Kwa jicho la 3 ndoa za Kikristo ni mzigo kwa waume

Kwa jicho la 3 ndoa za Kikristo ni mzigo kwa waume

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Ule msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.

Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.

Ukiwa mume mkeo ushamuona mzigo tayari, utafanya nini uachanane nane ikiwa hajafanya uzinzi na ukapa ushahidi? Kumbuka huwezi kubadilisha kama nguo, au mboga.

Kama uliangalia uzuri wa nje bila tabia na ujuzi hujafeli hapo?
 
...Ndoa Ni agizo toka kwa Mungu mwenyewe hakuna aliyetunga iwe hivyo. Alivyosema usizini alikuwa na maana kubwa Sana haya ambayo Leo yanaonekana migogoro kwenye ndoa Ni kwasababu ndoa nyingi kilema.

Kimwili Ni wanandoa, lakini kiroho kila mtu Ana mtu ambaye ulimwengu wa kiroho una mfahamu Kama mume wake/mkewe. Na ndomana tulisisitiziwa Sana kuoa wanawake vigori na bikira . Lakini kichwa ngumu unakaidi na kuchukua aliyezalishwa kabisa.
 
Watele Kataa Ndoa Kutoka Buzebazeba Kigoma Na Wimbo Wao Linex Sunday Mjeda
 
kukimbia majuku tuh amna lolote

mwanaume unazidiwa vipi marifa,mbinu na mwanamke

unafahamu kitu kinaitwa ujanja porini (UP)
 
Hujakutana na vichwa vigumu ww.
Vichwa ngumu umelazimishwa kuoa kichwa ngumu!?

Tatizo mnakurupuka. Kuoa sio kama kuagiza mihogo na chai kwa mama lishe. Unapotaka kuoa ni lazima ukae utulie umtafiti huyo unayetaka kumuoa, upime mdhaifu yake na yako ikiwa yatabebana.

Sasa unaenda bar unaokota bar maid unaenda kumtomba, kwakuwa kakupagawisha kwa kukunyonya pumbou ,Tyr unajidanganya huyu ndio mke! 😆😆😆😆😆.

Hakikisha unazijua hulka na tabia za yule aliyemkuza huyo msichana wako kabla hujamtangazia ndoa. Hii mbinu inawasaidia wengi sana wa vijana wanaotuliza akili sawasawa kabla ya kujiingiza kwenye manungayembe kulumbembe yaliyoshindikana, matokeo yake wanakuja kujuta baadaye.
 
Mbona umeenda mbali mpk jicho la tatu..?
kwa kutumia jicho la kwanza tu unaona ndoa ni ubatili, we mtu azini huko umfumanie na hutakiwi kumuacha we uliona wapi..?
halafu hutakiwi kufanya kabla ya ndoa vipi ukikuta mmoja wapo hazai au sehemu zake ni kubwa ama ndogo we huwezi kuzimudu!, mtaishije hapo..? ndio maana watu yanawashinda wanaachana!.
 
Vijana mna safari ndefu na ngumu kuzidi. Hivi kwa mwanaume rijali ,timamu, shababi ukishindwa kumudu kuishi na mke utaweza nini zaidi ya ulalamishi?

Timiza majukumu yako

Vizazi vimebadilika mkuu, tatizo naona wazee wetu wanasisitiza vijana tuishi katika misingi mizuri lakini kwa bahati mbaya uhalisia wa uchumi karne hii ya 21 muongo wa pili (2) unapambana vita na misingi hiyo

Pesa ya kitanzania mnamo miaka ya 1990 mpaka 2000 ilikuwa ina thamani mara 5 mpaka 10 ya pesa hiyo hiyo kwa mwaka huu 2024; yaani ukute 1M ya 2000 ukija nayo 2024 ni 5M

Sasa kwa uhalisia wa uchumi uliochanganuliwa hapo juu mjue kwamba kilichobadilika katika relationship ya Mwanamke na mwanaume ni thamani ya pesa ya mwanaume tu, pesa haina thamani sahizi na ujira kwa asilimia kubwa ya watanzania haujapanda kokote kwa msingi kwa miongo. Mwanaume alipe kodi (anategemewa ajenge pia), ahakikishe mle wote ndani ya hilo jengo lake, alipe ada za watoto, awe na akiba au akope mkiumwa, akununulie pedi mpaka wigi, akulipulie hela ukasuguliwe miguu kutoa magamba miguuni, akuwekee pesa kwenye kikoba ambacho hata kikitema hapati chochote na zaidi ya hapo anakufanyia haya yote wakati wewe sahizi ni kizazi cha feminism na una kazi
 
Vizazi vimebadilika mkuu, tatizo naona wazee wetu wanasisitiza vijana tuishi katika misingi mizuri lakini kwa bahati mbaya uhalisia wa uchumi karne hii ya 21 muongo wa pili (2) unapambana vita na misingi hiyo

Pesa ya kitanzania mnamo miaka ya 1990 mpaka 2000 ilikuwa ina thamani mara 5 mpaka 10 ya pesa hiyo hiyo kwa mwaka huu 2024; yaani ukute 1M ya 2000 ukija nayo 2024 ni 5M

Sasa kwa uhalisia wa uchumi uliochanganuliwa hapo juu mjue kwamba kilichobadilika katika relationship ya Mwanamke na mwanaume ni thamani ya pesa ya mwanaume tu, pesa haina thamani sahizi na ujira kwa asilimia kubwa ya watanzania haujapanda kokote kwa msingi kwa miongo. Mwanaume alipe kodi (anategemewa ajenge pia), ahakikishe mle wote ndani ya hilo jengo lake, alipe ada za watoto, awe na akiba au akope mkiumwa, akununulie pedi mpaka wigi, akulipulie hela ukasuguliwe miguu kutoa magamba miguuni, akuwekee pesa kwenye kikoba ambacho hata kikitema hapati chochote na zaidi ya hapo anakufanyia haya yote wakati wewe sahizi ni kizazi cha feminism na una kazi
Kwa hiyo unataka kusemaje labda? Kwamba unafikiri Babu zako waliyavuka hayo yote kiwepesi tu!!!!?

Timiza wajibu wako acha visingizio, vinginevyo utazidi kuona mambo ni magumu. Maisha hayajawahi na hayatawahi kuwa rahisi.
 
Utawaweza malaika wa humu, hawajui kuwa ndoa ni kuchukuliana na sio judge ana
Tatizo wakikaa kwenye vijiwe vya kahawa wanadanganyana na kujazana ujinga. Hakuna binadamu mkamilifu na sidhani kama atatokea. Ni suala la commitment na kutimiza wajibu kwa kila mmoja.

Huwa nawasikiliza vijana stories zao, utawasikia wakisema "Mimi sitaki mwanamke awe hivi au vile, asifanye hiki ama kile", unaishia kucheka tu.
 
Back
Top Bottom