Uchaguzi 2020 Kwa Ilani hii ya CHADEMA, CCM jiandaeni kuwa wapinzani baada ya kuanzia Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Kwa Ilani hii ya CHADEMA, CCM jiandaeni kuwa wapinzani baada ya kuanzia Oktoba 2020

Kwanza u naelewa nini unaposikia kwa kushirikiana na sekta binafsi

Moja chadema itahakikisha kuna certainty na predictability kwenye sera za uwekezaji na hili wataliweka kimfumo na kisheria ili mwekezaji akija asiwe na hofu ya kesho sera zitabadilika au atakuja kiongozi wa serikali na kumtolea matamko yasiyo na kichwa wala miguu

Pili Chadema itatangaza Rasmi kukaribisha uwekezaji kwenye sekta zote hizo. Uwekezaji unaompa amani mwekezaji na kumuondoa hofu ya kusumbuliwa na mamlaka. Sekta zote zitakuwa huru kwa mwekezaji kuja na kuwekezana aliweka mtaji wake atawasilisha business plan yake inayomwekea namna ya kupata faida na kulipa kodi stahiki. Namna atavyotoa Akira kwa wazawa na serikali utasema commitment ya kumlinda na kuulinda huo uwekezaji wake.

Tatu mfumo wote wa uwekezaji utabadirishwa. Kusajili na kupata vibali vyote na leseni kwa mwekezaji hakutazidi kipindi cha wiki tatu.

Pia suala la kodi litawekwa wazi Kwa kumuondolea bughuza zote na kuhakikisha analipa kodi zote kwa kipindi sahihi. Hakutakuwa na kuwafungia wawekezaji
Kabla ya huu utangulizi niambie sera ya chadema kuhusiana na kupambana na kuzuia rushwa. Maana haya yote unayosema na mengine yatafanikiwa endapo mfumo wa kupambana na rushwa na ufisadi utakuwa imara vinginevyo hata uje na sera nzuri vipi usipombana na rushwa na ufisadi ni kazi bure! Ndio maana nchi nyingi duniani zilizoendelea hawa-entertain rushwa maana wanajua madhara yake kwa uchumi wa nchi zao na huduma kwa jamii.
 
Kuna vipimo vinavyoonyesha hali ya hiyo hatari ya nguvu ya uma. So far si hatarishi kama unavyodhani japo inawezekana upepo ukabadilika, na hilo linatafutiwa ufumbuzi maana wenye mamlaka pia wanategemea uwezekano wa hilo kutokea.

Hivi kwa akili ya kawaida kabisa unaamini itakuwa kirahisi tu kukabidhi nchi kwa Lissu? Yaani majeshi, mipaka, mabomu, rasilimali za nchi n.k vyote ccm wampe lissu kwa sababu kashinda kura? Tuweke mapenzi ya chama pembeni, jibu kama binadamu mwenye utashi.
Mkuu hawa mataahira yasikusumbue akili yanashinda jamii forums wakiaminishana ujinga na upumbavu, yameshaweka akili pembeni yanaendeshwa na mihemuko. Ukiingia JF kama upeo wako upo chini waweza kufikiri Lissu kashatangazwa kuwa Raisi wa nchi hii. Baada ya October 28 watakuja na story ya tume sio huru na blah blah kibao. Nakuhakikishia wala hakuna atakayethubutu kuingia barabarani ni mikwara tu. Na wakipata wabunge 10 washukuru Mungu.
 
Amani iwe nanyi wadau!

Ni dhahili kuwa mwaka huu 2020, Hatimaye Tanzania kwa mara ya kwanza tumepata Chama ambacho kina Sera sahihi za kutupeleka kwenda kwenye nchi tunayoitaka. Yaani” Tanzania Dream”

Ni dhahili pia kuwa baada ya sera za kijamaa za CCM zilizotufanya kuwa mafukara kwa karibu miaka 59 tangu uhuru sasa zimepata Sera mbadala za kutukomboa kweli na kuleta ustawi sahihi kwenye nchi yetu. Sera hizi ni za uchumi huru wa kuruhusu sekta binafsi kuendesha uchumi wa nchi

Ni dhahili pia kuwa baada ya miaka 59 ya kutawaliwa huku tukilishwa ujinga na upumbavu na CCM sasa nchi yetu inaenda kuwekewa mfumo sahihi wa maendeleo utakaofanya kila sehemu kuwa na maendeleo no matter kiongozi wa iyo sehemu anatoka Chama gani

Kusema kweli nimeshawishiwa na hizi Sera za Chadema, Nimeshawishiwa na Mgombea wa Chadema Tundu Antipas Lissu.

