Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila jamani CCM siipendi lakini huwa inafikia hatua ninawa appreciate Hawa jamaa kwa baadhi ya Mambo Sana wako smart hususani ile inaitwa kamati ya siasa,Kuna sehemu Fulani ,huko shinyanga maeneo ya kahama,kulikuwa na mgogori wa shule moja ya sekondari,walikuwa wanagombana madiwani ,namna ya kuimiliki na kuiendesha hiyo shule,ni mgogoro uliodumu kwa miaka takribani 20,Sasa siku moja asubuhi kamati ya siasa ya wilaya na mkoa waliamkia hapo, haijulikani aliyewaalika ninani,ilistukia kijani tu kimetapakaa hapo shuleni,yaani mgogoro uliodumu kwa miaka takribani 20 ulimalizwa kwa dakika 10 tu, ni amani Hadi Leo,huwezi kusikia fyoko Wala fyuu! Kwa hiyo,Hawa jamaa bwana huwa tunakaa nao 50/50 ,sijui walipewa karipio gani hao waliokuwa wanazozana,karipio Kali kiasi hicho
 
Nadhani Magu aliipendelea Kanda ya Ziwa!
Vinginevyo mama ameiendeleza kama jitihada za kujaribu kuwafanya Wasukuma wasahau Kifo cha Mpendwa wao Magu ambao mpaka leo hawaamini kama alikufa kifo cha Kawaida!
 
Nadhani Magu aliipendelea Kanda ya Ziwa!
Vinginevyo mama ameiendeleza kama jitihada za kujaribu kuwafanya Wasukuma wasahau Kifo cha Mpendwa wao Magu ambao mpaka leo hawaamini kama alikufa kifo cha Kawaida!
Hakuna miradi ya maana alijenga ya kusema ameipendelea unless unitajie hiyo miradi.

Magu alipendelea kwao Chato na sio huko Kanda ya Ziwa kama inavyosema wewe.

Mwisho Mama amemwaga miradi Mingi huko Mwanza sio Kwa sababu za Kisiasa Bali Kwa sababu ya wajibu wake.

Hiki alichofanya huko Mwanza Iko hivyo na Mikoa mingine unless wewe hujui.

Mama ndio ameweka alama kubwa ya Maendeleo.Kazi Bado inaendelea 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBto0QUiI7F/?igsh=MWw2bXNranJ3NTVkZg==
 
🚮🚮🚮🚮 Kwa hiyo Magufuli aliwaletea mbegu?

Mwisho usiweke ujumuishi sema wewe maana sio Kila anaeishi Mwanza ni mjinga kama wewe.
Hahaha ungekuwa na akili hata kidogo usinge andika ujinga ulio andika. Yani Mzanzibari atujengee miundo mbinu mwanza? ili iweje? Zanzibari wametosheka?
 
Hahaha ungekuwa na akili hata kidogo usinge andika ujinga ulio andika. Yani Mzanzibari atujengee miundo mbinu mwanza? ili iweje? Zanzibari wametosheka?
Wewe unaona anawajengea nini? Kinachojengwa miundombinu ni pesa au Uzanzibari ama usukuma wako?

Anachowajengea sio tuu miundombinu Bali na Huduma zingine zikiwemo Afya ,Elimu,maji nk.

Uwezo wako wa akili afadhari ya kuku 😁😁👇👇
20240626_202815.jpg
 
Hata yule mlipomjaza misifa asiyostahili ilibidi GOD amteke jumla!
Beware na huyu saa zake zinahesabika ataimbiwa ROAST IN HELL RIH
 
Hata yule mlipomjaza misifa asiyostahili ilibidi GOD amteke jumla!
Beware na huyu saa zake zinahesabika ataimbiwa ROAST IN HELL RIH
Jikite kwenye hoja ya miradi na useme sifa ipi hastahili hapo au amepewa sifa za Mungu?

Acha ujinga
 
Fala wewe,Kwa hiyo mwaka 2022 Shujaa wako ndio alikuwa Rais? Kama umeishiwa pita huko
Punga wewe 2020 huyo mama yako alikuwa Rais, kwa taarifa yako we punga ujenzi wa hilo soko hata Anjelina Mabula kajinadi nalo sana kwenye kampeni za 2020, na katika vitu ambavyo watu walikuwa wanamponda huyo mama yako ni pamoja na kusimama kwa ujenzi wa soko hilo baada ya JPM kufariki.
 
Punga wewe 2020 huyo mama yako alikuwa Rais, kwa taarifa yako we punga ujenzi wa hilo soko hata Anjelina Mabula kajinadi nalo sana kwenye kampeni za 2020, na katika vitu ambavyo watu walikuwa wanamponda huyo mama yako ni pamoja na kusimama kwa ujenzi wa soko hilo baada ya JPM kufariki.
We boya Bado hujasema yaani sijasikia.Mnajinadi Kwa mgongo wa Samia 🤣🤣

Ujenzi wa soko ni pesa sio maneno mliyokuwa mnadanganya wajinga wenzenu.

