EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,565
- 1,918
Sengerema ww kunduganimke wa mwamedi labda atakuwa mama yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sengerema ww kunduganimke wa mwamedi labda atakuwa mama yako
Hebu wekeni picha za hizo jersey sasa tuone kama mleta mada anaongea ukweli au kakurupuka.
nadhani mwamedi kipindi hiki ataona aibu kuweka makorokocho kwenye jezi zetu maana manara kamsema sana.
alafu kipindi hiki mitandaon hatutapambana na uto bt tutapambana na manara hii itawasaidia sana vyura kwa kiasi fulani
Aste aste,hawa ni manyani f.c twende nao taratibu ingawa huwa hayaelewi.wewe ndio msenge mpumbavu,kula block sio utashi wako ni utashi wangu
Kivipi unamkana na video zipo anasema live,wanazindua jezi bora kuzidi zote Africa! ndo haya mabatiki?Yule ni msemaji wa GSM, sisi Yanga hatusemewi na yule jama.
We kichwa maji kweli..Simba SC Walitengeneza jezi kulingana na mashindano na vile vile kwa sasa taratibu za FIFA unaruhusiwa kuwa na Jezi ya tatu.Kuna masenge humu hatari yan jitu ni shabiki mkate la simba bt linaanzsha uzi wa kukosoa jezi ya yanga
Ni swala la muda tu tunasubiri za vunja bei sasa msimu uliopta mlitengeneza jezi aina 3 kupambana na jezi moja tu ya yanga na bado mkaangukia pua mpk mwamedi akaona isiwe shida akampa kaz vunja bei
Msimu huu mtatengeneza aina 6 kupambana na hii mtatengeneza jezi ya
Kombe la mapinduzi
Kombe la ligi kuu
Kombe la shirikisho
Kombe la club bingwa mkitolewa mnatengeneza ya shirikisho
Na bado hamtafua dafu
Inakuuma nn? Kanjubari
Subirini malonyalonya ya vunja beiEmu tuwe serious, hiyo jersey gagulo?
Mzee rage akukosea kuwaita lile jina lenu maarufu la mbu3Mkuu labda kipendacho roho. Mimi kwangu hii ingekuwa jezi ya Simba hata bure sichukui
wewe ndio msenge mpumbavu,kula block sio utashi wako ni utashi wangu
Kwani wewee misimu mingapi umeweza?Kuna masenge humu hatari yan jitu ni shabiki mkate la simba bt linaanzsha uzi wa kukosoa jezi ya yanga
Ni swala la muda tu tunasubiri za vunja bei sasa msimu uliopta mlitengeneza jezi aina 3 kupambana na jezi moja tu ya yanga na bado mkaangukia pua mpk mwamedi akaona isiwe shida akampa kaz vunja bei
Msimu huu mtatengeneza aina 6 kupambana na hii mtatengeneza jezi ya
Kombe la mapinduzi
Kombe la ligi kuu
Kombe la shirikisho
Kombe la club bingwa mkitolewa mnatengeneza ya shirikisho
Na bado hamtafua dafu