Uchaguzi 2020 Kwa Ilani hii ya CHADEMA, CCM jiandaeni kuwa wapinzani baada ya kuanzia Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Kwa Ilani hii ya CHADEMA, CCM jiandaeni kuwa wapinzani baada ya kuanzia Oktoba 2020

Nani kakwambia CCM wataongoza kwa kura mwaka huu. Watanzania wa sasa wanajielewa sana. Wanajua wanataka nini. Sio pambio za kusifu na kuabudu. Wameshagundua chanzo cha stagnation yao ni sera mbovu za CCM za kutaka serikali iwe kwenye kila kitu.

Sasa Sera mbadala na sahihi zimepatikana CCM wanaenda kupigwa vibaya mwaka huu
Kura ni kigezo cha kisiasa kupewa nchi. Kuna mambo mengi sana nyuma ya pazia. Huo niliokupa ni mfano wa matokeo baada ya vigezo vya nyuma ya pazia kuzingatiwa, though anything can happen.
 
Kura ni kigezo cha kisiasa kupewa nchi. Kuna mambo mengi sana nyuma ya pazia.
Hayo mambo ya nyuma ya paria mwaka huu yanaenda kubatilishwa na nguvu ya umma. Nafikiri ulimsikia mzee Butiku juzi kwenye mkutano wa NCCR?
 
Mimi nimesema mwaka huu liwe jiwe iwe mvua Lissu anaenda Ikulu na namshauri asilipize visasi kwa watesi wake.
Hatalipa kisasi....NO HATE...Ila sheria itachukua mkondo wake

Jr[emoji769]
 
Hayo mambo ya nyuma ya paria mwaka huu yanaenda kubatilishwa na nguvu ya umma. Nafikiri ulimsikia mzee Butiku juzi kwenye mkutano wa NCCR?
Kuna vipimo vinavyoonyesha hali ya hiyo hatari ya nguvu ya uma. So far si hatarishi kama unavyodhani japo inawezekana upepo ukabadilika, na hilo linatafutiwa ufumbuzi maana wenye mamlaka pia wanategemea uwezekano wa hilo kutokea.

Hivi kwa akili ya kawaida kabisa unaamini itakuwa kirahisi tu kukabidhi nchi kwa Lissu? Yaani majeshi, mipaka, mabomu, rasilimali za nchi n.k vyote ccm wampe lissu kwa sababu kashinda kura? Tuweke mapenzi ya chama pembeni, jibu kama binadamu mwenye utashi.
 
Labda ikulu ndogo ya singida
Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu tumpe Nchi ipige spana . Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea wewe unakua Rais utaweza kutuongoza bila shida .
 
subiria utamjua
yahaya jameih alimiliki kila kitu kuanzia tume na kura zenyewe lakini tume hio hio ikamtangaza Barrow mshindi.Anga likishakukataa limekukataa
copyright lazima aache kimba na ulozi ikulu
 
Umewahi kufika hospitali au kituo chochote cha afya cha serikali ukiwa na mtoto chini ya umri wa miaka Mitano,Mzee,mjamzito na mlemavu?
Nilikuwepo juzi, ni kweli Kuna changamoto lakini si kwamba zimeibuka kipindi Cha JPM, hata hivyo yeye anasisitiza watanzania kujifunza kujitegemea ndio maana kodi zetu zimechangia pakubwa kutekeleza baadhi ya miundombinu
 
Nilikuwepo juzi, ni kweli Kuna changamoto lakini si kwamba zimeibuka kipindi Cha JPM, hata hivyo yeye anasisitiza watanzania kujifunza kujitegemea ndio maana kodi zetu zimechangia pakubwa kutekeleza baadhi ya miundombinu
Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu tumpe Nchi ipige spana . Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea wewe unakua Rais utaweza kutuongoza bila shida .
 
Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu tumpe Nchi ipige spana . Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea wewe unakua Rais utaweza kutuongoza bila shida .
kENYA,MALAWI,ZAMBIA NK WAMEWEZA NA MAMBO YANASONGA WHY SISI
 
Huyo tingatinga wenu kafanya nini zaidi ya kudiscourage sekta binafsi??? Kuwa frustratie sekta binafsi hadi wanakimbia???

Hukuona alivyowafukuza wafanyabiashara wa korosho na kuwanyang’anya korosho kupitia jeshi??!
Sivyo WB wanavoongelea uchumi wa Tanzania so propaganda zako peleka vijiweni
 
Kuna vipimo vinavyoonyesha hali ya hiyo hatari ya nguvu ya uma. So far si hatarishi kama unavyodhani japo inawezekana upepo ukabadilika, na hilo linatafutiwa ufumbuzi maana wenye mamlaka pia wanategemea uwezekano wa hilo kutokea.

Hivi kwa akili ya kawaida kabisa unaamini itakuwa kirahisi tu kukabidhi nchi kwa Lissu? Yaani majeshi, mipaka, mabomu, rasilimali za nchi n.k vyote ccm wampe lissu kwa sababu kashinda kura? Tuweke mapenzi ya chama pembeni, jibu kama binadamu mwenye utashi.
Kama imeweza kukabidhiwa kwa Magufuli aliyejitangaza hadharani kichaa Kwa nini isikabidhiwe kwa Lissu tunaemjua Smart, Wise na ana Exposure kubwa???
 
Mkuu sera nzuri, lkn zinahitaji ufafanuzi wa ziada ni namna gani zitatekelezwa, zipo too general, sera zinatakiwa ziwe specific, otherwise huwezi ukafanikisha chochote zaidi utashika hichi, utaacha hichi utaenda kile, miaka 5 itaisha hujafanya chochote, angalia ACT wazalendo sera zao zipo very specific, wanataja sera na namna ya kuikamilisha, labda sijui ushiriki wa sekta binafsi unaotakiwa na CDM ni wa namna gani wakati tangu enzi za Mzee wa ruksa sekta binafsi walipewa nafsi lkn maendeleo hayakuwepo, au tuje kwa CCM ya viwanda a. k. a CMM ya Magufuli angalia sera zao, Magufuli anaamini bila umeme wa uhakika na miundombinu thabiti huwezi kuwa na viwanda ndio maana kajikita huko. Ni vizuri pia Chadema muwe specific kwenye sera zenu
Ukitaka kuona kwamba hawa washabiki wa chadema wako frustrated angalia hizo sera na michango ya mihemko ya hawa washabiki wa chadema. Hivi kweli unaweza kwenda kwa mwananchi wa katarero kwa visera hivi ambavyo hata ccm wanazo za namna hiyo kweli utegemee utambadilisha huyu mwananchi ya katerero apigie kura chedema. Dr. Slaa mwaka 2010 alikuwa na sera ya kuondoa nyumba za tembe na alikuwa anafafanua ni kwa namna gani watoa ondoa hizo nyumba za tembe mathalani kuondoa au kupunguza kodi kwenye vifaa muhimu vya ujenzi na pengine ikiwezekana serikali kutoa ruzuku kwa sekta ya ujenzi. Sasa hii chadema ya leo iliyopooza inakuja na visera vilivyopooza na ambazo rival wao (ccm) wanazo miaka na miaka japo utekelezaji unaweza kuwa haujafanyika kwa kiwango cha juu!
 
Back
Top Bottom