Dawa ya umasikini na ujinga wa watanzania sasa imepatikana rasmi.

Hongereni sana Chadema.

SASA NI RASMI, Tumepata “TANZANIA DREAM”

View attachment 1531816View attachment 1531817View attachment 1531818View attachment 1531819View attachment 1531820View attachment 1531821
Mbona hakuna jipya hapo.

Ni nini kimekuhadaa wewe?
 
Kabla ya huu utangulizi niambie sera ya chadema kuhusiana na kupambana na kuzuia rushwa. Maana haya yote unayosema na mengine yatafanikiwa endapo mfumo wa kupambana na rushwa na ufisadi utakuwa imara vinginevyo hata uje na sera nzuri vipi usipombana na rushwa na ufisadi ni kazi bure!
Ni kuwa, sheria itafuatwa kwenye suala la Rushwa. Hakutakuwa na doubled standard kwenye Rushwa. Vyombo vinavyoshughulikia Rushwa vitawekwa huru from political influence kama ilivyo sasa. Hawatapokea maagizo kutoka iwe kwa Raisi au mtu yeyote nchini.

Sheria ya PCCB itarekebishwa kuwafanya kuwa Chumbo huru. Mkurugenzi wake atateuliwa na Raisi na kuidhinishwa na Bunge na Raisi hatoweza kumfukuza kazi mpaka ridhaa ya bunge!
 
Mkuu hawa mataahira yasikusumbue akili yanashinda jamii forums wakiaminishana ujinga na upumbavu, yameshaweka akili pembeni yanaendeshwa na mihemuko. Ukiingia JF kama upeo wako upo chini waweza kufikiri Lissu kashatangazwa kuwa Raisi wa nchi hii. Baada ya October 28 watakuja na story ya tume sio huru na blah blah kibao. Nakuhakikishia wala hakuna atakayethubutu kuingia barabarani ni mikwara tu. Na wakipata wabunge 10 washukuru Mungu.
Mwaka huu October 2020 , CCM ndo mtakuja na Sera za kuibiwa kura. Wakati utasema ndugu
 
Kwanza u naelewa nini unaposikia kwa kushirikiana na sekta binafsi

Moja chadema itahakikisha kuna certainty na predictability kwenye sera za uwekezaji na hili wataliweka kimfumo na kisheria ili mwekezaji akija asiwe na hofu ya kesho sera zitabadilika au atakuja kiongozi wa serikali na kumtolea matamko yasiyo na kichwa wala miguu

Pili Chadema itatangaza Rasmi kukaribisha uwekezaji kwenye sekta zote hizo. Uwekezaji unaompa amani mwekezaji na kumuondoa hofu ya kusumbuliwa na mamlaka. Sekta zote zitakuwa huru kwa mwekezaji kuja na kuwekezana aliweka mtaji wake atawasilisha business plan yake inayomwekea namna ya kupata faida na kulipa kodi stahiki. Namna atavyotoa Ajira kwa wazawa na serikali utasema commitment ya kumlinda na kuulinda huo uwekezaji wake.

Tatu mfumo wote wa uwekezaji utabadirishwa. Kusajili na kupata vibali vyote na leseni kwa mwekezaji hakutazidi kipindi cha wiki tatu.

Pia suala la kodi litawekwa wazi Kwa kumuondolea bughuza zote na kuhakikisha analipa kodi zote kwa kipindi sahihi. Hakutakuwa na kuwafungia wawekezaji
Unamlisha matango pori lissu au we we ndiye lissu!?
 
Una upeo gani wewe.