Na Bado ndio kwanza kumekucha Kwimba ,wapi Shujaa 😁😁

View: https://www.instagram.com/reel/DBtHLBct9HI/?igsh=MWs0cWpoMmxvNHJxbg==
wizara_sanaatz_1730203207336.jpg
wizara_sanaatz_1730203206517.jpg
 
Soma mada utaona nimetenganisha miradi ya watangulizi.

The fact on ground ni kwamba mama ndio amefanya na anafanya Mingi zaidi.

Malya Sports Complex and Academy 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBrYjGZt3cD/?igsh=MWlwdGpmcGNhNnBqcg==

View: https://www.instagram.com/reel/DBtPU1Zi4NB/?igsh=MXN0cmhlMzR2OGRuMA==
View attachment 3138235View attachment 3138236

Mradi wa Malya Sport Complex mbona ushakamilka muda tu na training ground inatumika sana. Fanya research vizuri usikurupuke tu.
Kuna Vitu vingi umeorodhesha kama vipya wakati vilishapangiwa budget na mzee Magu kabla hajafariki na mingine ilikuwa ishaanza mfano barabara ya Hungumalwa- Ngudu.
 
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

a)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

b)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

c)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)MIRADI MIPYA
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.

3.Ujenzi wa Kampasi ya TIA Usagara-Mwanza ,Bilioni 8

4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza

5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6

6.Ujenzi wa Majengo Mapya ya Gorofa Chuo Cha Ufundi na Maendeleo Misungwi.

7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa

8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7

10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)

11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk

12.Ujenzi wa shule Mpya za msingi na sekondari zikiwemo za gorofa eg Mwanza girls High School(Magu) only for science .

13.Ujenzi wa Hospital za Wilaya eg Sengerema ,Ujenzi wa Vituo vya Afya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.

14.Mradi wa Maji Ukiriguru-Sumve Wilayani Misungwi Bilioni 32.

15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu km 71

16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe

17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.

18.Ujenzi wa Chuo Cha Michezo Malya (Malya Sports Complex and Training Centre).Zaidi ya Bilioni 40.

19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Jojiro-Ngudu

20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge

21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi

22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Solwa-Kahama km 150.

23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

24.Ujenzi wa Barabara ya Ilalila-Shibula

25.Ujenzi wa Barabara ya Sengerema -Nyehunge km 54.4 (Bilioni 73).

26.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Simiyu lenye mita 150 pamoja na Barabara Unganishi.

27.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara Unganishi km 4.

28.Ujenzi wa Kituo Cha Kanda Cha Uokoaji Ziwa Viktoria

29.Majengo ya Utawala ya Halmashauri eg Kwimba,Magu, Sengerema DC nk.

30.Ujenzi wa Uwanja Mpya wa Michezo "Tabasam" Sengerema pamoja na Kukarabati wa viwanja vya CCM kirumba na Nyamagana.

media="media="instagram:C89677rNdfd"]
View: https://www.instagram.com/p/C89677rNdfd/?igsh=ZTdkNml4YTQwa2V0[/URL]

View: https://youtu.be/Aq7AGgVXaxQ?si=fb9L7WED3YEdNVdb

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za
Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.
7.Ukamilishaji wa Chuo Cha Ufundi na Teknolojia DIT Mwanza Campus
8.Ukamiloshji wa Tawi la Chuo Cha Mipango Vijijini Mwanza Centre

View: https://youtu.be/n97F4rAuoPs?si=tmTMNkcjX_nX7z3r

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni

-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Mwanza CBD Hadi JPM bridge (lot 1 km 25),CBD-Usagara Jnct km 25.
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4
-Upanuzi wa Barabara kuwa njia 4 kutoka Usagara-Shinyanga Border
-Kamanga-Katunguru-Sengerema km 3.
-Upanuzi kuwa njia 4 wa Barabara ya Mwanza-Nyanguge km 35.
-Mwanza Airport-Igombe-Kayenze-Nyanguge km 46
-Mkuyuni-Mahina-Nyakato km 10
-Nyakato(VETA)-Buswelu-Mhonze km 18.
View attachment 3127876

My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.CC Nyanduzy , @feke b kidume
[URL unfurl="true" media=

View attachment 3128482View attachment 3128483View attachment 3128484View attachment 3128485View attachment 3128486

Tumejipangaaa, mwaka huu waisoma....

Napendekeza Mkoa wa Mwanza umzawadie Samia kiwanja, awe msukuma kabisa, tena cha ziwani huko
 
Back
Top Bottom