Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kaa kimya wewe mwehu,Mwanza ipi unayozungumzia,mimi naishi Ilemela miradi ya Barabara za mitaa chenga tu.
Muwe mnawaambia wawalete site muone kabla ya kuja kuimba upuuzi humu jamvini.
 
Jamaa anaandika upuuzi wakati Barabara ya Airport mpaka Kayenze bado ni vumbi tu.Shida wanapewa script wanakuja kuimba humu wakati sisi wakazi wa Mwanza tunajua shida tunazopitia, Barabara za mitaa zote mbovu baada ya kuaribika na mvua za mwaka Jana na mpaka mwezi mei mwaka huu!
Wewe ndio mpuuzi pengine mpumbavu,wapi nimesema Barabara imekamilika? Hiyo Barabara si inaendelea na ujenzi au? Ni madarasa hayo kwamba ujenzi umeanza mwaka Jana itakamilika Leo? Tumia akili.
 
Kaa kimya wewe mwehu,Mwanza ipi unayozungumzia,mimi naishi Ilemela miradi ya Barabara za mitaa chenga tu.
Muwe mnawaambia wawalete site muone kabla ya kuja kuimba upuuzi humu jamvini.
Wapumbavu kama wewe ndio Huwa nawataka Sasa.

Hapa ni Ilemela au sio Ilemela? Hii Barabara ya Buswelu-Nyamhongolo mk 9.5 ipo Singida au? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAbV8aet574/?igsh=MXBlZm13MHU3dHVsdA==

Pili laumu Shujaa wenu aliyeacha kujenga Barabara za Mitaa akaweka mabilioni kwenye kivuko huko Kigongo na sio Samia ambae anajitahidi kuwatoa kwenye mavumbi yenu huko 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7ne-2Ioafb/?igsh=MWNwYXg1Z3BjeWdz
 
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

a)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

b)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

c)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)MIRADI MIPYA
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.

3.Upanuzi wa Kampasi ya TIA Usagara-Mwanza ,Bilioni 8

4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza

5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6

6.Ujenzi wa Majengo Mapya ya Gorofa Chuo Cha Ufundi na Maendeleo Misungwi.

7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa

8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7

10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)

11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk

12.Ujenzi wa Vyumba vya madarasa na shule Mpya zikiwemo za gorofa eg Kisenga ,Igudija nk katika Wilaya zote.

13.Ujenzi wa Vituo vya Afya, Hospital za Wilaya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.

14.Mradi wa Maji Ukiriguru-Sumve Wilayani Misungwi Bilioni 32.

15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu
16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe

17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.

18.Ujenzi wa Chuo Cha Michezo Malya (Malya Sports Complex and Training Centre).Zaidi ya Bilioni 40.

19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Ngudu

20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge

21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi

22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Kahama

23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

View: https://youtu.be/Aq7AGgVXaxQ?si=fb9L7WED3YEdNVdb

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.
7.Ukamilishaji wa Chuo Cha Ufundi na Teknolojia DIT Mwanza Campus
8.Ukamiloshji wa Tawi la Chuo Cha Mipango Vijijini Mwanza Centre

View: https://youtu.be/n97F4rAuoPs?si=tmTMNkcjX_nX7z3r

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni
-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Airport Hadi JPM bridge (lot 1 km 25).
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4
View attachment 3127876

My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.

View: https://x.com/CharlieBihemo/status/1846480060984816083?t=OQdqPNWFk5jZ_tD8Yx_ZnA&s=19

Sio airport-usagara wew nae waga muongo muongo mda mwingine. Kinachotia ukakasi ni miradi kusuasua lakin kama ikienda kwa speed bas ni jambo jema
 
Haya yote ilibidi yawe yamefanyika miaka ya 2000 uko ... Mwanza ,mbeya etc ni moja ya mikoa ambayo serikali aijaweka nguvu kabsa kama unavyo jaribu kupotosha tofauti na dar ,dodoma .Arusha ninge iweke kwenye kundi la Mwanza pia ila at least yenyewe ina pewa support na EAC
 
Sio airport-usagara wew nae waga muongo muongo mda mwingine. Kinachotia ukakasi ni miradi kusuasua lakin kama ikienda kwa speed bas ni jambo jema
Screenshot_20241002-141505.png
 
Mbeya ilibeba hatma ya nyanda za juu kusini lakini ubishi umewatoa mchezoni serikali imebaki inaangalia kwenye maslahi kama Njombe , Ruvuma , Iringa , na mbeya kuendekeza siasa ndio imewafikisha hapo imebaki kidogo akina tulia wanapambana kivyao japo watu wa mbeya wabishi na hawana shukrani
Sio kweli ,unavyoona miradi imemwagwa Mwanza ndivyo Samia amefanya pia Mbeya.

