Umeanza kujichanganya tena!! Umeshasema unapinga existence ya Mungu hayo ya kuumba si inatakiwa awe exisiting being kwanza ndio yaje? So ukipinga uwepo wake pinga His existence kwanza hayo ya kwamba kama angekuwepo mbona ameumba blah blah yanaingiaje?
Stop this zero sum game
Anayeomba ni binadamu ina uhusiano gani na uwepo wa Mungu? Ni sawa na useme
Kiranga sio mwanaume maana angekua mwanaume asingekubali kupigwa na mke wake?? Sasa kupigwa na mke kunafanya jinsia ibadilike? Maana tunaongelea existence kwanza maana huwezi kuomba kitu kwa Deity ambayo haiexist!
Same problem, exclusion bias!! Sasa wanaobishana ni wanadamu je inahusiana nini na existence ya Mungu? Kwamba mimi nikisema
Kiranga ni mwanaume huku members wengine wakisema
Kiranga ni mwanamke inamaana huyo
Kiranga haexist kisa JF Members tunabishania jinsia yake?
Mbona hizi hoja sio rational na wala hazihoji existence ya Mungu mbali zinahoji matendo baada ya existence ya Mungu kuwepo. Embu tujadili premises ambazo Mungu haexist kwanza