Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yes alafu huwaga wanaga mambo mingi wao kwenye uchaguzi lazima wavote hata bibi kizee anatumia fimbo lazima a vote sasa kwa uchunguzi wangu niangalia karibu 95% ya wapiga kura kanda ya ziwa ni wanaccm na karibu majimbo yote Ccm inashinda Kwa 97.9% ispokuwa nyamagana tu ndio kunaonekana Kuna upinzani walikuwa wanaondoka na 75% baada ya mabula kuingia nyamagana now kufanya makubwa Ccm wamejua 99% kanda ya ziwa mtu atakae win Kanda ya ziwa huyo ndio anaetoa president hiyo haipingiki 100% chadema wamezubaa sana.. ndio maana kuna wale walikuwa wanajiita sukuma gang walikuwa wanajiamini mno sababu kubwa ni nguvu ya wasukuma kama chadema wanataka kuwin Ccm Hawa budi kuiteka Kanda ya ziwa miji vijiji na vitongoji vyake japo 60%
Angalia ziara za Rais Samia Mwanza toka ameingia madarakani na ujue kwa mwanzo hawakumuunga mkono lakini kwa sasa kanda ya ziwa wameshamkubali , pale akisimama makonda kumuombea Kura , pembeni biteko Kura sijui ataziweka wapi , ndio maana alishtuka akaamua kwenda na watu wa jpm
 
Ukweli ni kwamba wale watu wote wa jpm ambao Samia kawarudisha wamefanya siasa yake iwe nyepesi maeneo mengi ya Tanzania , alijaribu kua na watu wake lakini wengi wao alimuharibia kazi tu na kuvuruga bahati nzuri alishtuka mapema
Naam swadakta 🤜
 
Hoja nyepesi nyepesi kama hizi kuzijadili na mtu kama wewe ni kupoteza muda tu!
Endelea tu na maigizo hayo; lakini hata hao mnao waonyesha mazingaombwe hayo nao mwishowe wataona upuuzi kuendelea kuwa na ujinga ule ule wa miaka yote.
Hoja zako nzito ziko wapi? 😂😂😂😀

Msikilize vizuri Katibu Mkuu hapa ,Kwa SSH Kila goti litapigwa 👇👇

View: https://youtu.be/jspkCsDyjm0?si=eEJzQ-wJPcK-iyCF
 
Kwani ni mkoa gani ambao hawajengi barabara za mtaa?!
Mkoa gani ambao hawajengi hospitali na vituo vya afya?!
Mkoa gani ambao hawajengi shule?!
Mkoa gani ambao hawana miradi ya maji?!
Mkoa gani ambao hauna miradi ya umeme?!

Acha kumpa sifa bure Mwanza ni jiji lililotengwa na awamu ya sita
Hakuna miradi mipya tofauti na aliyoacha JPM, ukisema barabara hakuna mkoa usio mradi wa barabara!

La uwanja wa ndege lenyewe hata nisiseme ni aibu angekuwa JPM huo uwanja ungekuwa na hadhi nyingine kabisa!.
Hebu tupunguze sifa kwa vitu ambavyo kila mmoja anaona na kuchambua mwenyewe!.
Mbeya hakuna barabara za mtaa
 
Mbeya hakuna barabara za mtaa
Zipo ila hazitoshi.Hizi ni nini? 👇👇
20241017_175457.jpg
 
Kwani ni mkoa gani ambao hawajengi barabara za mtaa?!
Mkoa gani ambao hawajengi hospitali na vituo vya afya?!
Mkoa gani ambao hawajengi shule?!
Mkoa gani ambao hawana miradi ya maji?!
Mkoa gani ambao hauna miradi ya umeme?!

Acha kumpa sifa bure Mwanza ni jiji lililotengwa na awamu ya sita
Hakuna miradi mipya tofauti na aliyoacha JPM, ukisema barabara hakuna mkoa usio mradi wa barabara!

La uwanja wa ndege lenyewe hata nisiseme ni aibu angekuwa JPM huo uwanja ungekuwa na hadhi nyingine kabisa!.
Hebu tupunguze sifa kwa vitu ambavyo kila mmoja anaona na kuchambua mwenyewe!.
Jamaa anaandika upuuzi wakati Barabara ya Airport mpaka Kayenze bado ni vumbi tu.Shida wanapewa script wanakuja kuimba humu wakati sisi wakazi wa Mwanza tunajua shida tunazopitia, Barabara za mitaa zote mbovu baada ya kuaribika na mvua za mwaka Jana na mpaka mwezi mei mwaka huu!
 
Back
Top Bottom