Kwa hivi 'Vyuma' vitano nilivyoviona jana hoteli moja kuna Klabu itachukua Ubingwa NBC bado Mechi 15

Kwa hivi 'Vyuma' vitano nilivyoviona jana hoteli moja kuna Klabu itachukua Ubingwa NBC bado Mechi 15

Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.

Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.

Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.

Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC Halaand ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.

Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Tunashukuru sana kwa taarifa.
 
Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.

Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.

Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.

Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC Halaand ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.

Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Hauwez kuitaja TIMU,kwakuwa UTAUMBUKA HAPO BAADAYE...UMEJIZATITI HONGERA.
 
Simba Hadi sasa imeacha wachezaji watatu 3 WA KIGENI.

Mohamed Ottara.
Agastine Okra.
Ismail Sawadogo.

Hivyo Ina nafasi TATU tu za kujaza za wachezaji wa kigeni.

Otherwise iache wachezaji kama

4. Peter Banda.
5.Pape SACKHO.
6.Sadio kanute.

Ikiwaacha HAO inakuwa na nafasi 6.
Hivyo itakuwa na asilimia 90% za UBINGWA NBCP,
Na nusu Fainali ya CAFCL
UBINGWA WA ASFC
 
Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.

Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.

Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.

Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC Halaand ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.

Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Aaaahaaaaa,*****
 
Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.

Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.

Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.

Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC Halaand ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.

Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Niibie Siri mnamuqcha Nani mwingine ili wote 5 wapate nafasi maana mpaka Sasa mmebaki na 9.
 
Back
Top Bottom