Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

Shida huna adabu wewe ni wakunipita mimi kama jiwe bila salamu....eti unasubili mimi nikuanze wewe kukusalimia..halafu punguza dharau mimi kwanza nilikuwa sikupendi ila nilitamani nionje hilo zigo lililokuwa linatikisa kwenye dera...wewe ni single mother (ni mwanamke ) wewe sio msichana mdogo kwamba ndio unaanza kujifunza mapenzi, wengi wamepita hata mimi napita kama wengine....eti unaniambia unapenda kubembelezwa mimi sijui kumbembeleza mwanamke .
 
shida huna adabu wewe ni wakunipita mimi kama jiwe bila salamu....eti unasubili mimi nikuanze wewe kukusalimia..halafu punguza dharau mimi kwanza nilikuwa sikupendi ila nilitamani nionje hilo zigo lililokuwa linatikisa kwenye dera...wewe ni single mother (ni mwanamke ) wewe sio msichana mdogo kwamba ndio unaanza kujifunza mapenzi, wengi wamepita hata mimi napita kama wengine....eti unaniambia unapenda kubembelezwa mimi sijui kumbembeleza mwanamke .
😀😀😀
 
Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Mimi wala sijaliii,,, Sijaliiii,,, ku pretend Maisha siwezi,,,, Naipenda Tabia Yangu...

By bongo Fleva
 
shida huna adabu wewe ni wakunipita mimi kama jiwe bila salamu....eti unasubili mimi nikuanze wewe kukusalimia..halafu punguza dharau mimi kwanza nilikuwa sikupendi ila nilitamani nionje hilo zigo lililokuwa linatikisa kwenye dera...wewe ni single mother (ni mwanamke ) wewe sio msichana mdogo kwamba ndio unaanza kujifunza mapenzi, wengi wamepita hata mimi napita kama wengine....eti unaniambia unapenda kubembelezwa mimi sijui kumbembeleza mwanamke .
[emoji75][emoji81][emoji114] aisee!
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Umepatwa na Nini tena dear😘.
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia
Kwani sisi tunawezaje...!? makonfidensi tu yatakuwezesha. Njoo nisaundishe
 
Mapenzi ni hisia. Utakuta unamuonesha hivyo kumbe naye hana hisia na wewe.
Labda ni udomo zege unamsumbua.
 
ila nyie, kupenda ni kubaya asikwambie mtu. Hasahasa unamwonesha ishara zote, ukaribu na attention, lakini ndo kwanza walaa hana muda mchafu, unatamani ulifungukie ulisaidie, lakini wapi

Shida inakuja, atanichukuliaje? Labda nataka nimgawie ujauzito? Atahisi mi mgonjwa? Au mi kahaba?

Wanaume Mungu anawaona. Ipo siku utatamani walau kupata faraja la umpendaye na hutofanikisha. Malipo ni hapa hapa duniani.

Mwacheni acheze na hisia, ipo siku atalilia

Tunajua sana, sema atakuwa hakutaki
 
Back
Top Bottom