Kwa hoja za Babu Tale bungeni, ninakiri kuna ulazima wa marekebisho ya Katiba kwa sifa za mtu kuwa Mbunge

HAYO NI MATOKEO YA CCM KUBAKA NA KUKOJOLEA KATIBA JMT
 
Babu Tale ni Mwakilishi wa Wasafi Bungeni!!!
 
Halafu dereva wa mbunge lazima awe na cheti cha kidato cha 4 akamwendeshe mwenye kujua kusoma na kuandika hata kama alijifunzia mtaa bila kuingia ktkt jengo la darasa,
 
Waache wawepo Ili historia iandikwe.

Watoto na wajukuu zetu watapata reference.

Sikumuua Magufuli, LAKINI kifo chake kilikuwa Ni mipango wa Mungu Ili Tz ipone. Vuta picha angekuwepo mpaka leo.
 
Wa kulaumiwa ni huyo mnaemuita raisi wa wanyonge....chuki zake zilisababisha ajaze watu wa hovyo bungeni....mfano yule mama aliezungumza ishu za kunyonya maziwa wanawake....
Upo sahihi, aliyewaleta wabunge wa aina hiyo ndiye wakulaumiwa.
 
Mwenzio ana mshahara wa 13m per month, pensheni ya 400+m na sifa za kuteuliwa kuwa Waziri/Waziri Mkuu muda wowote. Pia, ana diplomatic passport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…