Elpaul
JF-Expert Member
- Jan 19, 2018
- 922
- 692
Kuongoza nchi hasa zinazoendelea si suala dogo mkuu, Magufuli amesimama imara kipindi Cha miaka 5. Tujitahidi kumuaminiTusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu tumpe Nchi ipige spana . Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea wewe unakua Rais utaweza kutuongoza bila shida .