Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

Mi huwa siwaz kuhusu kufikiriwaje sijui,mi ninachofikiria ni nimependa na anapaswa afahamu hilo...Ivo namchana ukweli kuwa nampenda.Mambo ya kuwaza sijui atanifikiriaje na kusubiri utongozwe ndo tunakuja kubali na wajinga maana unaona kama bahati.Nifikirie vyovyote utajua mwenyewe[emoji39][emoji39]
Liwalo na liwe, ndio maana kuna tofauti kati ya msichana na mwanamke.
 
Ndio maana thamani ya mambo hayo imeshuka sana siku hizi.

Imefika mahala wanaume wanajiuliza mwanamke ana nini cha ziada cha kutoa mbali na K ?

Wanawake wanajirahisisha sana na kuji expose kwa tamaa ya pesa !

Sasa wamejikuta wanatumika tu kama toilet na kutupwa kwenye dustbins!

Na kipimo cha kujua kama kuna penzi la kweli mojawapo ni pale ambapo mwanamke anapokuwa na financial freedom sufficiently kuweza kujifanyia maendeleo ya mali zisizohamishika yamkini!
[emoji817][emoji817][emoji817]
 
Nifungukie tu, mwenzio me domo zege ndio maana kujileta kote nimeshindwa hata kusema kitu[emoji41]
 
Mi huwa siwaz kuhusu kufikiriwaje sijui,mi ninachofikiria ni nimependa na anapaswa afahamu hilo...Ivo namchana ukweli kuwa nampenda.Mambo ya kuwaza sijui atanifikiriaje na kusubiri utongozwe ndo tunakuja kubali na wajinga maana unaona kama bahati.Nifikirie vyovyote utajua mwenyewe[emoji39][emoji39]
Uko na mentality safi sana ubarikiwe siku zote.
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Iko hivi, ukitaka attention ya Mwanaume unapaswa umuoneshe chuki na kisirani. Kwenye jitihada za kusaka suluhisho mwenyewe atajaa kwa gharama zake. Kitaalamu inaitwa Utata Makini. Utanishukuru baadae!
 
Sio kutuelezea tu hisia zenu, hata kwenye sensa ilibidi msihesabiwe
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Let's be autistically logical for a second

There is one group who is accountable for the state of civilization, they're responsible for its success or failure

Then there is another group that is not responsible for the state of civilization at all

Does this sound equal to you?
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Pole mrembo!
Njoo kwetu!
 
Back
Top Bottom