Kwa Hiyo Serikali /DCI na Mahakama, mmeamua kuwaambia Watanzania kuwa Dada wa Msuya alijichinja mwenyewe?

Kun uhakika gani yeye anahusika?Mbona alishikiliwa kwa miaka 8 ?
 
Sahihi kabisa,kuna tofauti kubwa kati ya haki na sheria,unaweza ukawa na haki ila mwanasheria akacheza na sheria ukashindwa kesi.
 
Mke wa Bilionea aue wifi kwa sababu ya kiwanja , hicho kiwanja kingeuzwa bei gani ?
 
Watu wa Kaskazini baadhi wanajikuta wanaijua sana pesa, mimi nasemaje mahakama iwaache wachinjane kama kuku hadi siku watakapotambua maisha ni zaidi ya pesa
Usigeneralize. Upande mmoja ndio unachinjwa sio kuchinjana. Yani upande wa Msuya.
 
Hii inanikumbusha kesi ya O.J. Simpson na mauaji ya Nicole Brown Simpson na Ron Goldman.

Mpaka leo hii O.J. eti bado β€˜anawatafuta’ wauaji πŸ˜€.
 
Sahihi kabisa,kuna tofauti kubwa kati ya haki na sheria,unaweza ukawa na haki ila mwanasheria akacheza na sheria ukashindwa kesi.
Kabisa mkuu, fikiria mtu anafungua mashtaka ya madai wakati kaibiwa. Mwisho wake kesi badala ya kuwa ya kunai inageuka kuwa ya madai ambayo haina uzito mkubwa.

Maskini wengi ndio waathirika wakubwa πŸ™πŸ½
 
Niliwahi kumuambia mtu hiki kitu, alinibishia sana, natamani aione hii.
 
Ukioa mmachame hakikisha huwi tajiri.
Kama utakua tajiri siku zako za kuishi si nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…