JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
Kwanza umemuita Rais na tambua Urais haukomi mpaka Hapo atakapoaapishwa Rais Mwingine na Ili kuweka kumbukumbu sawa Rais huyo mwingine Ni Dkt John Joseph Pombe Magufuli, Yaani kwa akili zako mgando na kwa kuwa ulikuwa na vyeti feki basi unataka wakati wa kampeni miezi miwili nchi ilale kisifanyike chochote.....hata USA wakati wa Kampeni kazi zinaendelea.....Pia Tambua kiuhalisia kupambana na Wenye vyeti feki Ni suala jema Sana ulitakiwa kumshukuru Rais wetu mpendwa Kuwa kafanya Kitu kizuri.