Kwa Ihefu FC hii iliyo 'Ndembe Ndembe' huenda Leo Mayele aliye kwenye 'Fomu' yake akaondoka na Mipira Mitatu

Kwa Ihefu FC hii iliyo 'Ndembe Ndembe' huenda Leo Mayele aliye kwenye 'Fomu' yake akaondoka na Mipira Mitatu

Ihefu sio wepesi hivyo wanashida ya kufunga ila beki wanayo japo Yanga itashida
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kutokubali ubora wa mpinzani wako ni Aina Fulani ya ugonjwa. Genta atabaki kuwa miongoni mwa mashabiki Bora hata kama baadhi yenu mnamtukana.
Anavyoandika nyuzi za Yanga kutumia uchawi na pia kuwa honga wachezaji na makocha na marefa ili washinde mechi mbona haumpongezagi? Huyo ni shabiki mnafiki hajawahi kuwa na msimamo. Kuna nyuzi nyingi tu humu zikiituhumu Yanga kwa kuhonga. Sasa tuamini kipi je Yanga ni bora? Au Yanga inatumia bahasha?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Haitokuwa hivyo Genta takwimu zinakataa. Ihefu pamoja na kuwa mwisho mwa msimamo ea Ligi ni miongoni mwa timu zilizofungwa magoli machache sana. Hadi sasa amefungwa goli 16 tofauti na hata timu zilizoko juu kwenye msimamo wa ligi kama Mtibwa au Prison ambazo zimepigwa goli 23/18 mtawalia.
So IHEFU ina Backline nzuri na huenda pia mwalimu wao ana mbinu nzuri za kujilinda.
Lkn kwakuwa moyo wa Timu umeshikiliwa na Pro-Yanga ndugu yao PAPY SHISHIMBI KABAMBA na Mwambusi lolote linaweza tokea kama yale ya Singida Big Star chini ya Pluijm

Shida inakuja kocha mwambusi,[emoji23]
 
Anavyoandika nyuzi za Yanga kutumia uchawi na pia kuwa honga wachezaji na makocha na marefa ili washinde mechi mbona haumpongezagi? Huyo ni shabiki mnafiki hajawahi kuwa na msimamo. Kuna nyuzi nyingi tu humu zikiituhumu Yanga kwa kuhonga. Sasa tuamini kipi je Yanga ni bora? Au Yanga inatumia bahasha?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Amini tu kuwa Wewe ni damn Fool Ok?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38] lamli imegoma kama kawaida!
 
Muheshimiwa Genta nakuheshimu sana kama member wa muda mrefu humu na ambae michango yako imeitoa forum kutoka hatua moja kwenda nyingine bora, ila pia nakuheshimu kama jasusi mbobezi ambae mchango wako wa kijasusi umeiepusha nchi na majanga mbalimbali ambayo yangetusumbua kama taifa. Ila naomba mambo ya Yanga uyaache na usiiongelee tena hii timu. Shughulika na makolo wenzio. Yanga ina kamati yake ya ufundi inayojitosheleza hatuhitaji ramli zako tena. Ole wako nione tena unaitabiria chochote Yanga, nakuonya..
 
Back
Top Bottom