Unaofikiria upande mmoja. Na shule hio ya chadema
Huwezi kujifananisha na mimi vyovyote kiupeo ndugu. Uthibitisho wake ni wewe ku support CCM. Hakuna Mwenye akili iliyo sawa anaei support CCM.
 
Huwezi kukutana is hana mimi vyovyote kiupeo ndugu. Uthibitisho wake ni wewe ku support CCM. Hakuna Mwenye akili iliyo sawa anaei support CCM.
Sawa, kama kuwa unasupport upinzani ndio akili.
Hapo sina neno, na umenizidi sana tu.
 
Nadhabi ndio sababu Chadema hawakutaka ushirikiano na ACT. Kuna ka harufu ka CCM kugawa kura za wapinzani

Mimi naona CCM watagawana kura na ACT. Unajuwa ACT base yao ni Zanzibar ambapo wana kura kama laki 3 tu, ukijumlisha na za original ACT kura 400,000. Ujio wa Membe utaleta kura Mil 2 za ziada kati ya hizo Mil 1.2 kutoka CCM na laki 8 wafuasi wapya. Kwa ujumla ACT wana mtaji wa kura Mil2.7

Kura za Chadema 2015 zilikuwa Mil6 roughly, Lowasa ataondoka na kura Mil1.5 lakini Lissu atakujja na kura Mil5 za ziada kutoka kwa wanafunzi, graduates, wastaafu, wafanya biashara na civil servants. Kura za CDM kwa ujumla zitakuwa Mil9.5.

CCM wata gain about kura Mil2 lakini watapoteza kura Mil 4. Kwa ujumla CCM wtapata kura Mil 6.5.

Wapiga kura wote watakuwa kama Mil 20 hivi.

Utaona kuwa CCM ndio watakaogawana kura na ACT. Sioni mfuasi wa CDM kumpigia kura ACT au CCM lakini wa CCM atampigia ACT kumfata Membe na CDM pia atachukuwa kura za CCM. Kura za ACT zitabaki kama ACT na chache zitaenda kwa CDM na mainly kutokea Zanzibar kwa utetezi wa Lissu kwa masheikh na structure ya Muungano.
 
Mwaka huu October 2020 , CCM ndo mtakuja na Sera za kuibiwa kura. Wakati utasema ndugu
Mkuu mtu akifatilia post zako JF either anakuona umechanganyikiwa au una shida kubwa kisaikolojia unahitaji matibabu. Kuna wakati nahisi wewe ni Lissu mwenyewe. Nimesema hivyo kwasababu hauweki possibility tofauti kwenye matokeo.

Ukimuuliza mshabiki wa soka mfano Simba Vs Yanga ukamuuliza mshabiki wa Simba vipi mechi itakuwaje?, Mshabiki mwenye akili na upeo atakwambia tumejiandaa vizuri kushinda mechi,tuna wachezaji wazuri kuchukua point 3 Ila mpira unadunda dk 90.

Ukimuuliza mwenye akili ndogo na fupi Kama zako, atakwambia tayari tumeshashinda Yanga wakabidhi kombe tu. Unaongelea Lissu kukabidhiwa Ikulu as if ni kukabidhiwa uraisi wa UDSM au TLS, achana na uraisi wa Jamhuri ya muungano.

Mkuu nisikufiche watu hawakwambii ukweli Ila wanakuona Kama mwendawazimu hivi. Nina uhakika hata CHADEMA wenzako baadhi wanakuona Kama mtu aliyechanganyikiwa. Confidence zikizidi ukaacha kuongea uhalisia unaonekana CHIZI au ZEZETA.
 
Amani iwe nanyi wadau!

Ni dhahili kuwa mwaka huu 2020, Hatimaye Tanzania kwa mara ya kwanza tumepata Chama ambacho kina Sera sahihi za kutupeleka kwenda kwenye nchi tunayoitaka. Yaani” Tanzania Dream”...
chadema chama cha kisasa sana tafadhali chadema mfumo mliokuja nao wa kunadi sera zenu ni mbinu ya kisasa kabisa fanya macchapisho ya kutosha kama vipeperushi na tatoa pongezi kuanzia mwenyekiti wenu na kambi nzima kwa ubunifu kama huu
 
Back
Top Bottom