Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika inahuzunisha sanaNafikiri wanacheza na saikolojia
Waafrika wnaapenda mambo ya kufikirika
wamekuwa mazoba kabisaHuenda na dawa pia manabii hutumia kuwapumbaza
wanasema hizo mali wanalipwa na mungu kwasababu wanasaidia watuAnd they are not taxed , yaaani mkuu, we acha tu
anapataje muda wakuomba namba!!!Na ndiyo maana mwamposa anaishia kuwatomber tu...
Sadaka ya kujimaliza unatoa na kitombo unapata...
Chezea mnyakyusa wewe 🥴
Sijasoma ila acha umasikini na udwanzi dogo. Gari ni nini hapa Duniani?View attachment 3173038
Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.
Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika
Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
Dah,,Na ndiyo maana mwamposa anaishia kuwatomber tu...
Sadaka ya kujimaliza unatoa na kitombo unapata...
Chezea mnyakyusa wewe 🥴
hakuna cha dawaHuenda na dawa pia manabii hutumia kuwapumbaza
Na wewe kakutomba?Na ndiyo maana mwamposa anaishia kuwatomber tu...
Sadaka ya kujimaliza unatoa na kitombo unapata...
Chezea mnyakyusa wewe 🥴
Hahahahakuna cha dawa
wanaloga tu fikra za watu
wajione ni wanyonge , wenye makosa mengi kwa Mungu ndiyo maana hawafanikiwi ama hawapati afya,
na kuwasisitiza watoe vitu fulani ili Mungu awasikilize mnahitaji yaotena kupitia yeye tu
mwisho wa siku pesa anabugia yeye
Noma sana!! Jamaa anakula pisi kali kweli, Dah mungu huyo!!Kama mtu ameweza kushawishi maelfu kama watoto kwanini asipate njia ya kula mwanamke yoyote anaemtaka hapo kwenye kongamano
Ishu ni kwamba hao wenye miliki za kufanya hivyo wanakula sahani moja na hao matapeliTungerekebisha kidogo mfumo wa assessment kwenye elimu uwalazimishe wanafunzi kutazama mambo critically.
Ilivyo sasa, wasomi wetu ndiyo wahanga wakubwa wa matapeli.
sio waafrika tu hukuwahi kusikia kule Mexico mchungaji alkuwa anawauzia watu viwanja vya mbinguniNafikiri wanacheza na saikolojia
Waafrika wnaapenda mambo ya kufikirika
WAKRISTO WAPUMBAVU WANAUJUMIANA WAO KWA WAO NA KUPOTEZEANA MUDA KISHA WATAKUJA KUSHANGAA MATAJIRI WOTE NCHINI NI WAISIHARAMU...MAANA WAISIHARAMU WAMEGUNDUA KUWA UTAJIRI UNAPATIKANA SERIKALI SIYO MISIKITINI WANACHO FANYA NI KUTUMIA MIANYA YA UPUMBAVU WA WAKRISTO WENYEWE KWA WAO KUJIZATITI SERIKALINI NA MBINU MBALIMBALI ZA KUJIZATITI SIASANI NA KWENYE MBINU ZA PPP...natabiri baada ya miaka michache hakutakuwa na tajiri mkristo mwenye utajiri wa maana na ajira nyingi zitatolewa na waislamu watakao kuwa wanamiliki uchumi wote nchini ....wakristo wana elimu nzuri ila upumbavu wa madhehebu ya dini umewafanya kupotea na elimu yao kuwa upumbavu unakuta msomi anashinda kwa mwamposa kila siku huyo msomi kasomeshwa shule za stant nini sijui ila kazi kubwa ni kushinda kwa mwamposa na gamanya na kiboko ya wachawi...WAKRISTO WAPUMBAVU WANADANGANYWA KIPUMBAVU NA KINA MWAMPOSA KUWA WASHINDE MAKANISANI KILA SIKU WAKATI HATA MUNGU WA BIBLIA AMESEMA WAZI WAZI KUWA SIKU 6 FANYA KAZI ISIPOKUWA MOJA TU NI YA BWANA MUNGU WAKO ...View attachment 3173038
Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.
Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika
Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu