Kwa hio unataka kuniambia ni roho chafu na dhambi zangu ndio chanzo cha majanga yangu huku anaenihubiria amenunua gari kali kwa kutumia sadaka zangu!

Kwa hio unataka kuniambia ni roho chafu na dhambi zangu ndio chanzo cha majanga yangu huku anaenihubiria amenunua gari kali kwa kutumia sadaka zangu!

WAKRISTO WAPUMBAVU WANAUJUMIANA WAO KWA WAO NA KUPOTEZEANA MUDA KISHA WATAKUJA KUSHANGAA MATAJIRI WOTE NCHINI NI WAISIHARAMU...MAANA WAISIHARAMU WAMEGUNDUA KUWA UTAJIRI UNAPATIKANA SERIKALI SIYO MISIKITINI WANACHO FANYA NI KUTUMIA MIANYA YA UPUMBAVU WA WAKRISTO WENYEWE KWA WAO KUJIZATITI SERIKALINI NA MBINU MBALIMBALI ZA KUJIZATITI SIASANI NA KWENYE MBINU ZA PPP...natabiri baada ya miaka michache hakutakuwa na tajiri mkristo mwenye utajiri wa maana na ajira nyingi zitatolewa na waislamu watakao kuwa wanamiliki uchumi wote nchini ....wakristo wana elimu nzuri ila upumbavu wa madhehebu ya dini umewafanya kupotea na elimu yao kuwa upumbavu unakuta msomi anashinda kwa mwamposa kila siku huyo msomi kasomeshwa shule za stant nini sijui ila kazi kubwa ni kushinda kwa mwamposa na gamanya na kiboko ya wachawi...WAKRISTO WAPUMBAVU WANADANGABYWA KIPUMBAVU NA KINA MWAMPOSA KUWA WASHINDE MAKANISANI KILA SIKU WAKATI HATA MUNGU WA BIBLIA AMESEMA WAZI WAZI KUWA SIKU 6 FANYA KAZI ISIPOKUWA MOJA TU NI YA BWANA MUNGU WAKO ...
Mkuu umepiga kwenye mshono! Mi ni mkristu ila kwa haya maelezo uko sahihi kabisa. Mi tangu 2018 niligutuka usingizini sijawahi kanyaga tena kanisani tangu mwaka huo.
 
1. Epicurean paradox. The problem of evil. Mungu huyo kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ni contradiction.
Umeanza kujichanganya tena!! Umeshasema unapinga existence ya Mungu hayo ya kuumba si inatakiwa awe exisiting being kwanza ndio yaje? So ukipinga uwepo wake pinga His existence kwanza hayo ya kwamba kama angekuwepo mbona ameumba blah blah yanaingiaje?

Stop this zero sum game
2. Kuomba. Ukishaona una haja ya kuomba kitu kwa Mungu, huo ni uthibitisho Mungu huyo hayupo. Angekuwapo, angwkupa unachoomba kabla hujajua unakihitaji.
Anayeomba ni binadamu ina uhusiano gani na uwepo wa Mungu? Ni sawa na useme Kiranga sio mwanaume maana angekua mwanaume asingekubali kupigwa na mke wake?? Sasa kupigwa na mke kunafanya jinsia ibadilike? Maana tunaongelea existence kwanza maana huwezi kuomba kitu kwa Deity ambayo haiexist!

3. Maelezo mengi kwamba Mungu yupo kutoka dini mbalimbali yanayopingana, hata kwenye dini moja madhehebu mengi yanayopingana, hata kwenye dhehebu moja kitabu kimoja kina maelezo mengi yanayopingana. Mungu huyu angekuwepo angetupa namna ya kumjua ambayo haina utata wowotw, kwa mtu yeyote, popote.
Same problem, exclusion bias!! Sasa wanaobishana ni wanadamu je inahusiana nini na existence ya Mungu? Kwamba mimi nikisema Kiranga ni mwanaume huku members wengine wakisema Kiranga ni mwanamke inamaana huyo Kiranga haexist kisa JF Members tunabishania jinsia yake?

Mbona hizi hoja sio rational na wala hazihoji existence ya Mungu mbali zinahoji matendo baada ya existence ya Mungu kuwepo. Embu tujadili premises ambazo Mungu haexist kwanza
 
Umeanza kujichanganya tena!! Umeshasema unapinga existence ya Mungu hayo ya kuumba si inatakiwa awe exisiting being kwanza ndio yaje? So ukipinga uwepo wake pinga His existence kwanza hayo ya kwamba kama angekuwepo mbona ameumba blah blah yanaingiaje?

Stop this zero sum game

Anayeomba ni binadamu ina uhusiano gani na uwepo wa Mungu? Ni sawa na useme Kiranga sio mwanaume maana angekua mwanaume asingekubali kupigwa na mke wake?? Sasa kupigwa na mke kunafanya jinsia ibadilike? Maana tunaongelea existence kwanza maana huwezi kuomba kitu kwa Deity ambayo haiexist!


Same problem, exclusion bias!! Sasa wanaobishana ni wanadamu je inahusiana nini na existence ya Mungu? Kwamba mimi nikisema Kiranga ni mwanaume huku members wengine wakisema Kiranga ni mwanamke inamaana huyo Kiranga haexist kisa JF Members tunabishania jinsia yake?

Mbona hizi hoja sio rational na wala hazihoji existence ya Mungu mbali zinahoji matendo baada ya existence ya Mungu kuwepo. Embu tujadili premises ambazo Mungu haexist kwanza
Hahahahahhah


Piga spanaaa mkuuu
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....

Wajinga ndiyo waliwao...

Shika sana ulichonacho asije nyumbu akakunyang'anya...

Mtasikia Leo nipo hapa,Mara nipo pale ...manabii wa uongo walishatabiriwa kitambo..

Imani isikufanye uwe boya🚮
Na mtanyooka
Umerudi kwa zamani cute...hahaah
 
Umeanza kujichanganya tena!! Umeshasema unapinga existence ya Mungu hayo ya kuumba si inatakiwa awe exisiting being kwanza ndio yaje? So ukipinga uwepo wake pinga His existence kwanza hayo ya kwamba kama angekuwepo mbona ameumba blah blah yanaingiaje?

Stop this zero sum game

Anayeomba ni binadamu ina uhusiano gani na uwepo wa Mungu? Ni sawa na useme Kiranga sio mwanaume maana angekua mwanaume asingekubali kupigwa na mke wake?? Sasa kupigwa na mke kunafanya jinsia ibadilike? Maana tunaongelea existence kwanza maana huwezi kuomba kitu kwa Deity ambayo haiexist!


Same problem, exclusion bias!! Sasa wanaobishana ni wanadamu je inahusiana nini na existence ya Mungu? Kwamba mimi nikisema Kiranga ni mwanaume huku members wengine wakisema Kiranga ni mwanamke inamaana huyo Kiranga haexist kisa JF Members tunabishania jinsia yake?

Mbona hizi hoja sio rational na wala hazihoji existence ya Mungu mbali zinahoji matendo baada ya existence ya Mungu kuwepo. Embu tujadili premises ambazo Mungu haexist kwanza
First things first nimesema Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwepo na kuumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na mabaya ni contradiction.

Hapo sijasema Mungu yupo, nimeonesha contradiction katika hoja ya Mungu huyo kuwapo.

Ushaelewa?
 
View attachment 3173038

Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.

Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika

Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
Dunia ni uwanja wa fujo wa hatma kila mtu atapambana kupata hatma nzuri sasa zubaa watu wanqkufanya daraja...
 
Hiyo ndiyo hatari tena ndiyo inadhihilisha ninacho sema wanacho kifanya waislamu ni sawa na wanachokifanya wazanzibar dhidi ya watanganyika ni kulalamika sana kuwa wanapunjwa hata kama wao ndiyo wanufaika wakuu ....unajua nini maana yake ?hiyo ni trick ya hali ya juu sana kufikia wanacho kitaka ...ndiyo ichi nilicho kisema....tumia akili

Kumbe? Watalalamika hadi lini?

Upumbavu wa wakristo na wasio waislam ni upi? Inabidi wafanye nini?
 
Back
Top Bottom