Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

Mungu hajaruhusu afe ili ashuhudie maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli vinginevyo lissu hana lolote ni wale wale tu
Wenzako wanakulaumu sana kwa kushindwa shabaha, hivi ilikuwaje ukamkosa?
 
Ni ushauri tu kama mnataka chama kisiingie shimoni
Leo umeipenda CHADEMA isife aaah thread zako humu ni nyingi kua CHADEMA imekufa kada.Mimi nashauri wanaccm tuandike zaidi ya CCM kuliko ya CHADEMA.
 
Anaweza kuwa anatembea na laana huyu kamanda
Kutea ushoga,kutetea wezi wa madini,kutetea wenye vyeti feki,kumtukana baba wa taifa,kumtukana raisi,kudhihaki kazi za raisi, kuzurula
 
Akili zako ndiyo zinakufanya uongee haya unayo yaongea wakati leo tangu asubuhi hadi sasa hujatia chochote tumboni yaani umepiga ndefu
Mi nawacheki tu sijui hii nchi mtaishika lini.sioni mlichonacho cha kuwafanya mshike nchi kuiongoza.bora na ccm.
 
Kwa nini ccm mnamuogopa sana Rais Lissu, kawafanyia nini
 
Mjiandae kisaikolojia maana kwa hotuba ya leo ya mh Lissu, hapa mwanza zaidi ya wanachama 60000 wa ccm wamehamia cdm
Tunataka mgombea atakayempa chagamoto mgombea wa Ccm Rais Magufuli Mkimsimamisha huyo mropkaji aliyeko ubeligiji mtapigwa asubuhi tu
 
Wewe ndio utakuwa na tatizo pahala
Mods sasa muweke vigezo maalumu kwa mtu yeyote kuanzisha uzi. Kigezo kikuu ni utimamu wa akili.
Aidha watu waambatanishe vyeti vya daktari au wafanyiwe deep questionnaire
 
Back
Top Bottom