Kwa hizi jezi mbaya, Yanga ilihitaji Manara aje kuzibusti

Kwa hizi jezi mbaya, Yanga ilihitaji Manara aje kuzibusti

Hebu wekeni picha za hizo jersey sasa tuone kama mleta mada anaongea ukweli au kakurupuka.

20210825_125323.jpg


20210825_125355.jpg
 
nadhani mwamedi kipindi hiki ataona aibu kuweka makorokocho kwenye jezi zetu maana manara kamsema sana.

alafu kipindi hiki mitandaon hatutapambana na uto bt tutapambana na manara hii itawasaidia sana vyura kwa kiasi fulani
 
nadhani mwamedi kipindi hiki ataona aibu kuweka makorokocho kwenye jezi zetu maana manara kamsema sana.

alafu kipindi hiki mitandaon hatutapambana na uto bt tutapambana na manara hii itawasaidia sana vyura kwa kiasi fulani

Simba tunapambana uwanjani,huko mitandaoni acha waendelee kina Mwajuma ndala mdefu.
 
Kuna masenge humu hatari yan jitu ni shabiki mkate la simba bt linaanzsha uzi wa kukosoa jezi ya yanga

Ni swala la muda tu tunasubiri za vunja bei sasa msimu uliopta mlitengeneza jezi aina 3 kupambana na jezi moja tu ya yanga na bado mkaangukia pua mpk mwamedi akaona isiwe shida akampa kaz vunja bei

Msimu huu mtatengeneza aina 6 kupambana na hii mtatengeneza jezi ya
Kombe la mapinduzi
Kombe la ligi kuu
Kombe la shirikisho
Kombe la club bingwa mkitolewa mnatengeneza ya shirikisho

Na bado hamtafua dafu
We kichwa maji kweli..Simba SC Walitengeneza jezi kulingana na mashindano na vile vile kwa sasa taratibu za FIFA unaruhusiwa kuwa na Jezi ya tatu.

Ndo Simba SC toka mwaka Juzi wana Jezi aina Tatu, Nyekundu, Nyeupe, Kijivu... Ambapo Utopolo nao leo wamezindua jezi ya Tatu, nao wanapambana nani..!?

Tumieni akili kuchangia hoja Nyiee.
 
Emu tuwe serious, hiyo jersey gagulo?
 
Kwangu mimi jezi ya msimu wa ²⁰²⁰/²⁰²¹ naipa 92% hii naipa 65% kwa kuzilinganisha ukweli ni kwamba ya msimu ulopita ilikua 🔥🔥🔥 UKIACHILIA MBALI materials Ile round ya chini iliipa muonekano pia
 
Kuna masenge humu hatari yan jitu ni shabiki mkate la simba bt linaanzsha uzi wa kukosoa jezi ya yanga

Ni swala la muda tu tunasubiri za vunja bei sasa msimu uliopta mlitengeneza jezi aina 3 kupambana na jezi moja tu ya yanga na bado mkaangukia pua mpk mwamedi akaona isiwe shida akampa kaz vunja bei

Msimu huu mtatengeneza aina 6 kupambana na hii mtatengeneza jezi ya
Kombe la mapinduzi
Kombe la ligi kuu
Kombe la shirikisho
Kombe la club bingwa mkitolewa mnatengeneza ya shirikisho

Na bado hamtafua dafu
Kwani wewee misimu mingapi umeweza?
 
Back
Top Bottom