Wewe ni mzuri sana tu mtazamaji ndio anaona uzuri wa mtuMm sio mzuri ila pia sitongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mzuri sana tu mtazamaji ndio anaona uzuri wa mtuMm sio mzuri ila pia sitongozi
Ooh asanteWewe ni mzuri sana tu mtazamaji ndio anaona uzuri wa mtu
Liwalo na liwe, ndio maana kuna tofauti kati ya msichana na mwanamke.Mi huwa siwaz kuhusu kufikiriwaje sijui,mi ninachofikiria ni nimependa na anapaswa afahamu hilo...Ivo namchana ukweli kuwa nampenda.Mambo ya kuwaza sijui atanifikiriaje na kusubiri utongozwe ndo tunakuja kubali na wajinga maana unaona kama bahati.Nifikirie vyovyote utajua mwenyewe[emoji39][emoji39]
Thamani ya mapenzi haipo tenaHapo ndio Balaa linapo Anza [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji817][emoji817][emoji817]Ndio maana thamani ya mambo hayo imeshuka sana siku hizi.
Imefika mahala wanaume wanajiuliza mwanamke ana nini cha ziada cha kutoa mbali na K ?
Wanawake wanajirahisisha sana na kuji expose kwa tamaa ya pesa !
Sasa wamejikuta wanatumika tu kama toilet na kutupwa kwenye dustbins!
Na kipimo cha kujua kama kuna penzi la kweli mojawapo ni pale ambapo mwanamke anapokuwa na financial freedom sufficiently kuweza kujifanyia maendeleo ya mali zisizohamishika yamkini!
Uko na mentality safi sana ubarikiwe siku zote.Mi huwa siwaz kuhusu kufikiriwaje sijui,mi ninachofikiria ni nimependa na anapaswa afahamu hilo...Ivo namchana ukweli kuwa nampenda.Mambo ya kuwaza sijui atanifikiriaje na kusubiri utongozwe ndo tunakuja kubali na wajinga maana unaona kama bahati.Nifikirie vyovyote utajua mwenyewe[emoji39][emoji39]
❤️🙏Uko na mentality safi sana ubarikiwe siku zote.
Iko hivi, ukitaka attention ya Mwanaume unapaswa umuoneshe chuki na kisirani. Kwenye jitihada za kusaka suluhisho mwenyewe atajaa kwa gharama zake. Kitaalamu inaitwa Utata Makini. Utanishukuru baadae!ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi
Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
[emoji23][emoji23] wawekwe kwenye kundi la mifugo, maake huwa hakuna binadamu ambaye haeleweki anataka niniSio kutuelezea tu hisia zenu, hata kwenye sensa ilibidi msihesabiwe
Let's be autistically logical for a secondila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi
Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Hahaha sio woteMwanamke akitaka mwanaume anampata kwa gharama yoyote ,ongeza juhudi kidoogo
Pole mrembo!ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi
Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia