Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Mkuu hii ni Ccm ya kizazi kipya
Niko hapa tangu 2007. Sijawahi kimbia hoja wala kubadili ID wala sina multiple ID man. Kwamba wapinzani wakose hata diwani mmoja? Unless muwaue kwanza
 
Wacha wajidanganye tu
Niko hapa tangu 2007. Sijawahi kimbia hoja wala kubadili ID wala sina multiple ID man. Kwamba wapinzani wakose hata diwani mmoja? Unless muwaue kwanza
 
Unataka ww kama nan?endelea na kaz yako ya kudeki hapo Lumumba
Ndio mkubwa tunataka membe asimame Chadema ili ampe changamoto Rais Magufuli asipate 100% kwani akisimama mropokaji wa ubeligiji mtapigwa tatu bila
 
Hofu ya ccm ni dhidi ya Lissu ni ya haki. Wanaccm wanajua vyema wakati mgumu aliokutana nao JK uchaguzi wa 2010 dhidi ya Dr. Slaa. Wanaccm wote wanajua udhaifu alionao Magufuli kwenye kujenga hoja, na ubora na ushawishi alionao nao Lissu, wanajua fika ccm itaenda kupoteza mvuto bandia ilioujenga kwa kutumia vyombo vya dola, kunyima uhuru wa vyombo vya habari, kundi la watu wasiojulikana nk. Hivyo hawako tayari Lissu agombee maana wanajua watajikuta kwenye wakati mgumu mno wakati wa uchaguzi, na hasa baada ya uchaguzi.
Mkuu umeongea vizuri ,tatizo hum jamviini
Kumekua na ushabiki wa watu ambao
hauna hoja fikilishi.
Niseme Lissu si wakubeza akipitishwa
Na Chama chake ,huyu jamaa tiyari
amejijengea jina ndani nchi namaanisha
Lissu kama jina 75℅ linajulikana kwa
watanzani ,na uo bado ni mtaji mzuri
wa kisiasa ,mbali na hilo bado kipindi
cha matibabu yake amejibland sana
Katika mataifa ya ulaya na wanajua who
is lisu,na hapa siwezi shangaa akawa
Na support kubwa kutoka mataifa ya
ulaya,ukiachana na vyombo vya habari
vya kimataifa ambavyo kama akigombea
basi uchaguzi huu unaweza kuvunja
record ya kutangazwa na kufuatiliwa
na vyombo hivi.
Pia ieleweke lissu sio mwoga ,na mdhu
butu so huwezi kumchakachua kura kizembe alafu akuangalie au akubali yaishe
Kilahisi hata kwa tume hii hapo unakua
umechochea moto.
Sasa pamoja na ya lissu mwenyewe je?
vipi tena pakiwepo combination ya ACT
WAZALENDO,moto utakuaje hapa naongelea ZITTO na SEIF huko zanzibar
wakaongeza nguvu itakuweje?
JIBU ccm inaweza toboa kwa shida sana
au isitoboe kabisa .
Kwa mnao beza mkakati wa lisu kupeperusha bendera token nje ya box
Lissu anajua anacho kifanya
 
Makosa makubwa ya Tundu Lissu ni kujifanya anajua kila kitu na kuwa yeye ndiyo sahihi hii ni sifa kubwa ya dikteta yeyote
Kukubali kumsafisha Lowassa anaonekana hana msimamo pia ana tamaa ya pesa
Kumkashifu na kumkejeli baba wa Taifa ambaye mazuri yake kwa taifa ni mengi kuliko mabaya yake
Kusapoti ndoa za jinsia moja ili mradi kuwafurahisha wazungu huku akijua pamoja na mambo hayo kufanyika si utamaduni wa watu wa watanzania wengi
Hivi vitu ndio silaha kubwa zitatumika kummaliza kwenye kampeni mambo mengine kama kukaidi kuhudhuria kesi zake kwa kisingizio cha usalama wake lakinii anaomba kugombea urais inaonyesha pamoja na yeye kuwa mwanashera aheshimu sheria
 
yaani ma-CCM ni vilaza na viazi kweli kweli, upepo wa Lissu unawatesa kweli kweli, na hapo bado hajachukua hata hiyo fomu ya ugombea lakini tayri mmeisha anza kuweweseka
 
Kutea ushoga,kutetea wezi wa madini,kutetea wenye vyeti feki,kumtukana baba wa taifa,kumtukana raisi,kudhihaki kazi za raisi, kuzurula
 
CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na lissu mtakiua chama akigombea Urais

Kwasababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.

Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni CHADEMA tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi.

Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru.

Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama.

Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani.

Kazi kwenu CHADEMA muamue msimamishe Lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama

Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Ushauri wa kupuuzwa.
 
yaani ma-CCM ni vilaza na viazi kweli kweli, upepo wa Lissu unawatesa kweli kweli, na hapo bado hajachukua hata hiyo fomu ya ugombea lakini tayri mmeisha anza kuweweseka
Anayetukana vilaza na alivyoandika yeye, unagundua kabisa ni namna tu ya mtu kujihami na ukilaza
 
Wewe unawasemea kama nani tena kwa ulivyo kwenye orodha ya wana ccm wanaopata riziki yao kwa kuandika upupu mitandaoni huyo mnayemkataa ndio anafaa make ndio mnayemuogopa.

Nyie ni lini mtampata mgombea anayeweza kushinda bila kusaidiwa na tume kuiba kura?? When.
 
Makosa makubwa ya Tundu Lissu ni kujifanya anajua kila kitu na kuwa yeye ndiyo sahihi hii ni sifa kubwa ya dikteta yeyote
Kukubali kumsafisha Lowassa anaonekana hana msimamo pia ana tamaa ya pesa
Kumkashifu na kumkejeli baba wa Taifa ambaye mazuri yake kwa taifa ni mengi kuliko mabaya yake
Kusapoti ndoa za jinsia moja ili mradi kuwafurahisha wazungu huku akijua pamoja na mambo hayo kufanyika si utamaduni wa watu wa watanzania wengi
Hivi vitu ndio silaha kubwa zitatumika kummaliza kwenye kampeni mambo mengine kama kukaidi kuhudhuria kesi zake kwa kisingizio cha usalama wake lakinii anaomba kugombea urais inaonyesha pamoja na yeye kuwa mwanashera aheshimu sheria

Mkuu ww ni kiazi fulani, ndio maana unatapika propaganda mfu ulizozisikia toka kwa wahuni wenzako. Ukitaka kujua ww ni kiazi na huna lolote ujualo, angalia bandiko lako, umeandika bila kuweka koma wala nukta!
 
Back
Top Bottom