Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Watamtangaza TUNDU ANTIPAS LISSU baada ya kushindwa kufanya fitna kutokana na pressure ya nguvu ya ummaNEC CCM itamtangaza nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watamtangaza TUNDU ANTIPAS LISSU baada ya kushindwa kufanya fitna kutokana na pressure ya nguvu ya ummaNEC CCM itamtangaza nani?
Nani atamtangaza?kumiliki nec sio kumliki akili za watu.
Rejea serikali za mitaaWatamtangaza TUNDU ANTIPAS LISSU baada ya kushindwa kufanya fitna kutokana na pressure ya nguvu ya umma
Nani kakwambia CCM wataongoza kwa kura mwaka huu. Watanzania wa sasa wanajielewa sana. Wanajua wanataka nini. Sio pambio za kusifu na kuabudu. Wameshagundua chanzo cha stagnation yao ni sera mbovu za CCM za kutaka serikali iwe kwenye kila kitu.Ccm 3m chadema 2m, membe 2m. Hapo in kama chadema ikipata 4m. Ccm wana akili ya kubaki madarakani.
Tume hii hii! Kwani Malawi Raisi wao mpya alitangazwa na nani????Nani atamtangaza?
Mkuu sera nzuri, lkn zinahitaji ufafanuzi wa ziada ni namna gani zitatekelezwa, zipo too general, sera zinatakiwa ziwe specific, otherwise huwezi ukafanikisha chochote zaidi utashika hichi, utaacha hichi utaenda kile, miaka 5 itaisha hujafanya chochote,Amani iwe nanyi wadau!
Mods naomba msiunganishe huu uzi!
Ni dhahili kuwa mwaka huu 2020, Hatimaye Tanzania kwa mara ya kwanza tumepata Chama ambacho kina Sera sahihi za kutupeleka kwenda kwenye nchi tunayoitaka. Yaani” Tanzania Dream”...
Hakuna upuuzi mwaka huu. Tumeshasema enough is enough sasa jaribuni muoneRejea serikali za mitaa
Malawi wanaruhusiwa kwenda mahakamani, wewe una ruhusiwa?Tume hii hii! Kwani Malawi Raisi wao mpya alitangazwa na nani????
subiria utamjuaNani atamtangaza?
Id zenyewe tumefichaHakuna upuuzi mwaka huu. Tumeshasema enough is enough sasa jaribuni muone
Nani kakwambia CCM wataongoza kwa kura mwaka huu. Watanzania wa sasa wanajielewa sana. Wanajua wanataka nini. Sio pambio za kusifu na kuabudu. Wameshagundua chanzo cha stagnation yao ni sera mbovu za CCM za kutaka serikali iwe kwenye kila kitu.
Sasa Sera mbadala na sahihi zimepatikana CCM wanaenda kupigwa vibaya mwaka huu
Labda amepakwa na shetani, siyo bwana ninayemjuaHaitawasaidia, ACT ina impact Zanzibar sio Tanzania bara. Membe na CCM ndo wanapoteza,!Membe atapunguza kura za Magufuli na sio Tundu Antipas Lissu mpakwa mafuta wa Bwana!!
Mkuu hamna hoja mpya hapo ni zilezile za Copy and paste.
sahau hilo.hayo ya serikali za mitaa mbona yameshindwa waokoa waunga juhudi,tz ya leo sio ya janaRejea serikali za mitaa
Mwamba Lissu tuvushe baba tuvushe.
Sera za Act zipo specific kwa sababu nao Sera zao ni za kijamaa. Ukiwa na Sera za kijana lazima uelezee vizuri utapata wapi pesaMkuu sera nzuri, lkn zinahitaji ufafanuzi wa ziada ni namna gani zitatekelezwa, zipo too general, sera zinatakiwa ziwe specific, otherwise huwezi ukafanikisha chochote zaidi utashika hichi, utaacha hichi utaenda kile, miaka 5 itaisha hujafanya chochote, angalia ACT wazalendo sera zao zipo very specific, wanataja sera na namna ya kuikamilisha, labda sijui ushiriki wa sekta binafsi unaotakiwa na CDM ni wa namna gani wakati tangu enzi za Mzee wa ruksa sekta binafsi walipewa nafsi lkn maendeleo hayakuwepo, au tuje kwa CCM ya viwanda a. k. a CMM ya Magufuli angalia sera zao, Magufuli anaamini bila umeme wa uhakika na miundombinu thabiti huwezi kuwa na viwanda ndio maana kajikita huko. Ni vizuri pia Chadema muwe specific kwenye sera zenu
Pamoja sanaWatamtangaza TUNDU ANTIPAS LISSU baada ya kushindwa kufanya fitna kutokana na pressure ya nguvu ya umma
aliyemshindia mautiLabda amepakwa na shetani, siyo bwana ninayemjua