Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 
we kweli chawa tahila, hospital ya wilaya ilem Kweli wewe ni chawa tahila na senge, yaani wewe mwenyewe umepost video ya hospitali ya Nyamagana saizi tena unasema umepost ya ilemelaπŸ˜‚πŸ˜‚, hapo hapo nyamagana ulipopost JPM naye alishaweka jengo la wodi ya wanaume na picha nimekuwekea, nikakupa na nyongeza ya Jengo la sekou toure ambalo JPM alijenga sehemu ambapo mama yako hajagusa kabisa.
Eti kajenga hospitali mpyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ chawa buana, hospitali ipi hiyo?! kwa taarifa yako wewe chawa wa makete, JPM kajenga hospitali mpya ya wilaya ya Ilemela wala sio Samia, Soma hiyo habari ya 2019

Misungwi pia JPM kapiga hospitali mpyaa ya wilaya afu unaleta poroja za kichawa hapa eti samia kajenga hospitali zote za wilaya mwanzaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ chawa katika ubora wako.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-21-20-12-28-69_439a3fec0400f8974d35eed09a31f914.jpg
    254.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-21-20-12-53-39_439a3fec0400f8974d35eed09a31f914.jpg
    282.9 KB · Views: 2
Kwa hiyo alikufa na pesa au? Kwa nini alishindwa kukamilisha miradi ambayo ilikuwa imeshaanza Hadi asubirie huo mwingine? Mfano Soko kuu,stendi zote 2,mradi wa Maji Butimba nk?

Au miaka 6 alikuwa anafanya nini hapo Mwanza?
Pesa aliziacha, lakini badala ya kuendeleza miradi hiyo zikaanza kutumika kuwalipa nyie Chawa na kasi ya miradi ikapungua,
eti kwa nini alishindwa kukamilisha miradiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli chawa ni chawa tu, kwani awamu yake alimaliza, Kwani mikataba na hayo makampuni yanayotekeleza miradi ilikuwa imemalizika!! tumia akili basi wewe chawa mchafu, miradi yote ilikuwa ndani ya muda kimkataba hadi anaondoka, na ile iliyopaswa kumalizika kimkataba kabla ya 2021 ilimalizika, mfano upanuzi wa barabara ya airport, ujenzi wa barabara ya kiseke, ujenzi wa daraja la furahisha, ujenzi wa hospital ya wilaya ya misungwi, ujenzi wa barabara ya buswelu kutokea nyakato, nk, hakuna alichokiacha ambacho kilikuwa nje kimkataba, vyote vilikuwa ndani ya mkataba na angevikamilisha ndani ya muda wa mkataba, umeelewa chawa.
 
Hamna kitu hapo Samia haipendi Mwanza, miradi. Mizuri yote Dodoma, Dsm na kidogoooo Arusha, Miradi ya mwanza kwa awamu ya 6 ni tiamajitiamaji tu hizo TACTICS zipo kila mkoa na kila manisapaa koo hakuna jipya hapa, majiji kama mwanza, Mbeya na Tanga hayapendwi na serikali na hayapewi stahiki zake kama ilivyo Dsm na Dodoma, Kuna special projects kwa Dsm na Dodoma, mfano Dar es salam Metropolitan development project (DMDP) project kama hii inatakiwa na majiji mengine yapewe ili ya move on, Serikali iache kukalili kila kitu Dsm na kwa sasa kila kitu Dom it is not fair πŸ™πŸ™Haiwezekani serikali inakopa pesa halafu pesa zote zinaishia kwenye mji mmoja tu hii sio, Dsm phase one ilikula 800b na phase 2 imekula kama 700b,halafu baadae watu wanaanza kupondea miji ya mikoani haiendelei na wakati haipewi support, Tanzania inahitaji kuunda miji kama Dar es salaam kwa kila kanda, Kusini mbeya, kaskazini Arusha, lake zone Mwanza na kanda ya kati Dodoma ili tupunguze ulimbukeni wa vijana kukimbilia Dsm na tupunguze mentality ya viongozi wetu walio kalili kila kitu Dsm,
 
Kwenye list umeona Kuna miradi ya tactic tuu? Toa ujinga wako wa kule kwenye Ligi.

Mwisho Tactic imependelea zaidi Mwanza kuliko Majiji mengine.

Swala la Serikali kujenga zaidi Dar na Dom sababu zinajulikana.

Dom ni HQ ,Dar ni Economic and Commercial City,Mwanza,Mbeya nk upate miradi sawa na hayo Majiji Kwa hadhi gani?

Mwisho Kwa miradi iliyoko Mwanza ,Samia amewapendelea sana mnatakiwa kumshukuru.
 
