THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Spika anatoa kauli yake Juu ya swala la Ngorongoro na mkuu wa Mkoa anatoa Taarifa yake ambayo ina kinzana na Taarifa ya Spika na ukitazama Mtu alie kwenye control ya Lile eneo ni Mkuu wa Mkoa so ana details za kutosha na inaonyesha huu Mgogoro sio wa Leo lakini spika alikanusha hapa,
Nani tumsikulize sasa au tuseme mgogoro ndio umeibuka Leo?
Nani tumsikulize sasa au tuseme mgogoro ndio umeibuka Leo?