Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
achana na kingereza mkuu!Unaitwa@dumbplopesa?
Shauri yako.Uwe unaelewa nilichokiandika kina maana gani?Usisome tu na ku-comment.Utakwama.Hapa ni great-thinkers' club!Tuliza kiuno.achana na kingereza mkuu!
😄😄Sio powa mzee.kupata tu nafas iyo ya kujitolea n mziki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu tunaanza na kujitolea yeye analipwa mamilion...
Wala hata usitaman... mwenyew nilikuwa naona nyingi, ila saivi naona kiduchu haitoshiAsee watu mnapataje kazi Tena ya mishahara mirefu hivi. Yaan wengine tunasota balaa mtaani na degree za statistics,
Tupeane michongo Wana JF
Amna, ule mshahara ulikuwa too specific, niliona Hr anaweza kupitia hapa akanishtukiaHilo suala ndiyo lilifanya aamue kuedit andiko lake
Umeona mahali ameandika 1.58M?Kwa hicho kiasi ulichoandika cha 1.58M unaweza kuwa na Makato almost 40% ama zaidi
Okay ....umefanya vizuriAmna, ule mshahara ulikuwa too specific, niliona Hr anaweza kupitia hapa akanishtukia
Laki mbiliNi alfu moja mia mbili
Ndiyo, mwanzoni aliandika hivyo.Umeona mahali ameandika 1.58M?
Si bora hata icho kiduchu unapata mwenzako ana kabisaWala hata usitaman... mwenyew nilikuwa naona nyingi, ila saivi naona kiduchu haitoshi
Bora usiwe nacho kabisa kuliko kupewa kiduchu...inakuwa kama wanakuzarauSi bora hata icho kiduchu unapata mwenzako ana kabisa
Mbona sasa inaonekana laki 580?Ndiyo, mwanzoni aliandika hivyo.
Bahati nzuri nilikuwa mtu wa mwanzo mwanzo kusoma Uzi wake
Ame-edit soma post #113 aliyojibuMbona sasa inaonekana laki 580?
Ahh Mzee unaona ndogo..Mimi nikipata ya 500k kwa mwezi napiga, yaan mtaan na degree bila kazi ni ovyo kabisa alafu Sasa Hawa wakitaa wanavyotusema ni noma sanaWala hata usitaman... mwenyew nilikuwa naona nyingi, ila saivi naona kiduchu haitoshi
Sure ndio ivyo tunatia huruma tuSi bora hata icho kiduchu unapata mwenzako ana kabisa
Na Heslb wanakudai? 😂😂😂😂😂😂😂Ndo nmemalza form 4, matokeo yametoka Jana leo nmepata kazi