Kwa ivo sasa tunaweza kuanza kulinganisha nani kafika mara nyingi robo fainali?

Kwa ivo sasa tunaweza kuanza kulinganisha nani kafika mara nyingi robo fainali?

Waliokuwa wanadharau kufika robo fainali wamefika robo fainali kwa bahati na wametolewa KIUTU UZIMA wanabaki kulalamika.

Sasa ni wakati wa kulinganisha ni timu gani imefika mara nyingi robo fainali za mashindano yote ya CAF.

Asitokee mtu akasema kufika robo fainali ni hatua ndogo.
Comments reserved
 
Back
Top Bottom