Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Leo zamu ya wadada wa JF kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu
Nawasubiri hapa siti ya mbele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wa urithi kutoka kwenye ukoo wako[emoji23][emoji23] Aisee huo u HB nimeuokotea wapi..?
Jina lako linajieleza[emoji23][emoji23] Aisee huo u HB nimeuokotea wapi..?
Mh! Nawe ni beautiful wa urithi toka kwenye ukoo wenu![emoji1787][emoji1787][emoji1787]wa urithi kutoka kwenye ukoo wako
Aaaah [emoji23][emoji23][emoji23]konoboy kwani wewe sio muhandsome??Mh! Nawe ni beautiful wa urithi toka kwenye ukoo wenu!
😀😀😀shida huna adabu wewe ni wakunipita mimi kama jiwe bila salamu....eti unasubili mimi nikuanze wewe kukusalimia..halafu punguza dharau mimi kwanza nilikuwa sikupendi ila nilitamani nionje hilo zigo lililokuwa linatikisa kwenye dera...wewe ni single mother (ni mwanamke ) wewe sio msichana mdogo kwamba ndio unaanza kujifunza mapenzi, wengi wamepita hata mimi napita kama wengine....eti unaniambia unapenda kubembelezwa mimi sijui kumbembeleza mwanamke .
Jina sio mwili mkuu..😂Jina lako linajieleza
Mimi wala sijaliii,,, Sijaliiii,,, ku pretend Maisha siwezi,,,, Naipenda Tabia Yangu...Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
😂 Nimekuwa kono tena dah! Sijui Kama ni muhandsome by the way uhandsome si dili hata hivyo..Aaaah [emoji23][emoji23][emoji23]konoboy kwani wewe sio muhandsome??
Hilo nalo neno[emoji23] Nimekuwa kono tena dah! Sijui Kama ni muhandsome by the way uhandsome si dili hata hivyo..
[emoji75][emoji81][emoji114] aisee!shida huna adabu wewe ni wakunipita mimi kama jiwe bila salamu....eti unasubili mimi nikuanze wewe kukusalimia..halafu punguza dharau mimi kwanza nilikuwa sikupendi ila nilitamani nionje hilo zigo lililokuwa linatikisa kwenye dera...wewe ni single mother (ni mwanamke ) wewe sio msichana mdogo kwamba ndio unaanza kujifunza mapenzi, wengi wamepita hata mimi napita kama wengine....eti unaniambia unapenda kubembelezwa mimi sijui kumbembeleza mwanamke .
Umepatwa na Nini tena dear😘.ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi
Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Kwani sisi tunawezaje...!? makonfidensi tu yatakuwezesha. Njoo nisaundisheila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi
Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi
Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.
Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia