Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee cute,hakuna namnaUmemalizaaa.
Shida nyingine demu anakutafutia wakati wa hali ya joto wakati wa baridi kali amekublock.Hii sio sawaila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi
Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Mi huwa siwaz kuhusu kufikiriwaje sijui,mi ninachofikiria ni nimependa na anapaswa afahamu hilo...Ivo namchana ukweli kuwa nampenda.Mambo ya kuwaza sijui atanifikiriaje na kusubiri utongozwe ndo tunakuja kubali na wajinga maana unaona kama bahati.Nifikirie vyovyote utajua mwenyewe[emoji39][emoji39]
Single mother hamna soko huwezi mpenda kijana mbichi bishoo handsome ana pesa utamletea mikosi tu kaa kwa kutulia
Kingine punguzeni ego kwa sana inawagharimu kwa kweli mwambie tu basi tatizo kujikuta mwanamke special wewe ndo upewe attention
Napitia situation kama hii kusema ukweli inauma sana
Hapo ndio Balaa linapo Anza [emoji16][emoji16][emoji16]Women needs attention
Men needs sex
Kauli za hovyo hizi.... Ipo siku atakulilia kwa sababu zipi.!?? Wewe uliowakataaa utawalilia pia..!????Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Mawee karaghabao!!!....labda mleta mada ni mwanakijiji..... Siku hizi kidume ukiwa na hela tu tena siyo nyingi saana....elimu nzurii....kaz nzuri...gari...jamani mbona utawakimbia..utatafuta ulinzi mtu ke asikusogelee mita 2..kila ke anatamani akuguse tu.akusemeshe..akuone..sasa eti kuna mleta mada ananitamani ila hasemi wkt usiku kucha nime firigisa waremboooo!! Nimejichokea mpaka baaaasi....ukiniogopa ndo nafuu yangu!!
Dah mkuu hata Mimi sijui ni Maisha au Nini lakini Nina muda mrefu hasa sijalamba asali na sio Kama hakuna mwanamke Ila Sina appetite kabisa.Mawee karaghabao!!!....labda mleta mada ni mwanakijiji..... Siku hizi kidume ukiwa na hela tu tena siyo nyingi saana....elimu nzurii....kaz nzuri...gari...jamani mbona utawakimbia..utatafuta ulinzi mtu ke asikusogelee mita 2..kila ke anatamani akuguse tu.akusemeshe..akuone..sasa eti kuna mleta mada ananitamani ila hasemi wkt usiku kucha nime firigisa waremboooo!! Nimejichokea mpaka baaaasi....ukiniogopa ndo nafuu yangu!!
Ukifosi kingi utajilipia hadi mahariHalafu mwanamke ukitumia nguvu Au ushawishi katika kuanzisha mahusiano ya aina hiyo ujue itahitajika nguvu na ushawishi katika kuyaenzi na ku-maintain hayo mahusiano [emoji108][emoji108]
La sivyo kidogo tu yanatetereka kama si kuvunjia na yakiweza kuendelea ni kimakandamkanda tu na nguvu nyingi na ushawishi.
Imeandikwa:
“Enyi binti Sayuni msiyachochee
Mapenzi mpaka yatakapoona yenyewe”
Mademu wazuri hawatongozi MwanaumeSio kufukia hatua hii yaan had kutamani kutongoza ila yakinikuta pia siwez kumwambia mwanaume maana izo dharau zake utazopewa sio mchezo
Kunguru wa Manzese
Mm sio mzuri ila pia sitongoziMademu wazuri hawatongozi Mwanaume