Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

Tiba pekee hapo ni muda tu mkuu, kadri muda unavyo kwenda ndivyo utakua unapona pole pole.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi niliwahi lazwa hospitali siku nne kisa demu kanikubali, ila show anapewa mwingine, mi nanyimwa, natoa tu pesa!

Walivyopima wakasema nina malaria 2 na typhoid

Pmbf zake yule dokta wa mchongo[emoji23] Halafu Judi kokote uliko ulaaniwe[emoji23]
 
Amekuacha eee umeachwa kubali kubali [emoji849][emoji849]utapata wako mtakae pendana
msala ni kupata mnaependa....kupata unae mpenda unaweza na kupata anaekupenda ni sawa.....kupata mnaependana ni bahati ambaya hupatikana kwa bahati na kwa wenye bahati.
 
Mimi mbona kuna mmoja alinifungukia mwanzoni nilishtuka kidogo ila badae nikamkubaliaa mpka leo tupo pamojaa
 
Mualike dinner halafu tupia kimini cha maana uone kama hatakuomba mkapumzike kidogo chumbani
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi niliwahi lazwa hospitali siku nne kisa demu kanikubali, ila show anapewa mwingine, mi nanyimwa, natoa tu pesa!

Walivyopima wakasema nina malaria 2 na typhoid

Pmbf zake yule dokta wa mchongo[emoji23] Halafu Judi kokote uliko ulaaniwe[emoji23]
Haya mambo lazima uumizwe ndio unakua mjanja mjanja
 
Je iwapo yupo tayari kwenye seriously commitment ya uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwingine?!

Are you having such provision in your mind?
 
Iwapo mlishaanza uhusiano nitakwambia kitu.

Yani nakuelewa vizuri hali inayokukabili.

Lakini nilikuja kujifunza kuwa Men are born to chase a woman in nature .

Ukijaribu kwenda kinyume na asili yao utaizidi kuchanganyikiwa.


After chasing a woman in some times between will time to vent and after that they will start to chase a woman provided they are in a true love among them.


Fahamu hivyo Mpendwa!
 
Napitia situation kama hii kusema ukweli inauma sana
Wakati unasubiri maumivu yaishe naomba tuungane kusubiri uo muda ufike wa machungu kupotea mana wanasema muda ni tiba pekee ya maumivu
 
Katiba mpya itasimamia hisia zenu kusikika KWA wale muwapendao hata kama wanajifanya hawaelewi!

Tutaanzisha chama cha hisia na mapenzi ili kutatua changamoto za mahusiano Ili Taifa listawi kihisia na kiuchumi sio kama ilivyo Sasa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!
 
Back
Top Bottom