Kwa hizi jezi mbaya, Yanga ilihitaji Manara aje kuzibusti

Kwa hizi jezi mbaya, Yanga ilihitaji Manara aje kuzibusti

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210825_122515121684.jpg


Mimi ni Simba lakini nimejikuta naisikitikia sana Yanga.
 
Kuna masenge humu hatari yan jitu ni shabiki mkate la simba bt linaanzsha uzi wa kukosoa jezi ya yanga

Ni swala la muda tu tunasubiri za vunja bei sasa msimu uliopta mlitengeneza jezi aina 3 kupambana na jezi moja tu ya yanga na bado mkaangukia pua mpk mwamedi akaona isiwe shida akampa kaz vunja bei

Msimu huu mtatengeneza aina 6 kupambana na hii mtatengeneza jezi ya
Kombe la mapinduzi
Kombe la ligi kuu
Kombe la shirikisho
Kombe la club bingwa mkitolewa mnatengeneza ya shirikisho

Na bado hamtafua dafu
 
Back
Top Bottom