Pesa gani alizoziacha? Kwa mfano aliziacha pesa za mradi upi? Kwa thinking hii na wewe unajiita una akili? Mnatofauti gani na kuku?

Kwa taarifa Yako tuu miradi yote ilikuwa Nje ya mkataba ,hakuna kilichomalizika ndani ya mkataba ukiacha hizo Barabara za mradi wa ULGSP ambazo zilijengwa na kwingineko.eg Soko kuu la Mwanza ,Stendi nk zote hizo zilitakiwa kukamilika kabla ya 2021 ila ilishindikana Kwa sababu haikuwa na pesa ila mdomo saaana.

Hadi airport ilimshinda, Kampuni yake ya Mayanga ikapiga hela za kujengea Airport wakasepa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hamna kitu hapo Samia haipendi Mwanza, miradi. Mizuri yote Dodoma, Dsm na kidogoooo Arusha, Miradi ya mwanza kwa awamu ya 6 ni tiamajitiamaji tu hizo TACTICS zipo kila mkoa na kila manisapaa koo hakuna jipya hapa, majiji kama mwanza, Mbeya na Tanga hayapendwi na serikali na hayapewi stahiki zake kama ilivyo Dsm na Dodoma, Kuna special projects kwa Dsm na Dodoma kama Dar es salam Metropolitan development project (DMDP) project kama hii inatakiwa na majiji mengine yapewe ili ya move on, Serikali iache kukalili kila kitu Dsm na kwa sasa kila kitu Dom it is not fair
Mwanza ni business hub kwa ukanda wa maziwa makuu, Hii ilitakiwa iwe Dar es salaam nyingne hapa nchini, ni vile tu serikali imeziba masikio
 
Mlichopata ndio kinaendana na hadhi yenu ya Kanda,hao wengine hadhi zao ni Kitaifa
 
Hizi nyuzi zenu hazifai na sio afya kwa Mwanza maana mnasababisha viongozi wainyime mwanza heavy projects kwa kauli kama hizi eti inapendelewa, imependelewa nini hapo hivyo vijimiradi ni vidogo sana, Dodoma na Mwanza wapi kuna congestion? Lakini huko jangwani wana 110 outer ring tena dual carriage hadi maporini na sasa wanakuja na inner ring dual carriage, Mwanza inahitaji barabara zaidi kuliko hata huko jangwani
 
we bata pesa za mradi wa soko la kirumba aliziacha na ndizo mnazolipwa nyie machawa kupiga haya mapambio, Hakuna mradi ulikuwa nje ya mkataba we bata.
hadi sasa machawa mnamaliza mwaka wa nne hakuna mradi mliokamilisha wala mradi wowote wa maana mlioanzisha, mlichobakiza ni kujisifia na miradi ya JPM, sasa anamaliza mhula wa kwanza hakuna mradi wowote wa maana ulionzishwa na kukamilishwa.
 
πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨ TIA Mwanza Campus πŸ‘‡ πŸ‘‡

View: https://youtu.be/N8pq8cOqMIQ?si=rDHXrAAyqyHpMowE

Mwisho ukiugua utapakiwa kwenye ambulance aliyowaletea Samia hapo Seko Toure &Bugando πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C31BYVAo2-V/?igsh=Z3ZtYWQ2bXhzN3Mx
View: https://www.instagram.com/p/C1-bXHUrM5W/?igsh=ZHg5bmM1eWE2Y25l
 
Kwa nini aziache badala ya kuwalipa wakandarasi au kuanzisha Ujenzi?

Unadhani Kwa nini ujenzi usianze ikiwa pesa zipo?

Arguing with an idiot 😁😁

Mwisho list Ina miradi 27 mipya in less than 4 years,put aside the so called Miradi ya JPM..

Miaka 6 Shujaa wenu alikuwa anafanya kazi gani?

Ujenzi wa Kituko.cha Uokoaji Cha Kanda Ziwa Viktoria unaendelea πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/FA6KN_8zdFE?si=4PLfesaVv7isjqBF
 
Tunaendelea kuweka rekodi sawa dhidi ya nyie wapotiehaji.

Kazi imekamilika Mkuyuni ni mwendo wa shule za magorofa tuu chini ya SSH πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/tv/CnVF-M3jQ4m/?igsh=N2pnNTB3NGRvaGJ1
My Take: Shule hizi za Magorofa zinajengwa Dar,Arusha,Mwanza na Tunduma .
 
Hamna kitu hapo, Mwanza hitaji kubwa ni barabara kuu zake zimechoka barabara nyembamba kama ulimi wa mbwa, kwanza leo mabasi ya Asante rabi na Nyehunge yamegongana uso kwa uso maeneo ya ukirigulu chanzo kikubwa ni wembamba waka barabara
 
Wewe mshamba wa Mwanza jifunze ku post picha vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…