Sandiego
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 1,288
- 2,075
Na mimi nakazia hapo[emoji1787][emoji1787]ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.
hii poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nakazia hapo[emoji1787][emoji1787]ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.
hii poa
da!!!, Na Iwe kweli mzee....Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.
Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.
Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.
Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.
Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Kwahiyo safari hii ninunue jezi? Maana msimu uliopita sikutaka hata kuziona.Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.
Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.
Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.
Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.
Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Niambie Mkuu. Mlikuwa mmelala sana nimeamua Kuwachangamsheni na sasa Jukwaa limechangamka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila genta...
Nimecheka sana hadi nimemwaga Uji.Vyuma kweli vipo na vimekuja vitano kutoka uarabuni kwa ajili ya gati 1-5,,kwa ajili ya uendeshaji wa bandari yetu kwa ufanisi zaidi!!
We jamaa noumaKudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.
Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.
Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.
Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.
Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Hizo bangi mnazovuta ukubwani zitawatesa sana.Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.
Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.
Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.
Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.
Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Kudadadeki TFF andaeni kabisa Kombe la NBC kwa Msimu ujao wa 2023/2024 kwani kwa vyuma vitano hatari nilivyoviona Mwenyewe na ninavyowajua Uwezo wao mkubwa Uwanjani kuna Timu itabeba Vikombe vyoye vya Tanzania (hata hiki changu ambacho GENTAMIYCINE nanywea Uji wangu wa Ulezi, Mhogo, Karanga na Maziwa ) na katika CAFCL itavunja rekodi na kufika Fainali na ikitokea ikaangukia CAFCC mwakani (2024) Rais Samia ataenda kuwapokea JNIA wakiwa wamebeba Kombe.
Huyo Kipa niliyemuona jana Hotelini hata Gizani anadaka Mpira na Punje za Mchele bila wasiwasi (Pele na Maradona walimtabiria makubwa) walipomuona akiwa mdogo.
Sasa utamu hasa uko kwa hiyo Mido niliyoiona kwani inacheza mara mbili ya uwezo aliokuwa nao Tresor Lomana GENTAMIYCINE Mputu na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mafowadi wa hiyo Timu Watafunga mpaka watachoka na kuwaonea Huruma Makipa.
Na Beki niliyemuona pia Hotelini jana hata Mshambuliaji wa Manchester City FC ameshauri asajiliwe huko ila Yeye Mwenyewe (Beki huyo) kapenda kuja Kucheza Soka Tanzania kwakuwa nje ya Kucheza pia atatalii Mbugani na ataoa hapa hapa Tanzania ambako ndiko kuna Wanawake Warembo kuliko wowote duniani.
Tutatafutana Msimu huu Kudadadeki. Na sijaitaja hopa hiyo Timu sasa Wewe 'Kisokolokwinyo Kiherehere' kurupuka kisha nikupe za Uso.
Kutoka ,kuomba pesa billion 2 ,akafanye usajili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila genta...