Na mwakani panapo majaaliwa Kilele Cha Mwenge ni Mbeya utaona Rais atakavyozindua miradi maana wamepanga hivyo makusudi kabisa Kwa maslahi ya Kisiasa.
 
JPM alimwaga 700 Billions plus! Kigongo busisi,Leo mnapiga kelele na miradi ya madarasa,eti amemwaga pesa saa100?
Kamradi kamoja ambako Nako alishindwa kukamalizia ila anafanya Samia?

Kwanza ni matumizi mabaya ya Rasilimali,Mji umejaa mavumbi Kila sehemu na Watoto wanakaaa chini unakenua meno pesa kuwekwa kwenye kivuko.
 
Kanda ya kati dodoma na singida wao hawana maneno wametulia na uvivu wao kila mwaka labda waanze kuwasapoti viongozi wao kwa nguvu kubwa maana wanabahati ya kupata mawaziri karibu kila awamu lakini deliverance ndio
Uvivu gani?
 
Aisee hongera sana
Najiuliza kina nani hao wema wanaozichunga hela zote hizo?
Kila la kheri, na tunaomba ikamilike na majengo yasimame hata 50 years
 
chadema alilegea ngome imeshachukuliwa jumla na CCM walivo wajanja hawataki utani na Kura za kanda ya ziwa na ziwa magharibi na ndio sababu hua tunasema Tanzania upinzani hakuna
Katika mazingira kama hayo kuilaumu Chadema ni kutoitendea haki.
Rais ambaye pia ndiye mgombea wa CCM anamwaga miradi ili avute kura za wananchi, sasa Chadema nao wanaweza kuwekeza kwenye ujenzi wa madaraja na barabara?
 
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

a)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

b)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

c)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)MIRADI MIPYA
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.

3.Upanuzi wa Kampasi ya TIA Usagara-Mwanza ,Bilioni 8

4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza

5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6

6.Ujenzi wa Majengo Mapya ya Gorofa Chuo Cha Ufundi na Maendeleo Misungwi.

7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa

8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7

10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)

11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk

12.Ujenzi wa Vyumba vya madarasa na shule Mpya zikiwemo za gorofa eg Kisenga ,Igudija nk katika Wilaya zote.

13.Ujenzi wa Vituo vya Afya, Hospital za Wilaya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.

14.Mradi wa Maji Ukiriguru-Sumve Wilayani Misungwi Bilioni 32.

15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu

16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe

17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.

18.Ujenzi wa Chuo Cha Michezo Malya (Malya Sports Complex and Training Centre).Zaidi ya Bilioni 40.

19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Ngudu

20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge

21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi

22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Kahama

23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

View: https://youtu.be/Aq7AGgVXaxQ?si=fb9L7WED3YEdNVdb

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.
7.Ukamilishaji wa Chuo Cha Ufundi na Teknolojia DIT Mwanza Campus
8.Ukamiloshji wa Tawi la Chuo Cha Mipango Vijijini Mwanza Centre

View: https://youtu.be/n97F4rAuoPs?si=tmTMNkcjX_nX7z3r

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni

-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Mwanza CBD Hadi JPM bridge (lot 1 km 25),CBD-Usagara Jnct km 25.
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4
View attachment 3127876

My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.

View: https://x.com/CharlieBihemo/status/1846480060984816083?t=OQdqPNWFk5jZ_tD8Yx_ZnA&s=19


Wanalipa Kodi vizuri

Wanachangia pato la taia Kwa % kubwa

Wana Madini mengi na samaki wa kutosha

So walichokipata ni Haki Yao

Na Rais alichofanya ni jukumu lake kufanya

Ingekuwa ni story kama asingefanya anything
 
Ukweli ni kwamba wale watu wote wa jpm ambao Samia kawarudisha wamefanya siasa yake iwe nyepesi maeneo mengi ya Tanzania , alijaribu kua na watu wake lakini wengi wao alimuharibia kazi tu na kuvuruga bahati nzuri alishtuka mapema
Kama usemacho ni kweli basi angekubali tume huru ya uchaguzi, kinyume na hapo ni kama unapaka kinyago makeup.
 
Back
Top Bottom