Kwa hizi jezi mbaya, Yanga ilihitaji Manara aje kuzibusti

Kwa hizi jezi mbaya, Yanga ilihitaji Manara aje kuzibusti

Wameamua kutoa ile Ramani ya Africa na kuweka picha ya wananchi wanaoendaga kupokea wageni Airport

* Binafsi sijaupenda muundo wa kola - humfanya mtu mwembamba aliyevaa asipendeze, Pia huo ukijivu humfanya alievaa aonekane kama amelowa jasho kumbe ni vivuli vya picha ya watu.
 
sasa hapo manara angekolezwa na rangi nyeupe tumjue
 
Kila msimu hamkosi cha kuinanga jezi zetu za mwanzo mlisema msalaba ya pili mlisema atlasi lakini mwishowe mkakubali uzi jinsi ulivyotrend kitaa

Baada ya kutrend ukawaletea kombe la Mapinduzi.Ndiyo mafanikio yenu makubwa
 
Mkuu macho yako yana shida! Jezi iko poa sana tuache ushabiki
Iko poa wapi acha kuwadanganya wenzako huoni humo mnaonekana kama mna watu wanakimbizana uchi wengine wanakulana Blow Job?
 
Back
Top Bottom