Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

roselyn2

Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
86
Reaction score
388
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
 
Unataka kumlazimisha akutake..?
Huu ujumbe ungempa mlengwa sisi huku tutakudis tu!,Kama hashughuliki nawewe sio kigezo cha kuja kutoa maneno humu,mfate mwambie haja ya moyo wako Kama unampenda kweli hizo nadharia unazotengeneza hazitakusaidia kitu!.
 
Unataka kumlazimisha akutake..?
Huu ujumbe ungempa mlengwa sisi huku tutakudis tu!,Kama hashughuliki nawewe sio kigezo cha kuja kutoa maneno humu,mfate mwambie haja ya moyo wako Kama unampenda kweli hizo nadharia unazotengeneza hazitakusaidia kitu!.
Ukute ntu mwenyewe ni wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkubalie mtoto wa ntu
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Na hii baridi, lazima kuteseka
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Nimejikuta najaribu kuunganisha dots.. usijekuta wewe ndio huyu binti kwenye huu uzi wa jamaa maana naona nyuzi zenu zimepishana kwa nusu saa tu..🤣

 
Back
Top Bottom