu wa chanzo..huoni chanzo na kuukiri uhaba.

Sasa anza kuona kwa macho ya ndani kua unajitosheleza vema hadi akiba ipo.
Acha kuona wivu na kusimanga wengine kuhusu gari wanazopata, nyumba wanazopata au zaidi.
 
View attachment 3173038

Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.

Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika

Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
WAKRISTO WAPUMBAVU WANAUJUMIANA WAO KWA WAO NA KUPOTEZEANA MUDA KISHA WATAKUJA KUSHANGAA MATAJIRI WOTE NCHINI NI WAISIHARAMU...MAANA WAISIHARAMU WAMEGUNDUA KUWA UTAJIRI UNAPATIKANA SERIKALI SIYO MISIKITINI WANACHO FANYA NI KUTUMIA MIANYA YA UPUMBAVU WA WAKRISTO WENYEWE KWA WAO KUJIZATITI SERIKALINI NA MBINU MBALIMBALI ZA KUJIZATITI SIASANI NA KWENYE MBINU ZA PPP...natabiri baada ya miaka michache hakutakuwa na tajiri mkristo mwenye utajiri wa maana na ajira nyingi zitatolewa na waislamu watakao kuwa wanamiliki uchumi wote nchini ....wakristo wana elimu nzuri ila upumbavu wa madhehebu ya dini umewafanya kupotea na elimu yao kuwa upumbavu unakuta msomi anashinda kwa mwamposa kila siku huyo msomi kasomeshwa shule za stant nini sijui ila kazi kubwa ni kushinda kwa mwamposa na gamanya na kiboko ya wachawi...WAKRISTO WAPUMBAVU WANADANGANYWA KIPUMBAVU NA KINA MWAMPOSA KUWA WASHINDE MAKANISANI KILA SIKU WAKATI HATA MUNGU WA BIBLIA AMESEMA WAZI WAZI KUWA SIKU 6 FANYA KAZI ISIPOKUWA MOJA TU NI YA BWANA MUNGU WAKO ...
 
Back
Top Bottom